Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Nchi mbalimbali (kimataifa) , Bilionea Joseph Mbilinyi, leo ameshiriki ibada Maalum ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa katika Parokia ya Ruanda Jijini Mbeya .
Mbali na yeye mwenyewe kuchangia kitita kizito kitakachosogeza mbele Ujenzi wa Parokia hiyo , amewahamasisha Matajiri wenzake wa Mbeya na Kwingineko kujitokeza kuchangia ujenzi wa Nyumba za Mungu kwa lengo la kuchota baraka, ambako amedai wingi wa nyumba za ibada utapunguza dhambi za walimwengu kwa kuchochea mema kwenye jamii .
Mbali na yeye mwenyewe kuchangia kitita kizito kitakachosogeza mbele Ujenzi wa Parokia hiyo , amewahamasisha Matajiri wenzake wa Mbeya na Kwingineko kujitokeza kuchangia ujenzi wa Nyumba za Mungu kwa lengo la kuchota baraka, ambako amedai wingi wa nyumba za ibada utapunguza dhambi za walimwengu kwa kuchochea mema kwenye jamii .