Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Utu uzima dawa kaka....
Kama huyu Kongosho hataweza kuelewa hapa, basi hakuna jinsi nyingine ya kumsaidia?
Babu DC!!
Last edited by a moderator:
Siku hizi unafanya kazi ya kubatiza watu??
Najua tu haoa unatafuta like ya Babu.....
Umepata ile ujue ni like tu...nothing more...
Na likes zako zote zimefika ila hazitoshi kukupa uraia wa taifa la Babu !!!!
Babu DC!!
Ha ha ha, babu ananichekesha
Anapokataa huku akicheka na vipengo vyote nje, afu kakaa pale pale chini ya mti wa mkwaju, na kiti chake cha kukunja
Habanduki, lazima konnie is doing a great job kumwongezea siku za kuishi
Nikijumlisha na Like?
He he he he, hii michuma unayoiona
Unaweza kuta mimbao
Akili kumkichwa siku hizi, ukiona vyalea vingine vimefungwa maboya
Ndio maana mie siflirt na wala sijui kuflirt.
Tukesheni tukiomba.