Veteran Sailor
JF-Expert Member
- May 28, 2025
- 1,869
- 3,848
Raha ya Papa upate na mchuzi wa nazi wenye bamia na ngogwe. Uliopikwa kwenye chungu cha mfinyanzi na kamwiko ka mti wa kuchonga.
MmhhhWale wanaosema inanuka kisamaki humaanisha Papa
🤩🤩🤩Raha ya Papa upate na mchuzi wa nazi wenye bamia na ngogwe. Uliopikwa kwenye chungu cha mfinyanzi na kamwiko ka mti wa kuchonga.
Ma mkwe, sasa toka kipindi kile mpaka leo imekatika miezi mingapi, wakati kikawaida mwanaume haipaswi kuzidisha wiki walau mara 1, bila kugusanisha nyaya.. tena zingatia neno walauUnafanya makusudi ba mkwe
Si juzi tu hapa ulikifata kule nyanda za juu lakini
Kumfanyia hiyo salting ama? Wanafanyiwa piaNa kibua vipi?
Chumvi ni kutokana imekaushwa na kutumiwa chumvi kuifanya isiharibike si kwamba nyama yake ina chumvi. Hii ni chumvi ya kuwekwa. Hiyo nyama inachemshwa na kukaushwa ndiyo maana ipo hivyoMi sikumbuki lini ni kama mwaka Sasa. Kinachonifanya nsipende sana ni shombo yake.dizaini naifananisha na mk*j*..Ina shombo Kali nisamehewe😒
Pili ni chumvi nyingi sana.
Mie asili yangu ni pwani,hiyo ni kitu pendwa kule.wanapenda kavu au na muhogo.mhogo wa nazi au ugali wake wanaita bada.
Na pia kuunga mchuzi lazima bamia na nyanya chungu.
Mara ya mwisho kula papa ni lini?
Jamii yenu inakula?View attachment 3597452View attachment 3597453View attachment 3597454View attachment 3597455
Daah sijawahi mdogo wangu, hivi huwa wanapatikana wapi?Binti wa zamani umewahi kula papa dada?
Njoo msasani dagoni ule wa kutoshaDaah sijawahi mdogo wangu, hivi huwa wanapatikana wapi?
Tupe utofauti wakewe unakula Ng'onda sio Papa kuna tofauti kati ya papa na Ng'onda kwa watu wa visiwani Zanzibar na pemba tunajua
Naonaga nikiwa naenda chamazi hapo mbagala wanauzaga...Leo ndio nimejua kua ni papa japo sijawai kulaagaaNjoo msasani dagoni ule wa kutosha
Drop pin 📍niibuke!Njoo msasani dagoni ule wa kutosha
Ushasikia kipande Cha papa na ugali wa muhogoNaonaga nikiwa naenda chamazi hapo mbagala wanauzaga...Leo ndio nimejua kua ni papa japo sijawai kulaagaa
Msasani beachDrop pin 📍niibuke!
Hao nawasikiaga TU. Siwajui ila NIMEWAI kula PRONZE wale wakubwaa umewai kula PRONZE WANAUZWAGWA MAHOTEL MAKUBWA YA WATALII BEI GHALI SANAUshasikia kipande Cha papa na ugali wa muhogo
Halafu Kuna Ngulu naye analiwa
Papa analiwa na kupikwa au kukaangwa akiwa mbichi au kubanikwa..Tupe utofauti wake
Binafsi sijawai kula hao papa, nguru ila nasikiaga wanadaresalama wakisema n'gonda Huwaga na harufu Kali sana akivunda JE? Kuna ukweli wowotePapa analiwa na kupikwa au kukaangwa akiwa mbichi au kubanikwa..
Ng'onda samaki yyte mkubwa au hata mdogo hukaushwa na kuwekewa chumvi ili kuliwa baadae akiwa mkavu..
Wavuvi wa Majarife\Nyavu chumvini wakikuta Jodari au Fulusi nk.wamekaa sana kwenye nyavu na teyari wamevunda.Hao samaki hawatupwi..Walitayarishwa na kuhifadhiwa kwa Chumvi\ Juani wawe Ng'onda. Kipindi cha Kusi samaki wanapoadimika Papa\Nguru\Ng'onda walitumika sana.
harufu yake kama hujawahi kula usijaribu kabisa hahahhahhaaaBinafsi sijawai kula hao papa, nguru ila nasikiaga wanadaresalama wakisema n'gonda Huwaga na harufu Kali sana akivunda JE? Kuna ukweli wowote