Ushauri kwa Rais ugawaji wa Noah Zetu

Ushauri kwa Rais ugawaji wa Noah Zetu

Daaa..ule mgao wa Noah kila mtz ukianzaa..naomba namba D
 
Teh teh teh teh teh teh teh
Noah......... Hii ni kama taifa stars kuifunga timu ya taifa ya ujeruman.
Teh teh teh noah hiyoooooooo
 
Me sitaki noah wanipe pesa yangu nitajua cha kuifanyia.
Pesa niibiwe mimi, nilipwe halafu nipangiwe cha kufanya.
 
Teh teh teh teh teh teh teh
Noah......... Hii ni kama taifa stars kuifunga timu ya taifa ya ujeruman.
Teh teh teh noah hiyoooooooo
Kwakwel sio ujeruman tu....n sawa na kuifunga Bayern Munich[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hee mungu saidia acacia walipe hela zetu mapemaa.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Watu kama wewe ndio mtasababisha mlolongo mrefu bana we chukua kwanza Noah utajiongeza ukishapokea kadi yako bana .
Haaahaaaa sawaa mkuu tupewe nikiamuaa kuuzaa niuzee japoo sijajua ntamuuzia nanii sababu wote tutakuwa nazoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Haaaa haaaaa haaaaaaaaaa

Noah Noah Noaaaaaaahhh..

Yangu Noah X Limited Special Edition, 2007, Pearl white colour, ..

Auto, Slide doors both sides, HID LIGHTS, Mh. Rais wangu watu washachagua hadi Noah zao..

Uhuru kamili sasa unakuja wa uchumi.. CCM oyeeeeeeee
Oyeeeeeee tupeweeee Kwanzaa mambo mengine badaee

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Mi ya kwangu nataka nikafanyie daladala, si washakubali kulipa? Kwa mujibu wa magazeti yetu
 
Wakuu Naomba mnisaidie sababu kila ninayoiona naitaka t afadhali nichagulie nzuriii ambayo hainywi mafuta
IMG_20170617_192846.JPG
 
Back
Top Bottom