mkuu iyo sosho nimeikataa ni aibu kijana mwenye nguvu kula sosho ni wasomali tu na walevi alcoholic. Vp mkuu ushaish hiz nchi nini? Kwasabab mtu wa buguruni ama temeke mikoroshini kujua soshoWewe baki huko huko na wadenish wako. Hizi Noah ni kwa sisi huku. Ukitaka waombe wadenish sosho, watakupa.
Hii ndio ukisikia umelala maskini ukaamka ukiwa tajiri. Tumelala masikini awamu za LodiLofa na fastjet tumeamka matajiri awamu ya Mtukufu Sizonje. Mungu aendelee kukupa maisha marefu Rais wa vi-wonder na Noah.Makinikia oyeee!
Kwako rais wangu. Napenda kukupongeza kwa kazi nzuri na uthubutu ulionyesha kuhusu sakata zima la Acasia, makinikia na Maboso. Kutokana na juhudi zako Barricks wamekubali kutulipa trillion 108 Zetu ambazo uliahidi zikilipwa kila mtanzania atamiliki Noah na tutakuwa donor country na mikutano ya G8 nk tutashiriki kama mwanachama.
Nifaraja iliyoje Babu, bibi na watoto wangu hadi michepuko watamiliki Noah? Kweli wewe ulitumwa na Mungu na unatujali wanyonge hilo halina ubishi.
Baas rais wangu hili zoez la kumilikshwa Noah kila Mtanzania liende vizuri kwa weledi naomba uunde tume la jopo ya maphd holders tena toka udsm na uwaapishe ikulu na waende semina Japan na uwape ulinzi wa kutosha ili zoezi liende vizuri bila upendeleo wa kichama, kiitikadi, kijinsia, kikanda, kidini na kikabila kila mtanzania apate Noah yake.
Dah Makinikia imetutoa Jamani.
Kweli kwa hakika awamu hii tumepata rais!
Yaani washindwe kuitumia hiyo hela kwenye sera yao ya vi-wonder ndio wakupe cash?sasa hivi ndio wamegundua tatizo kubwa la Watanzania ni usafiri tena Noah na sio Vi-wonder.Mimi yangu waibadilishe iwe hela ili ninunue nnachokitaka Mimi.
hahahaha eti TANZANOAH...Halafu anakuja mtu anakuambia Bongo Bahati Mbaya
Kweli? Ulaya kuna Rais ambaye ashawahi fanya v-wonder hivi ?
KARIBU SANA TANZANOAH
ni makini tu.Noah's Arch. Sawa ila nyingi zikiwa nyeusi si utekaji utazidi?
Makinikia au Makenika?
Yaani mkuu nimecheka hadi machozi. Umesahau kuwashauri wabebamabox warud kuja kupokea mgao wao wa noah manake hairuhusiwi kuchukulianaMakinikia oyeee!
Kwako rais wangu. Napenda kukupongeza kwa kazi nzuri na uthubutu ulionyesha kuhusu sakata zima la Acasia, makinikia na Maboso. Kutokana na juhudi zako Barricks wamekubali kutulipa trillion 108 Zetu ambazo uliahidi zikilipwa kila mtanzania atamiliki Noah na tutakuwa donor country na mikutano ya G8 nk tutashiriki kama mwanachama.
Nifaraja iliyoje Babu, bibi na watoto wangu hadi michepuko watamiliki Noah? Kweli wewe ulitumwa na Mungu na unatujali wanyonge hilo halina ubishi.
Baas rais wangu hili zoez la kumilikshwa Noah kila Mtanzania liende vizuri kwa weledi naomba uunde tume la jopo ya maphd holders tena toka udsm na uwaapishe ikulu na waende semina Japan na uwape ulinzi wa kutosha ili zoezi liende vizuri bila upendeleo wa kichama, kiitikadi, kijinsia, kikanda, kidini na kikabila kila mtanzania apate Noah yake.
Dah Makinikia imetutoa Jamani.
Kweli kwa hakika awamu hii tumepata rais!
HahahaaaaaaSiku ya tatu leo nipo driving course
Makinikia oyeee!
Kwako rais wangu. Napenda kukupongeza kwa kazi nzuri na uthubutu ulionyesha kuhusu sakata zima la Acasia, makinikia na Maboso. Kutokana na juhudi zako Barricks wamekubali kutulipa trillion 108 Zetu ambazo uliahidi zikilipwa kila mtanzania atamiliki Noah na tutakuwa donor country na mikutano ya G8 nk tutashiriki kama mwanachama.
Nifaraja iliyoje Babu, bibi na watoto wangu hadi michepuko watamiliki Noah? Kweli wewe ulitumwa na Mungu na unatujali wanyonge hilo halina ubishi.
Baas rais wangu hili zoez la kumilikshwa Noah kila Mtanzania liende vizuri kwa weledi naomba uunde tume la jopo ya maphd holders tena toka udsm na uwaapishe ikulu na waende semina Japan na uwape ulinzi wa kutosha ili zoezi liende vizuri bila upendeleo wa kichama, kiitikadi, kijinsia, kikanda, kidini na kikabila kila mtanzania apate Noah yake.
Dah Makinikia imetutoa Jamani.
Kweli kwa hakika awamu hii tumepata rais!