Unafanyaje mpenzi wako aki'FLIRT'?

Unafanyaje mpenzi wako aki'FLIRT'?

He he he, babu tunaenda na wakati

Ila ujue mie mzee mwenzio sema tu nimeamua kupinda kwa hiari baada ya kazi kunilazimu kuishi na vijana kwa muda mrefu sana

Basi tuanze kuhashukiana kizee zee :majani7::behindsofa:


Nitaanzaje wakati nilishamaliza?

Nikijaribu tu nahisi aorta itapasuka...lol!
 
hakuna SILAHA kubwa kwenye mahusiano kama TRUST! aminianeni kwanza nyie wawili, before anybody does!! YAANI AMINI KUWA SIWEZI/HAWEZI KUCHEAT!!

Okey...lets say namuamini mpenzi wangu kuwa hawezi nicheat, na ndio hivyo nimem'bamba na flirts hizo za kufa mtu na anasema hana uhusiano wa kingono na hao anaoflirt nao!

What's next!? Namuambia 'okey mpenzi...endelea kuflirt lakini usicheat', au 'uache kuflirt na husirudie tena', au 'I cant take this...goodbye'!? Unafanyaje next?
 
ala ala Aspirin....unapaswa kuwa dawa ya maumivu weye...hata ka hutibu ugonjwa wenyewe unaosababisha maumivu!

Bahati mbaya sana, wadada wa JF wote (ukimwondoa chizi Kongosho na wenye vichwa kama chake) ni St. Watakatifu!

Hawapendi kusema ukweli hasa linapokuja swala la cheating. Sisi wanaume ndo tunaflirt na baadae kungonoka nao. Lakini wote wanasema wanaflirt tu, ila hawangonoki.... Sasa huwa tunangonoka na mitetea inayotumia ID zao kuflirt?

Mi huwa nakasirikaga sana asee
 
He he he, nina supa gluu ya mishipa ya binadamu

Au nitakukata mshipa kama Joseph alivyomkata Putifa na kuyaokoa maisha yake kwenye kisa cha biblia

Nitaanzaje wakati nilishamaliza?

Nikijaribu tu nahisi aorta itapasuka...lol!
 
Duh, mie kwa kazi yangu huwa na-flirt sana.............


Si hii kazi ya customer service......LOL
 
Okey...lets say namuamini mpenzi wangu kuwa hawezi nicheat, na ndio hivyo nimem'bamba na flirts hizo za kufa mtu na anasema hana uhusiano wa kingono na hao anaoflirt nao!

What's next!? Namuambia 'okey mpenzi...endelea kuflirt lakini usicheat', au 'uache kuflirt na husirudie tena', au 'I cant take this...goodbye'!? Unafanyaje next?

Mwambie kwamba wewe hupendi na umtake aache hiyo tabia kwasababu ni tishio kwa mahusiano yenu.

Ila sasa umpe na chakufanya (MWAMBIE A'FLIRT NA WEWE INSTEAD).Jitahidi umpe sehemu ya muda wako pale unapoweza, sio kutwa kucha uko busy alafu bado utake asitafute namna za yeye kuendelea kuona bado analipa. Badala ya kupewa hisia na watu anaodai hawajui wala hana mpango nao apewe na wewe mkija kukutana mnamalizana.
 
He he he, nina supa gluu ya mishipa ya binadamu

Au nitakukata mshipa kama Joseph alivyomkata Putifa na kuyaokoa maisha yake kwenye kisa cha biblia

Hata maneno yenyewe mnayotumia yako beyond my dictionary.

Labda uanze kutoa demo ya maneno na vituko mnavyotia kwenye hiyo kazi yenu ya kuflirt!
 
Mwambie kwamba wewe hupendi na umtake aache hiyo tabia kwasababu ni tishio kwa mahusiano yenu.

Ila sasa umpe na chakufanya (MWAMBIE A'FLIRT NA WEWE INSTEAD).Jitahidi umpe sehemu ya muda wako pale unapoweza, sio kutwa kucha uko busy alafu bado utake asitafute namna za yeye kuendelea kuona bado analipa. Badala ya kupewa hisia na watu anaodai hawajui wala hana mpango nao apewe na wewe mkija kukutana mnamalizana.


Una akili sana kama mke Wa Obama!
 
AshaDii unanifurahisha sana hapa MMU, hivi unaweza ukaamini napata taabu sana ninaposoma posts zako? I wish nikuone dear.


Wee Mvaa Tai... Kwa nini upate taabu na hali nipo dear? Shida yako nini nione kama naiweza nikusaidie? Kama ulivyoona hapo wifi yangu King'asti hana hiana kabisaa.... Lol
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo tunyooshe manane kwa kusema tu kwamba kinachoendelea simply ni kutongozana !

Mzee mwenzangu yaweza kuwa ni kutongozana, ila kwa mujibu wa Yesu Kristu, huu tayari ni uzinzi na uasherati!

Wapaswa watubu na kuiamini injili. Ama la siyo badala ya kujitesa kwa maimajineshenz basi wale tundi kabisaijulikane moja...... kwa kuwa kwa vyovyote vile wote wametenda dhambi

Source: Yesu wa Nazareti.
 
.... So 'unatakiwa ufanye nini kwa kweli'? Ignore it like it has never happen?!

... kuna namna nimemuweka mkewangu ... ahh!! .. hata aki flirt kweli haina tatizo... wala siangalii mara mbili ... ninajiamini kuhusu yeye kwa namna ambayo... hanisumbui kabisa na siwezi kumzuia kufanya hivyo ..
 
haiezekani akaflirt hii ni justification ya KUCHEAT ukimkuta anafanya hivyo piga chini
 
Back
Top Bottom