N2 uongo.... Jwtz wako vzr .1. Kama kweli kuna wanyarwanda wamepenyezwa, japo hilo silijui, naongea mimi kama mimi, huo ni udhaifu wa nchi walikopenyezwa. Tz haina chochote cha kumtoa udenda, kwa sababu kila nchi inaishi kwa uwezo ilio nao.
2. Hapa ntaongopa. Ila, kwa nachokiona, kila moja lina sehemu lipo imara, na sehemu haliko vizuri. Tuchukulie mfano: nahisi(japo kijeshi najua mambo yao ni siri zao), jeshi la Tanzania lina vifaa vingi mno. Lakini uzoefu wa vita, halina. Sababu ikiwa toka miaka ya zamani, hao kina Kagame, wamekuwa vitani toka miaka ya ujana wao mpaka leo, kulia na kushoto, wanajeshi wake wanaendelea na vita, hivyo uzoefu wanao wa kutosha.
Nitaamini siku nikiona live Mtusi Mfupi.Watusi wafup kama beseni tupo wengi saana asee wazee kwa vijana.
Wapo mkuu, kaangalie ile kwaya ya ambassadorNitaamini siku nikiona live Mtusi Mfupi.
Nitaamini siku nikiona live Mtusi Mfupi.
Mkuu vep kuhusu cv ya Rowan Atkinson aka mr bean.Saikolojia inatuambia kuwa mtu makini na genius huwa hana tabia za mizaha au kuchekacheka hovyo. Nikiwaangalia watusi naona kama wanazo hizo sifa za utulivu wanapoongea na umakini. Sio watu wa mizaha na kuchekacheka hovyo. TOFAUTI NA SISI HUKU TUMEJAA MIZAHA NA VICHEKESHO HADI TUMEANZISHA TUZO ZA UCHEKESHAJI NA MIZAHA. Hivi Rwanda kuna Mwijaku, Joti na Mpoki au
Wapo mkuu unamkubuka yule adunje wa kwaya ambassadar of christ? Lakin pia wengine nmesoma nao.Nitaamini siku nikiona live Mtusi Mfupi.
Unaenda mbali Sana. Weka akiba ya maneno.
Sisi watanzania hususani wakazi wa mikoa ya Kanda ya ziwa huwa tuna positive attitude kwa Wanyarwanda kwa sababu ya kuwa na the same background ya wakazi wote wa mikoa tajwa na Wanyarwanda ndiyo maana Kuna Wanyarwanda wanaishi Tanzania bila shida, je, Wanyarwanda wanamtazamo Gani dhidi ya Watanzania?StarLink ni habari nyingine mkuu.
Japo, ukiachana na hiyo pia, kuna KTRN, ambayo inaprovide 4G. Ukilinganisha na kwenu, ni kitu kingine. 4G, GB30 ni kama elfu 15 kwenu. Na Ni 4G yenyewe hakuna cha mara ikakata, mara ikawa hivi.
Kwa upande wa Internet, bado Tanzania mpo mbali sana.
Nimepata mfano halisi. Kigali inalingana na Manispaa ya Temeke.Ukubwa wa Kigali unalingana na Mwanza Jiji. Magufuli City padogo Sana.
Jiheshimuungeanza wewe kujiheshimu sio unakuja hapa na stress za maisha unaleta mdomo mrefu kama mwaka wa njaa
Wee jamaa kigali imejengeka na ina miundombinu ya maana sio ya kulinganisha na kahama, imeipita hata dom, itakuwa hujatalii huko kwa miaka mingiSijui umemaanisha ukubwa gani. Je, Kigali inaanzia wapi, inaishia wapi? Mfano, Mwanza, unajua kutoka Buhongwa, mpaka Kisesa, kuna umbali gani? Hapo ni mjini kati. Maana nikiongelea nje, ntaanzia Usagala, nyuma ya Kisesa sijui mji kwa sasa umefika wapi!
Kwani, walichokiongelea ni maendeleo au ukubwa? Kama maendeleo, hata Mwanza haigusi. Mi nilijadili ukubwa wake.Wee jamaa kigali imejengeka na ina miundombinu ya maana sio ya kulinganisha na kahama, imeipita hata dom, itakuwa hujatalii huko kwa miaka mingi
Ukiwa mtanzania, huwezi pata shida yoyote ukiwa kwenye ardhi ya Rwanda. Masai mashahidi.Sisi watanzania hususani wakazi wa mikoa ya Kanda ya ziwa huwa tuna positive attitude kwa Wanyarwanda kwa sababu ya kuwa na the same background ya wakazi wote wa mikoa tajwa na Wanyarwanda ndiyo maana Kuna Wanyarwanda wanaishi Tanzania bila shida, je, Wanyarwanda wanamtazamo Gani dhidi ya Watanzania?
Hamna kitu kama hicho. Waliopo, wapo kwenye kazi ambazo ni za mikataba au za maendeleo yanayonufaisha raia. Mara wanauza vyombo kama Kariakoo, mara sijui wana mitaji ya dola elfu 5, vitu kama hivyo hakuna.Hv uko rwanda je wachina wamejazana kama Tanzania? Mpk kuhatalisha bznes za wazawa?
KAZI ni kipimo cha utu
Wewe muambie huyo kagame wako asijaribu Tanzania hata kidogo au tutamuweka mtu mwingine awe Rais.
Hivi, hiyo Mwanza unayoiongelea unaijua au unaongelea Mwanza ya mwaka 2000!
Ok. City center ya Kigali inaanzia wapi na inaishia wapi, City Center ya Mwanza inaanzia wapi na inaishia wapi!Mkuu, Mwanza nimefika na Kigali nimefika. Ninachosema City center ya Kigali inalingana na Mwanza City Center. Tofautisha Mwanza meteopolitan na Mwanza Jiji. Tena naweza kusema city center ya Kigali ni kubwa kuliko ya Mwanza. Ukija kwa eneo Mwanza wana eneo kubwa nje ya city center. Elewa ninachokiongelea.
Ongezea na waliokuwa wamepanga kushambulia kwa sasa ni mateka wa M23Muwekeni nani kawakataza?. Mlikuwa mmepanga kuivamia Rwanda kwa Mgongo wa SADC ila intelijensia ikawakamata.
Wale mbuni wako kwenye media tu,ukiingia rusumo mpaka chigali unakutana na wa kawaida kama hawa kina mwajuma ndala ndefu wa TZWaaa ! Wacha niwaachie nafasi wanaotaka wadada wa kitusi
Huyo ako ka avatar ka kagame basi anajifanya anajua kila kitu!Hivi, hiyo Mwanza unayoiongelea unaijua au unaongelea Mwanza ya mwaka 2000!