Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,365
- 108,520
alichoongea AshaDii kina ukweli kabisa, wanaume sisi tuna mitego midogo midogo sana na flirting ni moja ya silaha zetu kubwa tukitaka kuangusha Scania.
Wajuzi wa "art of approaching", wanaicategorize flirting kama a must do step kama unataka ulale na mwanamke kirahisi. Flirting ni pumbazo ambalo mwanamke ukishamtega nalo mpaka anakuja kuchomoka walau utakua ushamnyoa japo manyoya....
Flirting ni kitu ambacho tumezaliwa nacho, ni chombezo ambalo mtu hajifunzi bali taratibu hujijenga kulingana na mara ngapi latumika.
Halafu sasa kina dada wengi hupenda wanaume wanaoflirt....na akijua wewe ni wa kaliba hiyo basi hataacha kukutupia vineno vya hapa na pale..."Nipigie simu best, nimemiss kweli sauti yako...".
Wajuzi wa "art of approaching", wanaicategorize flirting kama a must do step kama unataka ulale na mwanamke kirahisi. Flirting ni pumbazo ambalo mwanamke ukishamtega nalo mpaka anakuja kuchomoka walau utakua ushamnyoa japo manyoya....
Flirting ni kitu ambacho tumezaliwa nacho, ni chombezo ambalo mtu hajifunzi bali taratibu hujijenga kulingana na mara ngapi latumika.
Halafu sasa kina dada wengi hupenda wanaume wanaoflirt....na akijua wewe ni wa kaliba hiyo basi hataacha kukutupia vineno vya hapa na pale..."Nipigie simu best, nimemiss kweli sauti yako...".
Last edited by a moderator: