Una miaka zaidi ya 65, unajenga nyumba ya nini?

Una miaka zaidi ya 65, unajenga nyumba ya nini?

Kama hali ya maisha ni ya kawaida, kila baada ya miaka 10+ unasimamisha mjengo.
Umejenga ya kwanza una miaka 25, ukifika 65, unazo 4. Unakula tu kodi, hutegemie serikari sijui kiinuamgongo.
 
Huu ni umri wa kupumzika na kutafakari yale yote uliyoyatenda katika ujana wako, kuanzia kimasomo, kimaisha, kikazi n.k

Ni umri ambao hauna tija tena katika uzalishaji; ndio maana wengi wakifikia huo umri hulazimishwa kustaafu. Swali, ni wangapi wako tayari kustaafu wakifikia huo umri?

Kustaafishwa maana yake, kwa huo umri wako hauhitajiki tena katika uzalishaji, bali unatakiwa kupisha nguvu mpya zenye ufanisi katika utendaji.

Hii inatafsiri, huo ni umri wa kukataliwa na jamii, na jamii ikikukataa unatakiwa kuwa karibu na muumba wako; sasa najiuliza swali kwa umri huo, unajenga nyumba ya nini, ikiwa jamii haikutaki na unakuwa umebakiza miaka michache ya kuonana na muumba?
Kwani lazima wote tujenge?
 
Kama hali ya maisha ni ya kawaida, kila baada ya miaka 10+ unasimamisha mjengo.
Umejenga ya kwanza una miaka 25, ukifika 65, unazo 4. Unakula tu kodi, hutegemie serikari sijui kiinuamgongo.
Tungekuwa tunajenga za namna hii sawa
stt.jpg
 
Ubinafsi "Selfish" au Self interest ndio tatizo linalokutesa,

I hope you are not serious,otherwise wewe ni mtu wa hatari sana kwa kila kiumbe kitakachokua karibu yako.
Mpaka sasa hivi, umewaachia visima vingapi vya mafuta?
 
Huu ni umri wa kupumzika na kutafakari yale yote uliyoyatenda katika ujana wako, kuanzia kimasomo, kimaisha, kikazi n.k

Ni umri ambao hauna tija tena katika uzalishaji; ndio maana wengi wakifikia huo umri hulazimishwa kustaafu. Swali, ni wangapi wako tayari kustaafu wakifikia huo umri?

Kustaafishwa maana yake, kwa huo umri wako hauhitajiki tena katika uzalishaji, bali unatakiwa kupisha nguvu mpya zenye ufanisi katika utendaji.

Hii inatafsiri, huo ni umri wa kukataliwa na jamii, na jamii ikikukataa unatakiwa kuwa karibu na muumba wako; sasa najiuliza swali kwa umri huo, unajenga nyumba ya nini, ikiwa jamii haikutaki na unakuwa umebakiza miaka michache ya kuonana na muumba?
Mkuu kichwa chako hakina akili! Ina maana kama hela ipo kuwajengea wajukuu itakuwa vibaya?
 
Hakuna binadamu anayejua siku yake ya kufa, unaweza kuwa na miaka 65 na ukaishi hadi 90. Je, nikae miaka 25 iliyobaki nikiwa mpangaji kwa sababu tu ya kuhofia kifo?

Mentality ya kijinga hii.
Unajenga ili iweje?
 
mbona watu wengi wanafariki na miaka 80-90

unaacha urithi kwa watoto ama wajukuu

sema akili zako ndo wale wazee mnaosema na kutaka watoto wahangaike kama ww ulivyo hangaika kupata mali

ila nimepata ww n shabiki wa simba
Watoto/wajukuu wapatie elimu ya kuzunguka dunia, sio kuwaachia majengo yaliopitwa na wakati.
 
Back
Top Bottom