Una miaka zaidi ya 65, unajenga nyumba ya nini?

Una miaka zaidi ya 65, unajenga nyumba ya nini?

muulize aliyezileta
Kwa nini alizileta? hujui pesa ni janja janja ya watu wavivu? Aliyeponda kokoto na kujaza tipa moja kwa shilingi 30,000 na aliyekaa kikao cha dakika 30 na kusaini milioni, ni nani aliyefanya kazi halisi?​
 
Maendeleo hayana ukomo wa umri, hata ukiwa na miaka 100 unaweza kujenga tu, ukifa watarithi watoto, wajukuu na vitukuu. Hii hoja ina mantiki kwa ambao tayari wameishajenga nyumba tangu wakiwa vijana. Sasa mzee umezipata hela uzeeni na hukuwahi kujenga kwa nini usijenge nyumba yako ukafie huko kuliko kufia kwenye nyumba ya kupanga?
 
Kwa nini alizileta? hujui pesa ni janja janja ya watu wavivu? Aliyeponda kokoto na kujaza tipa moja kwa shilingi 30,000 na aliyekaa kikao cha dakika 30 na kusaini milioni, ni nani aliyefanya kazi halisi?​
babu yako isinichoshe na maswali
zimeshaletwa ili tuishi katika mfumo filan hakuna namna
 
Maendeleo hayana ukomo wa umri, hata ukiwa na miaka 100 unaweza kujenga tu, ukifa watarithi watoto, wajukuu na vitukuu. Hii hoja ina mantiki kwa ambao tayari wameishajenga nyumba tangu wakiwa vijana. Sasa mzee umezipata hela uzeeni na hukuwahi kujenga kwa nini usijenge nyumba yako ukafie huko kuliko kufia kwenye nyumba ya kupanga?
Kufia kwako na kufia kwenye nyumba ya kupanga inaongezaje thamani kwa maiti?
 
Back
Top Bottom