Unafanyaje mpenzi wako aki'FLIRT'?

Unafanyaje mpenzi wako aki'FLIRT'?

Una akili sana kama mke Wa Obama!

Hahahah.... navuta taswira babu DC anaflirt na mkewe kwenye web cam.....

Hehehe au anachat naye akimuuliza rangi ya chupi aliyovaa....

Ngoja kwanza nitafakari upya nione kama kweli naweza flirt na mama Matesha wangu the way navoflirt na cacico...... Khaaa!
 
Last edited by a moderator:
Mzee mwenzangu yaweza kuwa ni kutongozana, ila kwa mujibu wa Yesu Kristu, huu tayari ni uzinzi na uasherati!

Wapaswa watubu na kuiamini injili. Ama la siyo badala ya kujitesa kwa maimajineshenz basi wale tundi kabisaijulikane moja...... kwa kuwa kwa vyovyote vile wote wametenda dhambi

Source: Yesu wa Nazareti.

Enzi zangu ningewahi option ya 2!

Yaani napika, napakua na kula pia. Nisingeweza kupiga passport wakati naweza kujiogea kwa raha zangu.

Haki ya nani kumbe uzee ni janga karibia na laana vile!
 
bahati mbaya sana, wadada wa jf wote (ukimwondoa chizi kongosho na wenye vichwa kama chake) ni st. Watakatifu!

Hawapendi kusema ukweli hasa linapokuja swala la cheating. Sisi wanaume ndo tunaflirt na baadae kungonoka nao. Lakini wote wanasema wanaflirt tu, ila hawangonoki.... Sasa huwa tunangonoka na mitetea inayotumia id zao kuflirt?

Mi huwa nakasirikaga sana asee
tena nina mpango wa kuongeza id kwi kwi kwi kwi!! Hubby si unajua hata ile id ya siku ileeeeee ni yangu!! Halafu mbona mke mkubwa simuoni hapa, najua anaogopa!! Lol!! Hubby x-mas wapi??
 
kuna mambo mengine inabidi ukaze roho huku ukijitahidi kupotezea, ingawa kupiga biti muhimu.......sometimes unaingia kijasusi kwenye a/c na kublock vihatarishi(hapa kama umeona hali hatarishi imezidi)
mke mwenza nina d.il..do tamuje??? Twenzetu tukapate mautamu ya 2some!
 
... kuna namna nimemuweka mkewangu ... ahh!! .. hata aki flirt kweli haina tatizo... wala siangalii mara mbili ... ninajiamini kuhusu yeye kwa namna ambayo... hanisumbui kabisa na siwezi kumzuia kufanya hivyo ..

It is one of the human characters to take advantage of certain situation...trust included! How sure are you that 'she is not taking advantage ya hiyo 'namna' uliyomuweka mkeo'?
 
kuna mambo mengine inabidi ukaze roho huku ukijitahidi kupotezea, ingawa kupiga biti muhimu.......sometimes unaingia kijasusi kwenye a/c na kublock vihatarishi(hapa kama umeona hali hatarishi imezidi)

Kwamba atakuwa na account moja siyo? STUKA wife..... THINK!!
 
Hahahah.... navuta taswira babu DC anaflirt na mkewe kwenye web cam.....

Hehehe au anachat naye akimuuliza rangi ya chupi aliyovaa....

Ngoja kwanza nitafakari upya nione kama kweli naweza flirt na mama Matesha wangu the way navoflirt na cacico...... Khaaa!
Sie hatufanyi maigizo au kanyaboya Babu!!

Tunafanya true ya kizer!
 
Last edited by a moderator:
Na mume anayeflirt je?

Au tumfanyie birthday 3 kwa mwaka kama bonus?
Hao ndio wabaya haswa.

Unakuta ana picha za nusu uchi toka kwa vibinti mpaka inatisha.Akiulizwa "oh haimaanishi chochote, kwanza walituma wenyewe mie sijaomba." Alafu watu wanashangaa inakuwaje mtu atake kumuacha mke kisa kanenepa kipindi cha uzazi.
 
kuna mambo mengine inabidi ukaze roho huku ukijitahidi kupotezea, ingawa kupiga biti muhimu.......sometimes unaingia kijasusi kwenye a/c na kublock vihatarishi(hapa kama umeona hali hatarishi imezidi)

Huo sasa ni ujasusi!

Unadhani ni tiba ya uhakika?
 
tena nina mpango wa kuongeza id kwi kwi kwi kwi!! Hubby si unajua hata ile id ya siku ileeeeee ni yangu!! Halafu mbona mke mkubwa simuoni hapa, najua anaogopa!! Lol!! Hubby x-mas wapi??

Wifey bana..... unaulizia vumbi stoo?

Xmass si ndo siku tumepanga tumtengeneze baby boy wetu atakayekuja kuwa Yohana Mbatizaji wa karne mpya?

Unaniudhi unavyosahaugi ujue.
 
Hao ndio wabaya haswa.

Unakuta ana picha za nusu uchi toka kwa vibinti mpaka inatisha.Akiulizwa "oh haimaanishi chochote, kwanza walituma wenyewe mie sijaomba." Alafu watu wanashangaa inakuwaje mtu atake kumuacha mke kisa kanenepa kipindi cha uzazi.

Hapo hakuna kingine zaidi ya uzinzi kwa kwenda mbele...ref. Asprin
 
Last edited by a moderator:
Hata kama 'ikizidi hapo' is more fun!? What you want is fun...right!?
Fun yes! Ila ukipitiliza unaweza kucompromise ur happiness/life, afu ukipitiliza unaweza anza kucheat so lzm iwe na limit
 
It is one of the human characters to take advantage of certain situation...trust included! How sure are you that 'she is not taking advantage ya hiyo 'namna' uliyomuweka mkeo'?
Riwa kweli kabisa kwa moyo wote ukitaka kujua kinachoendelea ndani ya moyo na fikra za mkeo/girlfriend ... huwezi kujua? ... ukiamua kabisa na kuweka devotion yote ... huwezi kujua?? Bila hata ya kutumia mtu wa pili..Huwezi kujua?
 
Last edited by a moderator:
Fun yes! Ila ukipitiliza unaweza kucompromise ur happiness/life, afu ukipitiliza unaweza anza kucheat so lzm iwe na limit

Heeeeehhhh,

Kumbe flirting siyo cheating?

Unanikumbusha Bill Clinton na Monica!

Wapi Mtambuzi atusimulie hiyo kesi na utamu wake!
 
Last edited by a moderator:
Kila kitu kikizidi kina madhara. ila yategemea flirting yenyewe ikoje then natoa onyo...
 
Back
Top Bottom