Uliza chochote kuhusu Rwanda

Uliza chochote kuhusu Rwanda

1742132868749.png

Hiki ndo kilikuwa kipimo cha mtutsi
 
Una kila haki ya kuumia kwa sababu marehemu raisi alitaka kutengeneza kizazi kisicho na chimbuko. Alichokitoa, ndo alichokipata.

Kisasi hicho lazima watu wawe nacho, na ndo maana serikali inalazimika kuwa karibu na kutoacha mianya ya kulipiza visasi hivyo, bali kuendelea na safari ya kuelimisha watu kuuhusu madhara ya visasi hivyo
Sasa hiv wanyarwanda hasa wahutu wanavisasi vya hali ya juu kuliko wakat wowote my friend. Na kagame kajichanganya mpaka mageneral wengi watutsi wasiokubaliqna nae anawaua au wako house arrest. Bisha nikupe idadi. Ukikaa na wahutu ndio wanaoumia sio watutsi. Unaendeleza kile kile ulichokipigania. Bora Marehemu General Rwigema angekuwepo. He was very smart Rwanda ever had
 
Sasa hiv wanyarwanda hasa wahutu wanavisasi vya hali ya juu kuliko wakat wowote my friend. Na kagame kajichanganya mpaka mageneral wengi watutsi wasiokubaliqna nae anawaua au wako house arrest. Bisha nikupe idadi. Ukikaa na wahutu ndio wanaoumia sio watutsi. Unaendeleza kile kile ulichokipigania. Bora Marehemu General Rwigema angekuwepo. He was very smart Rwanda ever had
Bahati mbaya sasa ndo hivo hayupo, aliyepo wanaoongozwa nae, ndo wanaenjoy maisha.

Hiyo list uiweke na sababu za kila mmoja kuuliwa au kufungiwa kwake.
 
Mleta mada upo smart....ila Kiswahili chacho imenibidi nimeze panaldo mana kinaumiza kichwa.

Wanaouliza wewe kabila gani....hao hawajielewi
 
Sijui umemaanisha ukubwa gani. Je, Kigali inaanzia wapi, inaishia wapi? Mfano, Mwanza, unajua kutoka Buhongwa, mpaka Kisesa, kuna umbali gani? Hapo ni mjini kati. Maana nikiongelea nje, ntaanzia Usagala, nyuma ya Kisesa sijui mji kwa sasa umefika wapi!
Wanyarwanda mna taarifa sana na Tanzania, but hongera sana upo smart upstairs
 
Mleta mada upo smart....ila Kiswahili chacho imenibidi nimeze panaldo mana kinaumiza kichwa.

Wanaouliza wewe kabila gani....hao hawajielewi
Kinaumiza kichwa kivipi mkuu?

Ikiwa ni cha kujifunza ukubwani, usitegemee kitakuwa kama cha mzawa. Kikubwa tu ujumbe ufike.
 
Dah!
Mkuu, mi nianze kwa kukupa pole. kwa sababu, haya matango ya kulishwa kwenye media na vyombo vya habari, ndo yanaonekana yana nguvu kuliko uhalisia.
Nianze na huyo binti:
Binti unaemsema, anatokea familia ya tajiri mkubwa miongoni mwa wengine nchini Rwanda.
Dada yake ndo aliejitokeza kugombea urais.
Vitu vingine, tusiwe na ushabiki wa kijinga.
Vigezo vya kugombea, kila nchi inavyo vya kwake.
Rwanda, kosa la kugushi, adhabu yake ni miaka 7 jera. Nadhani alikutwa na saini za watu ambao ni marehemu. Hajawahi kuhukumiwa, jina lake ni Diane Rwigara.
Aliefaliki, ni mdogo wake, anaitwa Anne Rwigara. Sasa, wewe hapa unaemzungumzia, ni mdogo mtu, ambae hakuhusika na mambo ya uchaguzi. Usikalilishwe, ukiwa na interets na kitu, fanya tafiti za kutosha.

Kuogopeka, ukiachana na kuwa ni rais, na maadili, mzazi wako kama huwezi kumkosea heshima, iweje umkosee heshima mzazi wa mtu mwingine?
Rais Samia, aliwahi kusema kwamba anaweza akakusamehe na akapotezea, lakini wasaidizi wake wakakushughulikia.
Je, kila mtu akimchukulia na kumsema anavyotaka rais, hiyo itakuwa nchi au sehemu tu ya wahuni?
Je, hao wanaokitaka kiti alichokalia, wanakitaka kwa lipi walilofanyia taifa labda? mtu hata alikozaliwa, hajulikani,hata shamba hana, from nowhere anataka kiti cha rais!

Linakuingia akilini kweli? Rwanda haiendeshwi kimasihara,
Rwanda ni nchi ambayo raia wake wengi walikufa wakafufuka, Rwanda ni nchi inayojua kila aina ya huzuni na chozi, hivyo si sehemu ya kuchezea danadana.
“Visit Rwanda 🇷🇼” ktk jersey za PSG ya France 🇫🇷 na ile Arsenal pale England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 inamatokeo chanya hasa ktk kuvutia watalii, kipi kimeongezeka ktk tasnia yenu ya utalii baada ya kuwepo kwa visit hizo ktk club kubwa za ulaya???
 
Kuna tetesi kuwa kwa namna moja ama nyingine kuwa kifo cha mchungaji mtikila kinahusishwa moja kwa moja na watu wa PK kwa walaka wake kwa serikali ya Awamu ya 4, chini ya Rais kikwete, hili unalizungumziaje???
 
Back
Top Bottom