heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,266
Mi naipenda Rwanda ila kagame kuna muda nampenda kuna muda simpendi ,
Inategemea na unachokipenda. Pia kwenye uongozi, haiwezekani umamfurahisha kila mtuMi naipenda Rwanda ila kagame kuna muda nampenda kuna muda simpendi ,
Kanisa katolikiInategemea na wenye kanisa au ibada husika: ila kinyarwanda, kifaransa, kingereza.
Nahisi ni kinyarwanda, ila misa za jioni, hasa mjini zinazohudhuliwa na expatriates, nahisi zitakuwa za Kiingeleza au kifaransaKanisa katoliki
Kiswahili huwa linatumika kwenye mazungumzo yapi huko Rwanda au hakitumiki kabisaNahisi ni kinyarwanda, ila misa za jioni, hasa mjini zinazohudhuliwa na expatriates, nahisi zitakuwa za Kiingeleza au kifaransa
jibu haya maswali mtoa mada.Nikiwa mtanzania naweza kufanya kazi au kuajiriwa na serikali ya Rwanda? vip kama sifaham kinyarwanda ntawezaje kuwa na marafiki huko Rwanda? Je, kama anaitaji Shori wa kudate naye huko Rwanda on line nampataje? Je Rwanda nako kuna wauwaji wasiojulikana kama Tanzania?Vip swala la usalama wa raia na mali zao upo wa kutosha? Nikiwa kama mgeni huko Rwanda ni sehemu gani salama ya kufikia? vip swala la dini, dini ipi inaongoza? Ni sehemu ip kwa Rwanda sio salama kwa Raia kwamaana vibaka,wezi na majambazi ndo kambi zao? Vip Wanyarwanda ni wabaguzi kwa raia wa nchi nyingine? Biashara gani ambayo inatoka kwa wingi huko Rwanda? Sehem gani ya Rwanda unaweza pata huduma ya sex chap kwa haraka ukaendelea na mishe zako? vip usalama wa barabarani?
Hii comment imetosha kuniambia wewe ni mtutsi unayeipigia promo/debe Rwanda kwa uovu inaoufanya DRC.Ntakujibu kwa ninavyoelewa mimi( si precision ya 100%):
1. Si kweli. kwa sababu mifano ya taasisi zenye wasomi wa mfumo wa Kifaransa, ambao walio wengi ni wale wajulikanao kama wahutu, zipo. Mfano wa Rwanda Revenue Authority, na sehemu nyingine zinazohusika na pesa. Hawa, wana nidhamu ya hali ya juu. Si watu wa kukaa na kusubiri mshahara.
2. Si kweli kwa sababu ukifatilia, utagundua vigezo vinavyotumika kuweka watu kwenye makundi hayo ya ukabila, kila upande vipo. Utampata mtutsi mfupi, kiujumla zile sifa za watutsi hana. Na mhutu, utakuta ana kila sifa ya mtutsi. Na mbali na hilo, kwa sasa hivi ni ngumu, kwa sababu watu wanazaliana.
mfano mwingine, wanawake waliobakwa na Interahamwe mwaka 1994, ni watutsi, lakini wamezaa wahutu(kwa tunavoelewa kwamba mtoto ni kabila la baba'ke). Hawa, mbona wapo kwenye hizo ngazi?
3. Hata nyumbani kwako, huwezi kumuamini sana mjakazi kuliko mke wa ndoa. Hivyo,kutokana na historia ya nchi yenyewe, kuna watu wanaujua uchungu wa maisha kuliko wengine.
Labda maeneo walipo madreva wa magari makubwa,au maeneo walipo waislam. Ila kwa sababu wa Congo ndo wengi,utakuta wanaongea kiswahili cha CongoKiswahili huwa linatumika kwenye mazungumzo yapi huko Rwanda au hakitumiki kabisa
Una uhuru wa maoni yako pia.Hii comment imetosha kuniambia wewe ni mtutsi unayeipigia promo/debe Rwanda kwa uovu inaoufanya DRC.
Nakujibu sasa hivi, nilikuwa hata sijaiona.jibu haya maswali mtoa mada.
Mimi ningependa kuuliza Rwanda kama naweza kupata mshirika wa kilimo biashara Rwanda hasa kwa mazao muhimu ila adimu Rwanda.Asante.Inategemea. Ila Grade I ni kama elfu 5 ya Bongo, kwa madukani
Ukiwa Mtanzania, kama una ujuzi flani ambao kwa Rwanda una soko la ajira, utaajiliwa.Nikiwa mtanzania naweza kufanya kazi au kuajiriwa na serikali ya Rwanda? vip kama sifaham kinyarwanda ntawezaje kuwa na marafiki huko Rwanda? Je, kama anaitaji Shori wa kudate naye huko Rwanda on line nampataje? Je Rwanda nako kuna wauwaji wasiojulikana kama Tanzania?Vip swala la usalama wa raia na mali zao upo wa kutosha? Nikiwa kama mgeni huko Rwanda ni sehemu gani salama ya kufikia? vip swala la dini, dini ipi inaongoza? Ni sehemu ip kwa Rwanda sio salama kwa Raia kwamaana vibaka,wezi na majambazi ndo kambi zao? Vip Wanyarwanda ni wabaguzi kwa raia wa nchi nyingine? Biashara gani ambayo inatoka kwa wingi huko Rwanda? Sehem gani ya Rwanda unaweza pata huduma ya sex chap kwa haraka ukaendelea na mishe zako? vip usalama wa barabarani?
Ardhi Rwanda ni issue. Kilimo cha biashara, uhakika wa ardhi sidhani. Kupata heka nzima kwa pamoja si kazi ndogo, na ukiipata wakati mwingine ni maeneo ya marisho ya mifugo, na ni jimbo ambalo mvua si za kuaminika.Mimi ningependa kuuliza Rwanda kama naweza kupata mshirika wa kilimo biashara Rwanda hasa kwa mazao muhimu ila adimu Rwanda.Asante.
Hhahahahahaha niangue kicheko kwanza.Mimi kama mgeni nataka kuja kutembelea rwanda.
Niandae kiasi gani kuanzia kula,guest na bata.
Na vipi kuhusu usalama,siwezi kufananishwa na mhutu au tutsi nikachinjwa?
Ntakujibu mimi kama mimi sijibu kwa niaba ya serikali:Binafsi nawapenda sana wanyarwanda kwa sababu ya wanamshikamo sana kuliko hata watanzania, japo napenda sana Wanyarwanda kwa sababu ya ukalimu wao na vile walivyo wazalendo wa nchi yao. Sijawahi kuona mnyarwanda asopenda nchi yake . Hongereni sana .Fauka ya hayo nina vimaswali kidogo hivi,
1. Mapema mwaka 2017 tulisikia katika vyombo vya habari wanajeshi zaidi Ya 800 waliachishwa na August 2024 tukasikia maafisaa 216 wamefukuzwa Kutoka RDF bila kutolewa sababu za kufukuzwa baada muda mfupi tukasikia Tena M23 imeanzisha mapambao dhidi ya Jeshi la Congo huko Goma . Kutokana na hali hiyo;
Je, ni kweli kwamba Jeshi la Rwanda linatoa support kwa M23?
Je, wanajeshi waliofukuzwa Huko Rwanda ndio hao M 23?
Ili nchi ipate Maendeleo ni muhimu sana kudumisha amani na majirani zake ili kuweka mazingira mazuri kwa ajili ya kufanya biashara , je, kwa nini Rwanda hawapendi kudumisha amani na usalama dhidi ya Congo, Rwanda, Burundi, Uganda?
We ni KE au ME??Inategemea na unachokipenda. Pia kwenye uongozi, haiwezekani umamfurahisha kila mtu
Moja kati ya hivyo mkuuWe ni KE au ME??