Ushauri: Kati ya nyaya za umeme kuzunguka nyumba (electric fence) na kamera za ulinzi (CCTV camera) ipi inafaa kwa matumizi ya nyumbani?

Yaleyale

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
1,789
2,383
Salaam wadau.

Kama kichwa cha habari kilivyo. Mtaani kwetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na vibaka wanaoiba vitu vya ndani hasa TV.

Ninawaza kufunga either CCTV camera au nyaya za umeme kuzunguka ukuta. Uwezo wa kuzifunga zote kwa sasa sina.

JF ina wadau waliobobea kwenye nyanja mbalimbali. Naombeni ushauri, nianze na kipi?
 
Salaam wadau.
Kama kichwa cha habari kilivyo. Mtaani kwetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na vibaka wanaoiba vitu vya ndani hasa TV. Ninawaza kufunga either CCTV camera au nyaya za umeme kuzunguka ukuta. Uwezo wa kuzifunga zote kwa sasa sina.

JF ina wadau waliobobea kwenye nyanja mbalimbali. Naombeni ushauri, nianze na kipi?
Electric wire ni best kwa sababu,CCTV mtu anaweza kufanya tukio na camera akavunja kupoteza ushahidi.
 
Salaam wadau.
Kama kichwa cha habari kilivyo. Mtaani kwetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na vibaka wanaoiba vitu vya ndani hasa TV. Ninawaza kufunga either CCTV camera au nyaya za umeme kuzunguka ukuta. Uwezo wa kuzifunga zote kwa sasa sina.

JF ina wadau waliobobea kwenye nyanja mbalimbali. Naombeni ushauri, nianze na kipi?

You can’t compare the two, they are both needed, zina matumizi tofauti! Ya kwanza ni kumzuia na kumpa mhalifu ugumu wa kuingia kwako, na ya pili ni kumwona mwalifu!

Kama unakaa mahali pa Vibaka, then you do not need camera, go with fence, why? Utaishia kuangalia kwa cctv walevi, Mateja etc!

Zote ni muhimu kukamilisha usalama wa Nyumba ila kama unaanza na moja then inategemea na mazingira na kwa case yako nenda na fence !
 
Kama huna uwezo kwa sasa, basi pambana. Ukipata chochote uje upate maoni ya wadau.
 
Kama ni mimi ningekuwa na option ya kuchaguwa kimoja wapo kati ya uzio wa nyaya za umeme au kamera za ulinzi bhas mimi ningechagua kamera za ulinzi. Kamera naweka na za kificho za kuona hadi usiku bhas inatosha. Hizo uzio za umeme zina namna yake ya kijinga na simple sana..bora kamera hata nikipigwa nita ambulia sura zao.
 
Kama ni mimi ningekuwa na option ya kuchaguwa kimoja wapo kati ya uzio wa nyaya za umeme au kamera za ulinzi bhas mimi ningechagua kamera za ulinzi. Kamera naweka na za kificho za kuona hadi usiku bhas inatosha. Hizo uzio za umeme zina namna yake ya kijinga na simple sana..bora kamera hata nikipigwa nita ambulia sura zao.
Sio rahisi hivyo ndugu yangu, watu wanaweza vaa mask utawaonaje? wengine unaweza ona sura na kuwapata usiwapate, mi nadhani electric fence is the best hata kutishia tishia tu vibaka wadogo wadogo!
 
Vyote hivyo ni kazi bure kama huna Yesu kristo mwana wa Mungu.
Toa utumbo wako hapaa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Aksante kwa maoni. Lakini siku nyingine kuwa serious na mambo bwasheee
Toa mashudu yako hapa. Acha kufunga milango nyumbani kwako ujitie kumfanya Yesu houseboy wako uone kama hautoibiwa. Hizi akili huwezi kuzikuta developed countries hata wakimbizi wa uko hawana akili hizi.

🤣🤣🤣🤣
 
Salaam wadau.
Kama kichwa cha habari kilivyo. Mtaani kwetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na vibaka wanaoiba vitu vya ndani hasa TV. Ninawaza kufunga either CCTV camera au nyaya za umeme kuzunguka ukuta. Uwezo wa kuzifunga zote kwa sasa sina.

JF ina wadau waliobobea kwenye nyanja mbalimbali. Naombeni ushauri, nianze na kipi?

Fuga mbwa wa milioni 3 kwenda mbele na sio mbwa tu aliyetoka mafunza.ukiona fuga mbwa wa kuua kabisa wana kibari maalumu.zaidi ya hapo unapoteza pesa
 
Sio rahisi hivyo ndugu yangu, watu wanaweza vaa mask utawaonaje? wengine unaweza ona sura na kuwapata usiwapate, mi nadhani electric fence is the best hata kutishia tishia tu vibaka wadogo wadogo!
Ndio changamoto hizo za kiulinzi kwa kutumia vifaa badala ya mtu..(physical) hizo nyaya kama ni kutishia vibaka sawa..ila kamera za siri ndio mpango mzima.
 
Salaam wadau.
Kama kichwa cha habari kilivyo. Mtaani kwetu tumekuwa tukisumbuliwa sana na vibaka wanaoiba vitu vya ndani hasa TV. Ninawaza kufunga either CCTV camera au nyaya za umeme kuzunguka ukuta. Uwezo wa kuzifunga zote kwa sasa sina.

JF ina wadau waliobobea kwenye nyanja mbalimbali. Naombeni ushauri, nianze na kipi?
When you have more than you need, build a longer table not a higher fence.
images (2).jpg
 
Back
Top Bottom