Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

Ni inferiority complex. Wabongo wengi kwa asilimia kubwa huwa wanaamini watashindwa au kuzidiwa na watu wengine kwenye nyanja yeyote ile. Mbongo huwa anawaza kupigwa tu hawazi yeye kuwapiga wengine.

Jiulize kwanini wabongo hawaoni faida ya kuwa na wageni badala yake wanaogopa? Kwanini wao hawaendi huko Rwanda au nchi zingine? Kwanini wanaogopa wageni kwenye kila sekta?

Mbongo akisikia RW, Kenya au mgeni yeyote yule analoa anajiona inferior asiyeweza kucompete. Mfumo wetu wa elimu haujawakomboa bado ndo maana JPM alikua anawaita 'wanyonge' na watu wanashangilia.
Ni rahisi zaidi Mkenya au Mnyarwanda kuja Tanzania kuliko mbongo kwenda Rwanda au Kenya, Tanzania ina fursa nyingi ambazo hazijatumiwa vizuri na wazawa.
 
Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
Bro umewahi kufika karagwe,Ngara, Tunduma, Mtambaswala,?
Masai wapo TZ na, Kenya, ila sio shida, Wajaruo wapo TZ na Kenya, sio shida,
Tunduma pale, wtz na wa Zambia huwezi kuwatofsutisha, wote wanapiga kiwembwa, ila sio shida,
Sasa kenge waone muhaya, au mnyambo wa karagwe, pua nyembamba, mrefu kama msomali, hapo shida! Why do you hate people of Kagera so much?
Kagera, Uganda, Rwanda, Burundi, Uganda, wote hawa ni jamii moja,kihaya na kinyankore cha Museveni ni lugha moja!
Achaneni na jews weusi,
Shida ya bongo ni ccm, hii nchi inazamishwa na ccm, sio
 
Mtanzania hawezi kufanya kitu kwa usahihi na umakini,ni kulalamika lalamika tu, hawezi kupambana

Wanapenda kulialia tu na kuogopa kila kitu.

Kuna watz waliwahi kuwa dean of faculties, University of Kigali hakuna mtu alipiga kelele na ilikua wazi kabisa.

Kuna mbongo kapewa shavu bank of Kigali last year, nobody bats an eye.

Bongo ambako hao warwanda hata hawaonekani wapo wapi mnapiga kelele kila siku kwa inferiory complex yenu. Kama watu wapo nchini kihalali wana haki ya kushika nafasi yeyote ile kama raia wengine tena kama wapo naturalized wanaweza kuwa hata mawaziri. Wabongo wajue namna ya kujiongeza na kucompete globally huku kulialia na woga ni ujinga dunia ya leo.

Screenshot 2026-05-29 080654.png
 
Ubaguzi uko kila mahali, hata Waislamu wanaoana wenyewe kwa wenyewe, Wakristo nao wanaoana wenyewe kwa wenyewe pia. Labda ni vile tu ubaguzi mwingine huwa unahalalishwa na jamii ikiwa ni jamii kubwa au kama haugusi maslahi ya jamii nyingine.
Hakika umesema kweli
 
Ni rahisi zaidi Mkenya au Mnyarwanda kuja Tanzania kuliko mbongo kwenda Rwanda au Kenya, Tanzania ina fursa nyingi ambazo hazijatumiwa vizuri na wazawa.

Sasa hilo ni kosa la nani?

Basically, unachosema warwanda wanaogopwa sio sababu ya utaifa wao bali sababu wabongo wanajua watashindwa wakishindana nao, which goes back to my point- inferiority complex. Wabongo wakisikia tu wageni waloa.

Ni lazima wabongo wawe tayari to compete globally dunia haiendeshwi kwa huruma na watu waoga waoga.
 
Tusihamishie matatizo yetu kwa Wanyarwanda!
SIsi tupambane na changamoto ambazo zimetufikisha hapa baada ya maafa ya okt
.29-31,2025!
Wao baada ya mauaji ya Kimbali 1994,walijifunza wakakaa chini wakayamaliza na sasa wanasonga mbele.
 
Uko sahihi hasa serikali lege lege hii, maana wao huwafundisha watoto tangu wadogo kuwa wao ni special ones, wana akili, muonekano matajiri yani kila zuri wanastahili wao na wameumbwa kutawala, mfano ni yule wa kuitwa jasinta makwabe, anajita mtz kwasababu Tz ndo inampa ugali ila akiwa rwanda anafeel happy na kuwa yupo kwao,,, sasa hiyo ni hatari sana
Yule nilishamshtukia, anajidai muhaya lakini mtu wa Rwanda yule
 
Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
Mke wa m7 ni mnyarwanda..

Uganda wabadili jina maana kuitwa WAGANDA ndio maana WAGANDA wameganda ubongo 🤔

NB. Umenikumbusha mambo ya bahima empire
 
Back
Top Bottom