Taarifa inasema! Vibaka walivamia katika kata tatu huko chanika na kuathili nyumba 21
Ingawa haijajulikani rasmi idadi halisi ya vibaka hao lakini haiondoi ukweli kwamba kuna uzembe katika mfumo wa ulinzi.
Tukiaachana na intelijensia ya kushindwa kuwabaini hao vibaka mapema!
Inashangaza kuona vibaka wamewezaje kuvamia mitaa yote mitatu pasipo kudakwa wakati wa tukio! Yaani wameanza mtaa wa kwanza wakamaliza kushambulia, wakaenda mtaa wa pili wakashambulia hadi mtaa wa tatu wakashambulia pasipo jeshi la polisi kifika!
Hili sitaki kuamini polisi hawakutaka kuja kwa wakati, lakini nachoamini sahihi ni kwamba polisi hawakupatiwa taarifa kwa wakati!
Tatizo la vibaka chanika lituamshe usingizini tuone tuko salama kiasi gani!
Nashauri polisi iboreshe mfumo wa mawasiliano (call center) na kila nyumba ibandike namba hiyo kwa ajili ya utoaji taarifa kwa haraka!
Pamoja na mifumo ya ulinzi shirikishi kusaidia lakini tukumbuke kutoa taarifa sahihi kwa wakati kwenda jeshi la polisi itasaidia sana kupunguza madhala!
Mwisho nashauri Kibaka yoyote anaethibitika kufanya unyama ule hafai kuishi na jamii! Apigwe shaba au ikishinindana akatwe mikono na masikio!
Na hili nipo tayali kujitolea kufanya shughuli hiyo kama jeshi la polisi litakuwa na kigugumizi!
Ebu fikilia watu waliokatwa mapanga wameumia kiasi gani! Mathalani mapanga yale ya vibaka yalitumika kujeruhi watu wa wengi hata kuweza kuambukiza magonjwa kama ukimwi?
Hakika vibaka hao ikithibitika kwa vielelezo kufanya unyama huo wanastahili kutembezewa mjegejo au kukatwa mikono kwa foleni pasipo huruma!
Task force ya polisi ielekezwe kuua vibaka wote wanaothibitika kusumbua mtaani na asijitokeze mtetezi kwa hilo!
Ingawa haijajulikani rasmi idadi halisi ya vibaka hao lakini haiondoi ukweli kwamba kuna uzembe katika mfumo wa ulinzi.
Tukiaachana na intelijensia ya kushindwa kuwabaini hao vibaka mapema!
Inashangaza kuona vibaka wamewezaje kuvamia mitaa yote mitatu pasipo kudakwa wakati wa tukio! Yaani wameanza mtaa wa kwanza wakamaliza kushambulia, wakaenda mtaa wa pili wakashambulia hadi mtaa wa tatu wakashambulia pasipo jeshi la polisi kifika!
Hili sitaki kuamini polisi hawakutaka kuja kwa wakati, lakini nachoamini sahihi ni kwamba polisi hawakupatiwa taarifa kwa wakati!
Tatizo la vibaka chanika lituamshe usingizini tuone tuko salama kiasi gani!
Nashauri polisi iboreshe mfumo wa mawasiliano (call center) na kila nyumba ibandike namba hiyo kwa ajili ya utoaji taarifa kwa haraka!
Pamoja na mifumo ya ulinzi shirikishi kusaidia lakini tukumbuke kutoa taarifa sahihi kwa wakati kwenda jeshi la polisi itasaidia sana kupunguza madhala!
Mwisho nashauri Kibaka yoyote anaethibitika kufanya unyama ule hafai kuishi na jamii! Apigwe shaba au ikishinindana akatwe mikono na masikio!
Na hili nipo tayali kujitolea kufanya shughuli hiyo kama jeshi la polisi litakuwa na kigugumizi!
Ebu fikilia watu waliokatwa mapanga wameumia kiasi gani! Mathalani mapanga yale ya vibaka yalitumika kujeruhi watu wa wengi hata kuweza kuambukiza magonjwa kama ukimwi?
Hakika vibaka hao ikithibitika kwa vielelezo kufanya unyama huo wanastahili kutembezewa mjegejo au kukatwa mikono kwa foleni pasipo huruma!
Task force ya polisi ielekezwe kuua vibaka wote wanaothibitika kusumbua mtaani na asijitokeze mtetezi kwa hilo!