Hii Noah ni haki yake kuipata kama RAIA wa nchi ya Makinikia na vi-wonder bila kujali yupo wapi au ana kipato gani.Huko Denmark pato la raia mmoja kwa mwaka ni kama $47,000. Ni vizuri ukadai hio $47,000 yako kila mwaka ili uache kufagia vyoo! Noah zetu hazifiki hata $7000.
Kuna mwanaume au RAIA yeyote alieomba anunuliwe Noah si serikali ya vi-wonder ndio imegundua kwasasa kuwa tatizo kubwa la watanzania sio ajira,elimu bora,maji safi,huduma bora za afya na miundombinu bali ni Noah.Na hii ndio taswira halisi ya wanaume wa Kitanzania...
Nadhani mnatamani hata serikali iwaolee, iwatunzie familia, iwasomeshee watoto, Noah mpewe Ha ha ha a
Nani anakejeli au unataka kubishana na serikali ya vi-wonder?Naona watu wanakejeli tu hapa,hakuna uhalisia hata kidogo.
Hilo sio kipaumbele wala tatizo kwa kwasasa. Wewe subiri Noah yako.Nimilioni 50 kila kijiji zimeshatolewa?
Hilo swali lako lielekeze pale magogoni kwa wapanga vipaumbele wa nchi hii.Mtaendesha Noah wakati 80% ya wa Tanzania wanaishi kwenye nyumba za udongo na nyasi
Siku ya tatu leo nipo driving [emoji593] course
Mkuu hawataiba coz kila mtu atakuwa na lake!Me natengeneza uzio ili gari ipate pa kuhifadhiwa wakora wasije niibia power window ikiwa inalala nje ya wigo.
Noah zinanunuliwa jumla japan, ww unaenda bandari kuchagua rangi tu.Nimeshaingia Beforwad kukagua, nasubiria tuu 'mpunga' nivute chuma...
rubii mbona umeenda mbali sana bibie.... kumbuka si wanaume walioandamana kudai hizo Noah...bali ni wenyewe huko wamesema.Na hii ndio taswira halisi ya wanaume wa Kitanzania...
Nadhani mnatamani hata serikali iwaolee, iwatunzie familia, iwasomeshee watoto, Noah mpewe Ha ha ha a
Noah zinanunuliwa jumla japan, ww unaenda bandari kuchagua rangi tu.