Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

Ma mkwe papa gani..
PAPA WEMBA?
PAPA samaki..
Papa wa katoliki
ama PAPA kiungo pendwa

Kama ni kiungo pendwa nina muda mrefu saana sijaburudika nacho..
Nahisi naanza hata kusahau kinafananaje na naweza nikasahau hata matumizi yake.😂🤣
(5,179) Shurubati ya papa, Shurubati ya kamongo | JamiiForums Tanzania Shurubati ya papa, Shurubati ya kamongo
 
Ma mkwe papa gani..
PAPA WEMBA?
PAPA samaki..
Papa wa katoliki
ama PAPA kiungo pendwa

Kama ni kiungo pendwa nina muda mrefu saana sijaburudika nacho..
Nahisi naanza hata kusahau kinafananaje na naweza nikasahau hata matumizi yake.😂🤣
Unafanya makusudi ba mkwe

Si juzi tu hapa ulikifata kule nyanda za juu lakini
 
Mi sikumbuki lini ni kama mwaka Sasa. Kinachonifanya nsipende sana ni shombo yake.dizaini naifananisha na mk*j*..Ina shombo Kali nisamehewe😒
Pili ni chumvi nyingi sana.

Mie asili yangu ni pwani,hiyo ni kitu pendwa kule.wanapenda kavu au na muhogo.mhogo wa nazi au ugali wake wanaita bada.
Na pia kuunga mchuzi lazima bamia na nyanya chungu.

Mara ya mwisho kula papa ni lini?
Jamii yenu inakula?
binafsi sijuagi kutofautisha hao wadudu wa baharini, ziwani au mitoni, mie nikiona ina ladha ya kuliwa napeleka motro tu 🐒
 
Back
Top Bottom