Pia inakupa comfidence kuwa you are still hot on the game! Hata akikuzingua bado una chance za kusurvive! You are not totally and completly finished yet!
Kuanzia kiunon kushuka miguuni
Nyie acheni nyie...mamsapu anaulizwa kavaa nini hapo kwa bed, halafu anajibu kwa mbwe mbwe nimevaa khanga tu..ndani hamna kitu! Anaambiwa geuka basi ulale chali..anageuka! we unadhani mtu anatafuta pozi comfortable la kulala kumbe anashurutishwa huko! Ukibamba...ooh am just flirting!
Hivi ulevi upi una nguvu sana?
Wa kuanzia kiunoni kushuka miguuni ama wa kuanzia kiunoni kuja kichwani??
Kama Kongoesho, mie nikikukuta unaflirt lazma niflirt kukupiku,lol. Ila flirting is a new way of not cheating all the way. Na ukimkuta mwenza anaflirt haijustify kuachana (kama ni ndoa). Ila sasa kununa na kujidai mkali haisaidii. Kama uko interested swallow it, anza kuflirt nae ili umuweke busy. Ukitumiwa msg lunch njema darling, does it take a century kusema thanks sweetie, as compared to ok? Au poa? If you dont make your lady feel beautiful, someone else will aisee.
KWA MTAZAMO HUU, NITAKUWA NIMEMEGWA SANA HAPA JF!! PITTY ME!!! :behindsofa:
utaja acha mke au mchumba bureeeee!! my dear Riwa, achana kabisa na hizo believes!! u can flirt na BADO USIGONGWE!! ni vile mtu ajiwekavyo, ofkoz wanaume hutaka kugonga kila kipitacho mbele yake, tena kama mlikuwa mna flirt ndiyo kabisaaaaaaaa!! lakini pia wakina dada wapo wenye AKILI zao TIMAMU!! na kujua kusoma alama za nyakati, HATUPO EASY HIVYO JAMANI!! nakataa hilo,Kuna ukweli unapokuta mpenzio anaflirt na watu kama 10 au zaidi...na hana mahusiano ya kingono na hata mmoja wao? I mean...if you ask, ndio jibu utakalopewa..atasewar na vilio juu..'sijawahi hata kumuona anafananaje'! Is that the reason enough to trust her/him again? OR is that reason enough to quit such a relationship?
Nadhani hicho ndicho kinachofanya wanawake wengi wawe addicted na flirting...hasikuambie mtu bana, mwanaume anayeflirt, yale manano anayoongea akiflirt kama akimuambia mkewe...mtoto wa kike hatoki nje huyo!
Nomino ya neno flirt kwa Kiswahili sanifu ni "hashuo"
Kwa hiyo kwa Kiswahili, ku-flirt ni "kujihashua" au "kuhashukwa"
Ukitaka kusema Rosa ana-flirt na Juma unaweza kusema hivi:
1. Rosa anajihashua/anamhashukia Juma (ikiwa ni Rosa tu anaetenda)
2. Rosa anahashukiana na Juma (ikiwa wote wawili wanatendeana)
Tanabahi 1
* Kwa hulka na tamaduni ya Kiswahili kuhashua/kuhashukwa hakubebi dhana kuwa kuna dhamira ya ngono kila wakati.
Unaweza kumhashua dada, kaka, mama, baba, bibi au babu yako (na bila ya shaka mke au mume wako).
Kwa hiyo mbali na kumaanisha ku-flirt, kunamaanisha pia kuonyesha mapenzi wazi wazi kwa mtu wako
Tanabahi 2
*Ukimsikia mtu kakuambia "hebu usinihashukie" jua umetukanwa tusi kubwa mno.
MUNGU apishie mbali!! NISIMTAMANI YEYOTEEEE, ni raha sana na unakuwa na amani sana, unapojua hakuna mtu kakugusa zaidi ya mkeo/mumeo. TUWE MARAFIKI MILELE NA IBAKI HIVYO, lol!! watu8 mzima wewe??hahaha....usifanye masikhara kabisa rafiki, flirting ni silaha moja kubwa sana ya kuweka mawindo kwenye target.
uzuri ni kwamba hapa JF especially kule CC wengi wanaofanya flirting hata sidhani kama wanamaanisha maana physically si kuwa watu wanajuana.
Lakini hatari itazuka pale mtapokutana na kukuta interests zalingana na hata body appearance ni sawasawa na ile ambayo huku-turn on
Sasa baba, kama memsahib hata akivaa khanga moko anapita mbele yako wewe unawaza magonjwa uliyoona mchana? Nae afanyeje sasa? Wanawake takes a lot of stress kwa gharama ya kukaa kwenye mahusiano.
Imagine kuna jitu hata haulimind na linakuambia plz nitumie picha yako baby, nione umevaaje leo (kazini), wakati ukivaa hata mwenza hakuangalii na ukimtumia msg mchana have u had lunch hun, hakujibu manake yuko busy. Kha!
Kuna ukweli unapokuta mpenzio anaflirt na watu kama 10 au zaidi...na hana mahusiano ya kingono na hata mmoja wao? I mean...if you ask, ndio jibu utakalopewa..atasewar na vilio juu..'sijawahi hata kumuona anafananaje'!
Basi mie sielewi. Nilidhani ni utani mdogo mdogo tu wenye maneno ya kawaida. Kumbe wanaulizana hata rangi ya vyupi?
Kama ni hivyo basi huko ni kutongozana.
Hiyo shule nilimalizana nayo 1947!
mmmmmmhhhhhhhhhh!! source naikubali, ila ujumbe uliompa mwenzio naukataa!! SI WOTE WAPO VILE UDHANIAVYO MY DEAR HUBBY!! wengine wana fahamu zao timamuuuuuuu!!Kaka, bila kung'ata maneno..... Kama mkeo anaflirt na njemba zaidi ya 10 (kwa staili mzee mwenzangu Dark City kaiita utongozaji) Basi amin amin nakuambia kuna njemba zaidi ya tano zishamlala!
Take it from me bro. Am a very reliable source!
Nomino ya neno flirt kwa Kiswahili sanifu ni "hashuo"
Kwa hiyo kwa Kiswahili, ku-flirt ni "kujihashua" au "kuhashukwa"
Ukitaka kusema Rosa ana-flirt na Juma unaweza kusema hivi:
1. Rosa anajihashua/anamhashukia Juma (ikiwa ni Rosa tu anaetenda)
2. Rosa anahashukiana na Juma (ikiwa wote wawili wanatendeana)
Tanabahi 1
* Kwa hulka na tamaduni ya Kiswahili kuhashua/kuhashukwa hakubebi dhana kuwa kuna dhamira ya ngono kila wakati.
Unaweza kumhashua dada, kaka, mama, baba, bibi au babu yako (na bila ya shaka mke au mume wako).
Kwa hiyo mbali na kumaanisha ku-flirt, kunamaanisha pia kuonyesha mapenzi wazi wazi kwa mtu wako
Tanabahi 2
*Ukimsikia mtu kakuambia "hebu usinihashukie" jua umetukanwa tusi kubwa mno.
Inategemea na utumikaji wenyewe.. Nataka nikutumie. Je utakubali?
lakini pia wakina dada wapo wenye AKILI zao TIMAMU!! na kujua kusoma alama za nyakati, HATUPO EASY HIVYO JAMANI!! nakataa hilo,
PERIOD!! JIAMINI MY KAKA, WENGINE HUJIHESHIMU KWELI KWELI!