Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

Umewahi kula papa? Mara ya mwisho lini?

Ma mkwe papa gani..
PAPA WEMBA?
PAPA samaki..
Papa wa katoliki
ama PAPA kiungo pendwa

Kama ni kiungo pendwa nina muda mrefu saana sijaburudika nacho..
Nahisi naanza hata kusahau kinafananaje na naweza nikasahau hata matumizi yake.😂🤣
Mkuu oa
 
Me napenda zaidi nguru, ila papa big Si mbichi wala mkavu-huyo unosema ana chumvi nyingi.
Na sbb ni hio harufu km shii. Naskia kuna aina hio wanonuka shii...huku kwetu tunaita papa kojo. Na kuna wengine harufu yao kawaida tu ya samaki. Ila sasa kumjua yupi ndio yupi ndo mtihani.
Mara ya mwisho nilikula kwenye sherehe ya arusi, kulikuwa kuna mishkaki ya samaki na mpishi alipika ya huyo papa kojo, watu wote ilitushinda...ilishapita zaidi ya 15yrs now. Sijajaribu tena kula
 
Papa analiwa na kupikwa au kukaangwa akiwa mbichi au kubanikwa..
Ng'onda samaki yyte mkubwa au hata mdogo hukaushwa na kuwekewa chumvi ili kuliwa baadae akiwa mkavu..

Wavuvi wa Majarife\Nyavu chumvini wakikuta Jodari au Fulusi nk.wamekaa sana kwenye nyavu na teyari wamevunda.Hao samaki hawatupwi..Walitayarishwa na kuhifadhiwa kwa Chumvi\ Juani wawe Ng'onda. Kipindi cha Kusi samaki wanapoadimika Papa\Nguru\Ng'onda walitumika sana.
Hujawapa na sifa ya harufu yake.
Ila ile harufu ndio kama utamu wenyewe ati!!!! 🤤
 
Me napenda zaidi nguru, ila papa big Si mbichi wala mkavu-huyo unosema ana chumvi nyingi.
Na sbb ni hio harufu km shii. Naskia kuna aina hio wanonuka shii...huku kwetu tunaita papa kojo. Na kuna wengine harufu yao kawaida tu ya samaki. Ila sasa kumjua yupi ndio yupi ndo mtihani.
Mara ya mwisho nilikula kwenye sherehe ya arusi, kulikuwa kuna mishkaki ya samaki na mpishi alipika ya huyo papa kojo, watu wote ilitushinda...ilishapita zaidi ya 15yrs now. Sijajaribu tena kula
Huyu ninaemuongelea ni kama ana ngozi yake Kwa juu.akiwa mkavu inaonelana ngumu
ukiipika inakuwa laini
Wengi wako kijivu
Ukimpika shombo yake kuanzia vyombo ulivyotumia Hadi mikono yako inabaki harufu yake,inachukua muda kuondoka
 
Me napenda zaidi nguru, ila papa big Si mbichi wala mkavu-huyo unosema ana chumvi nyingi.
Na sbb ni hio harufu km shii. Naskia kuna aina hio wanonuka shii...huku kwetu tunaita papa kojo. Na kuna wengine harufu yao kawaida tu ya samaki. Ila sasa kumjua yupi ndio yupi ndo mtihani.
Mara ya mwisho nilikula kwenye sherehe ya arusi, kulikuwa kuna mishkaki ya samaki na mpishi alipika ya huyo papa kojo, watu wote ilitushinda...ilishapita zaidi ya 15yrs now. Sijajaribu tena kula
Means wakaribia 60 ehh 😅
 
Mimi msukuma itanichukua muda sana kuja kuzoea samaki wa baharini, wana taste ya kunikinai sana
Nawe unaimba hizo nyimbo?
Kwani Kuna sehemu wamesema sipaswi kuimba? Acha kujiweka kwenye boksi binti mnatuonea sana mnataka tuwe magangari alafu baadae mnasema hayuko romantic kabisa
 
Mimi msukuma itanichukua muda sana kuja kuzoea samaki wa baharini, wana taste ya kunikinai sana

Kwani Kuna sehemu wamesema sipaswi kuimba? Acha kujiweka kwenye boksi binti mnatuonea sana mnataka tuwe magangari alafu baadae mnasema hayuko romantic kabisa
Nimeuliza sababu nahisi hizo lyrics ni wimbo wa giggy money🤣🤣
 
Back
Top Bottom