fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,659
- 9,221
Kwetu kila mtoto kapata urithi,Tanzania na nje ya nchi,nawashukuru wazazi wangu ambao leo wote wametangulia mbele ya haki.Kwa upande wako, wewe ulirithi za nani?
Kwetu kila mtoto kapata urithi,Tanzania na nje ya nchi,nawashukuru wazazi wangu ambao leo wote wametangulia mbele ya haki.Kwa upande wako, wewe ulirithi za nani?
Mkuu tunacho angalia kaiachia dunia nini? Hayo mengine we wasemaKwa hiyo anatamani aishi miaka 200?
Katika maisha ya kazi za kuajiriwa kuna vigezo ili kuweza kufikia mahitaji ya soko, mojawapo ikiwa...Wepesi wa kufikiri, kuamua na kutenda, jambo ambalo wazee walio wengi hicho kipengele ni kigumu kwao.Kwa nini wanastaafishwa wakifikisha huo umri?
Hahaha! Mkuu, kwani hawana wazazi wao?Unajengea wajukuu
Kwa nini hujapenda kuwaachia kampuni/biashara wajukuu zako zaidi ya kujikita kwenye jengo?Kwetu kila mtoto kapata urithi,Tanzania na nje ya nchi,nawashukuru wazazi wangu ambao leo wote wametangulia mbele ya haki.
Angetuachia kama theory za kina Archimedes principle ingekuwa vizuriMkuu tunacho angalia kaiachia dunia nini? Hayo mengine we wasema
POA mkuu utakula theory 👍👍Angetuachia kama theory za kina Archimedes principle ingekuwa vizuri
Katika maisha ya kazi za kuajiriwa kuna vigezo ili kuweza kufikia mahitaji ya soko, mojawapo ikiwa...Wepesi wa kufikiri, kuamua na kutenda, jambo ambalo wazee walio wengi hicho kipengele ni kigumu kwao.
Evolution of man kwa mtu mweusi ilishaisha au bado inaendelea?Ngozi nyeusi ikifika miaka 65 mnawaza kufa, wazungu ikifika 65 wanaona ndio wapo kwenye kilele cha kutafuta maisha kwa nguvu zote na kuenjoy zaidi
Hivi wajukuu wa Isaac Newton wapo kweli?POA mkuu utakula theory 👍👍
Itapendeza kama na wewe ulikula matunda ya waliotutanguliaHapa duniani ukiweza kufanya Jambo Fulani Zuri la kufurahisha moyo wako lifanye Kwa kiwango kikubwa usifikiri maswala ya kifo. Fanya ili na wanao wale matunda ya furaha Yako.
Kwa mishe ninazopiga sijawahi kuwaza hata kama nitafika huko kwenye 60Ngozi nyeusi ikifika miaka 65 mnawaza kufa, wazungu ikifika 65 wanaona ndio wapo kwenye kilele cha kutafuta maisha kwa nguvu zote na kuenjoy zaidi
Sasa pesa unapeleka wapi?Kujenga nyumba ni uoga wa maisha, hata ukiwa na miaka 18 kujenga ni useless maana hapa duniani tunapita. Kwa nini ujenge njiani ?
Mitungi, blanti, mikasi !Sasa pesa unapeleka wapi?
Hata najua basi, nasikia hakuacha mtoto, muasisi wa kataa ndoaHivi wajukuu wa Isaac Newton wapo kweli?
Kuna watu wanatisha watu huku, wanasema fainali ni uzeeniMitungi, blanti, mikasi !