DOKEZO Askari wa Lukobe, Morogoro wameshindwa kulinda Usalama wa raia, IGP Wambura tusaidie

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Askari wa Lukobe, Morogoro wameshindwa kulinda Usalama wa raia, IGP Wambura tusaidie

Mimi ni Mkazi wa Kata ya Lukobe Mkoani Morogoro, miezi miwili iliyopita nivamiwa nyumbani kwangu nikaibiwa vitu vingi ndani hadi viatu vya Watoto, nilitoa taarifa Kituo kidogo cha Polisi Kihonda ila mpaka sasa hivi hakuna hatua zilizo chukulia.

Kabla ya mimi kuibiwa kuna jirani yangu alivamiwa akaibiwa vitu vyandani karibia vyote, akaripoti Polisi ila hakuna chochote kilichofanyika, isitoshe hawa vibaka wanaishi hapahapa Lukobe Makaburini.

Kwa ufupi karibia wavuta bangi wote wanaotajwa kuhusika katika matukio mbalimbali wamevamia Lukobe na kuvuta bangi ni hadharani.

Mtendaji wa Kata na Mwenyekiti wake wote wapo lakini hawachukui hatua zozote, tunashindwa kuelewa cha kufanya na isitoshe wanatuibia Wageni.

Juzijuzi hapa wamevamia mtaa mmmoja unaitwa Kwa Wagogo, wakawakata watu mapanga, wamewaibia vitu wameondoka, sasa tunashindwa tufanyaje.

Tunaomba kilio chetu kifike kwa Kamanda Mkuu wa Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura labda tutapata msaada.

Tumeshajenga makazi yetu, kuhama huku inakuwa ngumu na kuendelea kuwa kimya ni kujiharibia sisi wenyewe.
 
Jiungeni wenyeji wote, tengenezeni umoja wenye maamuzi magumu, vibaka wa aina hiyo mnawashughulikia kwa kuchukua sheria mkononi eti, mkiwatia adabu 3 au 4 wakaenda mbinguni, watawanong'oneza wenzao wasichezee raia wema!
 
siku hizi jeshi letu limendelea unaweza kutuma malalamiko yako kama ANONYMOUS Au kwa kudhihirisha utambulisho wako kupitia kiunganishi hiki https://emrejesho.gov.go.tz/complai...WNfBAu0Jwx7KgvzBRj1eDCAhy0P6yNAd1vHBEr7p3uuyx

au unaweza kuwasiliana na polisi kitengo cha mawalisiano kupitia namba 0787668306

au ukawasiliana na kamushina mkuu wa malalamiko DODOMA kupitia namba 0737109300

ukiona haitoshi unaweza kuwasiliana na IGP. Wambura kupitia namba 0684111111

nimeona njia uliyotumia haitoleta manufaa
 
Mkuu nguvu ya jamii forum ni kubwa sana kuliko udhaniavyo
siku hizi jeshi letu limendelea unaweza kutuma malalamiko yako kama ANONYMOUS Au kwa kudhihirisha utambulisho wako kupitia kiunganishi hiki https://emrejesho.gov.go.tz/complai...WNfBAu0Jwx7KgvzBRj1eDCAhy0P6yNAd1vHBEr7p3uuyx

au unaweza kuwasiliana na polisi kitengo cha mawalisiano kupitia namba 0787668306

au ukawasiliana na kamushina mkuu wa malalamiko DODOMA kupitia namba 0737109300

ukiona haitoshi unaweza kuwasiliana na IGP. Wambura kupitia namba 0684111111

nimeona njia uliyotumia haitoleta manufaa
 
siku hizi jeshi letu limendelea unaweza kutuma malalamiko yako kama ANONYMOUS Au kwa kudhihirisha utambulisho wako kupitia kiunganishi hiki https://emrejesho.gov.go.tz/complai...WNfBAu0Jwx7KgvzBRj1eDCAhy0P6yNAd1vHBEr7p3uuyx

au unaweza kuwasiliana na polisi kitengo cha mawalisiano kupitia namba 0787668306

au ukawasiliana na kamushina mkuu wa malalamiko DODOMA kupitia namba 0737109300

ukiona haitoshi unaweza kuwasiliana na IGP. Wambura kupitia namba 0684111111

nimeona njia uliyotumia haitoleta manufaa
Hii inachukua muda gani mpaka wanachukua hatua?
 
Hii inachukua muda gani mpaka wanachukua hatua?
Dakika sifuri tu. pengine mpaka masaa 72 njia nzuri ni ya kudhihirisha utambulisho wako ukifanya hivyo wataamini lile ulilo liripot na watalipa kipaumbele, vile vile baada ya kutoa lalamiko lako kuna kipengele cha kufuatilia lalamiko.​
 
siku hizi jeshi letu limendelea unaweza kutuma malalamiko yako kama ANONYMOUS Au kwa kudhihirisha utambulisho wako kupitia kiunganishi hiki https://emrejesho.gov.go.tz/complai...WNfBAu0Jwx7KgvzBRj1eDCAhy0P6yNAd1vHBEr7p3uuyx

au unaweza kuwasiliana na polisi kitengo cha mawalisiano kupitia namba 0787668306

au ukawasiliana na kamushina mkuu wa malalamiko DODOMA kupitia namba 0737109300

ukiona haitoshi unaweza kuwasiliana na IGP. Wambura kupitia namba 0684111111

nimeona njia uliyotumia haitoleta manufaa
Una maanisha hawa wote hawaijui morogoro na vituko vyake vya uhalifu vinavyofanywa na polisi wenyewe?!

Kwamba polisi morogoro wamewekeza kwenye uhalifu na wamekataa kufanya kazi na ulinzi shirikishi na kampuni binafsi za ulinzi?

Kwamba wenyeviti wa serikali za mtaa wamekuwa wahanga wa kulipiziwa kisasi pindi wanapopeleka taarifa za uhalifu kwa polisi na kisha kuwaambia vibaka nani kaenda kuwachomea?

Sasa wewe mwenye namba hizo peleka taarifa hii nnayokupa ili hao unaowataja waende mkoani hapo wachunguze maisha anayoishi polisi wa ngazi ya chini kama yanalingana na kipato chake harari na kama sivyo ajiulize huo ukwasi wanaupata wapi?

Wengi morogoro walidhani kuondoka kwa babu makoti na mzee wa safishasafisha uhalifu choma moto na kuja mzee wa kibesi kungeleta amani na utulivu kumbe sasa hivi mambo ndio balaa kabisa, aka kabinti ka oc ndio kabisaa kadhaifu mpaka kanapangiwa cha kufanya na maditekitivu wake!
 
siku hizi jeshi letu limendelea unaweza kutuma malalamiko yako kama ANONYMOUS Au kwa kudhihirisha utambulisho wako kupitia kiunganishi hiki https://emrejesho.gov.go.tz/complai...WNfBAu0Jwx7KgvzBRj1eDCAhy0P6yNAd1vHBEr7p3uuyx

au unaweza kuwasiliana na polisi kitengo cha mawalisiano kupitia namba 0787668306

au ukawasiliana na kamushina mkuu wa malalamiko DODOMA kupitia namba 0737109300

ukiona haitoshi unaweza kuwasiliana na IGP. Wambura kupitia namba 0684111111

nimeona njia uliyotumia haitoleta manufaa
Jana, kundi kubwa la panyaroad waliweka Kambi yespa darajani, mjumbe aliwapigia simu polisi, hata hawakufika, ooh tuko Lukobe kumbe hata watu wa Lukobe wenyewe wanalalamika, Wambura hakikisha unadhibiti Hali hii. Siyo lazima Raisi akwambie.
 
Ku
Askari wa Lukobe, Morogoro wameshindwa kulinda Usalama wa raia, IGP Wambura tusaidie

Mimi ni Mkazi wa Kata ya Lukobe Mkoani Morogoro, miezi miwili iliyopita nivamiwa nyumbani kwangu nikaibiwa vitu vingi ndani hadi viatu vya Watoto, nilitoa taarifa Kituo kidogo cha Polisi Kihonda ila mpaka sasa hivi hakuna hatua zilizo chukulia.

Kabla ya mimi kuibiwa kuna jirani yangu alivamiwa akaibiwa vitu vyandani karibia vyote, akaripoti Polisi ila hakuna chochote kilichofanyika, isitoshe hawa vibaka wanaishi hapahapa Lukobe Makaburini.

Kwa ufupi karibia wavuta bangi wote wanaotajwa kuhusika katika matukio mbalimbali wamevamia Lukobe na kuvuta bangi ni hadharani.

Mtendaji wa Kata na Mwenyekiti wake wote wapo lakini hawachukui hatua zozote, tunashindwa kuelewa cha kufanya na isitoshe wanatuibia Wageni.

Juzijuzi hapa wamevamia mtaa mmmoja unaitwa Kwa Wagogo, wakawakata watu mapanga, wamewaibia vitu wameondoka, sasa tunashindwa tufanyaje.

Tunaomba kilio chetu kifike kwa Kamanda Mkuu wa Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura labda tutapata msaada.

Tumeshajenga makazi yetu, kuhama huku inakuwa ngumu na kuendelea kuwa kimya ni kujiharibia sisi wenyewe.
Kumbe wanaume wanaotajwa kuwa ni wa Dar ni wa Moro pia!
Magurudumu na petroleum havipatikani kabisa Morogoro baada ya lile kuanguka mafuta na magurudumu yote yakaungua.
 
Back
Top Bottom