Hahahaaaaaa! Ivi tutaruhusiwa kuchagua aina nyingine ya gari au lazima noah?Moja ya ndoto zangu inakwenda kutimia... [HASHTAG]#Noah[/HASHTAG]
Hahahaaaaaa! Ivi tutaruhusiwa kuchagua aina nyingine ya gari au lazima noah?Moja ya ndoto zangu inakwenda kutimia... [HASHTAG]#Noah[/HASHTAG]
Wewe jamaa nilishakustukiaga kitambo. Boksi la wadenish limekuchanganya kinoma wallahi.Mzuka wanajamvi!
Hongereni sana ndugu zetu wa upande hule mwengine. Wepesi mliopewa wa kujaza dunia ndio hivyo tena matunda yake yameshaanza kuonekana. Sisi Wagalatia tulikuwa tunawaponda bure tuu sasa angalia macho yamefunguka tuna haha wengine tunatafuta hadi IVF.
Yani hadi mimba itungwe miezi tisa ipite, dah hayo makubaliano yatapita na zoez zima la ugawaji wa Noah litafungwa rasmi.
Hizi ndio hathari za kufuata kila kitu kutoka magharibi sijui family planning.
Hahahahahahahahahame nataka nyeusi
Hilo nalo la kulifikilia mkuu langu nilitaka nilipeleke anzuani kumbe nitakwama hapo kwenye nyara daah!Ni nani atakayekupa kibali cha kutoa nyara ya taifa??!
Watakuburuza kortini kwa uhujumu uchumi
Una maanisha rais ni kichwa maji kwa kusema watanzania watapata noah moja moja au?? Mbona una utani na rais wetu mpendwa mkuu!!Wewe kichwa maji unayewaza Noah...
Mkuu tafuta rangi nyingine hii tumewahi wawili au kama vp chukua rangi ya makanikia mbele kwa mbeleNyie wananchi,
Mimi nataka kama yako,
We kwa tamaa zako utatukosesha na sie wengine tushachagua na rangi.Hiviii wananzengo hakunaa Noah bombardier jaman????
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Labda mafuta ya vi-wonder ila sio haya shell na gapco!!Ndio tena kwa miaka tano kabisa
Noah tu mkuu vinginevyo hupewi nakushauri pokea tu ni mgao wako halali kutoka makanikia.Hahahaaaaaa! Ivi tutaruhusiwa kuchagua aina nyingine ya gari au lazima noah?
Mil 50 kakataa kutoa...hizo tumezisamehe...tunataka noah zetu!hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa mmenichekesha kweli,inaelekea msipopata noah zenu mtaandamana,🙂🙂🙂🙂,mtakomalia anko Magu.😀
Anatuchonganisha nae mkulu mwisho aghairi na noah zetuUna maanisha rais ni kichwa maji kwa kusema watanzania watapata noah moja moja au?? Mbona una utani na rais wetu mpendwa mkuu!!
hhhhhaahha nacheka ova mazuri dah pole sn mkuu
Point noted Princess rubiiNa hii ndio taswira halisi ya wanaume wa Kitanzania...
Nadhani mnatamani hata serikali iwaolee, iwatunzie familia, iwasomeshee watoto, Noah mpewe Ha ha ha a
Hahah! Waswahili wanaweza kukuua kwa kukusema tumbona hili jina la kitambo sana, tangu mwaka 2012, nakumbuka kuna kaka tulikuwa tunafanya nae kazi akawa ana noah afu muislam basi kuna mwenzake akawa anapenda kumtania, muislam gani wewe unaendesha kitimoto. yani mpaka yule kaka aliuza gari yake akanunua aina nyingine.
Dah...Tumeaminishwa kuwa Noah ni kwa above 18 tu sio watanzania wote,so kama watu m20 hv,tutatosha tu si unaona tunaanza kuvunja nyumba kimara mpaka chalinze mita 120 kila upande,usihofu barabara zitatosha tu
Hizo ni nyara mkuu achana na hizo mamboHilo nalo la kulifikilia mkuu langu nilitaka nilipeleke anzuani kumbe nitakwama hapo kwenye nyara daah!
Halafu anakuja mtu anakuambia Bongo Bahati Mbaya
Kweli? Ulaya kuna Rais ambaye ashawahi fanya v-wonder hivi ?
KARIBU SANA TANZANOAH