Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,588
- 23,949
Vijiji navyo vinasubiri milioni hamsini zao!Walimu wanasubiri laptop zao.
Vijiji navyo vinasubiri milioni hamsini zao!Walimu wanasubiri laptop zao.
Wanakijiji wanasubiri mil 50 zao!!Walimu wanasubiri laptop zao.
mbona hili jina la kitambo sana, tangu mwaka 2012, nakumbuka kuna kaka tulikuwa tunafanya nae kazi akawa ana noah afu muislam basi kuna mwenzake akawa anapenda kumtania, muislam gani wewe unaendesha kitimoto. yani mpaka yule kaka aliuza gari yake akanunua aina nyingine.Mdudu siku hizi anaitwa NOAH?
[Emoji23] [emoji23] [emoji23] si ndo hapo! Sisi kukubali kupokea hizo Noah tayari imekuwa nongwaKwani mkuu unadhani sie ndo tumedai? Ni rais wetu mtukufu jemedali simba wa vita na mwenyekiti wa chama cha makanikia kasema atatupa.wala hatujaomba
Ni nani atakayekupa kibali cha kutoa nyara ya taifa??!Tanzania huwezi kuuza kila mtu atakuwa nayo, nitaipeleka Malawi au Mozambique ikafanye biashara
Tumeaminishwa kuwa Noah ni kwa above 18 tu sio watanzania wote,so kama watu m20 hv,tutatosha tu si unaona tunaanza kuvunja nyumba kimara mpaka chalinze mita 120 kila upande,usihofu barabara zitatosha tuDah...kama Noah ina urefu wa mita 4.5
4.5m x watz 45,000,000 Zikiingia zote barabarani zitakuwa na urefu wa 202,500,000m ambao ni sawa na KM 202,500.
Barabara zote za Tanzania zina urefu wa KM 86,472 .....
Ukichukua 202,500 ukatoa 86,472 unapata 116,028......
Ukichukua 116,028 ukagawa kwa 4.5 unapata 25,784..ukiongeza na zile 000..unapata 25,784,000....
Hitimisho:
1. Watanzania zaidi ya nusu hawatapata nafasi ya kutanua na noah zao barabarani
2. Na wengine pungufu ya nusu watakuwa wamekwama barabarani kwenye foleni isiyosogea (Bampa to Bampa)
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀🙄🙂
Ni nani atakayekupa kibali cha kutoa nyara ya taifa??!
Si ninruhusiwa kuiwndesha nikienda vacation?
Watakuburuza kortini kwa uhujumu uchumi
Nitaiendesha nikienda vacationNi nani atakayekupa kibali cha kutoa nyara ya taifa??!
Watakuburuza kortini kwa uhujumu uchumi
Watu mnamajungu kah...Mimi yakwangu nitaipeleka Malawi ikawe tax Tanzania biashara itakuwa imekwisha haribika kila mtu atakuwa dereva wa Noah na rais anaendesha roli
Okay wanaweza kukufikiria kama itadhibitika unaenda kulichenjua.Nitaiendesha nikienda vacation
Ndio tena kwa miaka tano kabisaKwahiyo unataka upewe noah na pesa ya mafuta au?
Nyie wananchi,Mkuu hata mm nataka rangi hiyo hiyo aisee huyu baba ahimidiwe jamani