Ushauri kwa Rais ugawaji wa Noah Zetu

Ushauri kwa Rais ugawaji wa Noah Zetu

Mkuu usitupangie matumizi wengine tutapaki hata kupigia picha inatosha.
[emoji2] [emoji1] [emoji2] vijana mna mzuka sana na noah. Mi msinihesabu jamani kwenye huu mgao wenu kwani natumia prado ya kiafrika, ile yenye mkia . naogopa ajali mie.
 
Niko msibani nimefiwa .....angalau nimecheka kupunguza machungu ya kufiwa....ningeipata leo ingenisaidia kupunguza gharama za kusafirisha mwili wa ndugu yangu...


hhhhhaahha nacheka ova mazuri dah pole sn mkuu
 
Tanza noah tanza noah, nakupenda kwa moyo wote
Gari langu tanza noah, jina lako ni zuri sana
Nilalapo nakuota noah
Niamkapo ni heri noah weee
Tanza noah tanza noah nakupenda kwa moyo wote.
 
mbn requirements nyingi hivi? embu mwache rais wetu kajitahidi sana ... mbn hamridhiki?
Sasa boss aachwe ili iweje?? Huo ni wajibu wakwme no excuse! Alituahidi noah...sasa jamaa kakosea nini kudai noah yake!!
 
Back
Top Bottom