Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
4,130
Reaction score
12,862
Mi sikumbuki lini ni kama mwaka Sasa. Kinachonifanya nsipende sana ni shombo yake.dizaini naifananisha na mk*j*..Ina shombo Kali nisamehewe😒
Pili ni chumvi nyingi sana.

Mie asili yangu ni pwani,hiyo ni kitu pendwa kule.wanapenda kavu au na muhogo.mhogo wa nazi au ugali wake wanaita bada.
Na pia kuunga mchuzi lazima bamia na nyanya chungu.

Mara ya mwisho kula papa ni lini?
Jamii yenu inakula?
Screenshot_20260524-211053_1.jpg
Screenshot_20260524-211318_1.jpg
Screenshot_20260524-211249_1.jpg
Screenshot_20260524-211227_1.jpg
 
Mi sikumbuki lini ni kama mwaka Sasa.
Kinachonifanya nsipende sana ni shombo yake.dizaini naifananisha na mk*j*..Ina shombo Kali nisamehewe😒
Pili ni chumvi nyingi sana.

Mie asili yangu ni pwani,hiyo ni kitu pendwa kule.wanapenda kavu au na muhogo.mhogo wa nazi au ugali wake wanaita bada.
Na pia kuunga mchuzi lazima bamia na nyanya chungu.

Mara ya mwisho kula papa ni lini?
Jamii yenu inakula?
we unakula Ng'onda sio Papa kuna tofauti kati ya papa na Ng'onda kwa watu wa visiwani Zanzibar na pemba tunajua
 
Ma mkwe papa gani..
PAPA WEMBA?
PAPA samaki..
Papa wa katoliki
ama PAPA kiungo pendwa

Kama ni kiungo pendwa nina muda mrefu saana sijaburudika nacho..
Nahisi naanza hata kusahau kinafananaje na naweza nikasahau hata matumizi yake.😂🤣
 
Ujue ma mkwe papa huyo kiasili hana chumvi kiasi hiko, ila hiyo huwa inawekwa kwa ajili ya kuihifadhi ikae muda mrefu, hata nyama, ama samaki wengine kama nguru etc huwa wanawekwa hivyo ili wakae sana
 
Ujue ma mkwe papa huyo kiasili hana chumvi kiasi hiko, ila hiyo huwa inawekwa kwa ajili ya kuihifadhi ikae muda mrefu, hata nyama, ama samaki wengine kama nguru etc huwa wanawekwa hivyo ili wakae sana
Oh basi mi nkajua ndio asili yake.yani hata upike mda mrefu kiasi gani haitoki
Kwahiyo chumvi imetumika kama preservative
Wanawekaje?
 
Ma mkwe papa gani..
PAPA WEMBA?
PAPA samaki..
Papa wa katoliki
ama PAPA kiungo pendwa

Kama ni kiungo pendwa nina muda mrefu saana sijaburudika nacho..
Nahisi naanza hata kusahau kinafananaje na naweza nikasahau hata matumizi yake.😂🤣
(5,179) Shurubati ya papa, Shurubati ya kamongo | JamiiForums Tanzania Shurubati ya papa, Shurubati ya kamongo
 
Back
Top Bottom