Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

Uko sahihi hasa serikali lege lege hii, maana wao huwafundisha watoto tangu wadogo kuwa wao ni special ones, wana akili, muonekano matajiri yani kila zuri wanastahili wao na wameumbwa kutawala, mfano ni yule wa kuitwa jasinta makwabe, anajita mtz kwasababu Tz ndo inampa ugali ila akiwa rwanda anafeel happy na kuwa yupo kwao,,, sasa hiyo ni hatari sana
exactly asante kwa comeback nzuri imagine ni mwanamitindo akiwa sehemu ya ugali anajiita mtz akienda kwao mnyarwanda na kinyarwanda anaongea.Jamani
anyway kapeace nimekumiss long time sijaona reply yako
 
b
Kama wapo TZ kihalali na wamekuwa naturalized wana haki zote kama raia wengine nchini hata kushika uongozi isipokuwa urais na umakamu tu kama hawajazaliwa nchini. Watz wangapi wana uraia nchi zingine?

Kuwa na umoja ain't none wrong with that. Nyie mmekatazwa kuwa na umoja? Kinachowasumbua wabongo ni inferiority complex huwa mkisikia rwanda tu mnaloa. Uraia pacha wenyewe mnaogopa as if nyie ndo mtakua nchi ya kwanza kuwa na uraia pacha.
ufa naakujua we ni wa kule
 
Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
Bora hao kuliko raia feki wa kiarabu na kisomali tulio watambua kama raia tena ni waislamu....hao wanyarwanda ni wakristo bora wao hakuna kibaya walicho tufanyia kama taifa tutizame Samia mzanzibar na raia feki alivyo mwaga damu za watanganyika...tutumie akili ..ushahidi wa wanyarwanda kuwa waovu kwetu upo wapi ? Ila tunao ushahidi kamili wa raia feki waislamu kuhalibu nchi yetu na kuua watu wazalendo
 
Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
BORA WANYARWANDA KULIKO WAZANZIBAR NA WASOMALI NA WAARABU ..hizi propaganda za wanyarwanda nadhani zinatengenezwa na WAISLAMU NCHINI na kuzipandikiza kwa wakristo wasio na akili ...mleta uzi nijibu je kati ya wanyarwana na (wazanzibari, waarabu na wasomali ) wapi hatari kwa taifa wapi wanaua wamasai na watanganyika ?
 
Kama wapo TZ kihalali na wamekuwa naturalized wana haki zote kama raia wengine nchini hata kushika uongozi isipokuwa urais na umakamu tu kama hawajazaliwa nchini. Watz wangapi wana uraia nchi zingine?

Kuwa na umoja ain't none wrong with that. Nyie mmekatazwa kuwa na umoja? Kinachowasumbua wabongo ni inferiority complex huwa mkisikia rwanda tu mnaloa. Uraia pacha wenyewe mnaogopa as if nyie ndo mtakua nchi ya kwanza kuwa na uraia pacha.
Wala sio inferiority complex ya wabongo ukifatilia vizuri wabongo hawana time na rwanda ila wanyarwanda ndio wanajipa promo kwenye mitandao
 
exactly asante kwa comeback nzuri imagine ni mwanamitindo akiwa sehemu ya ugali anajiita mtz akienda kwao mnyarwanda na kinyarwanda anaongea.Jamani
anyway kapeace nimekumiss long time sijaona reply yako
Nipo Heri, majukumu tu yanabana,
Japo huyu maza anawakazia ila bado haitoshi, tuliowahi kuishi nao ndo tunajua hulka zao kwa undani,, sumu inaanza tangu mtoto akiwa mchanga, wakiona una feature za kufanana nao basi wanakuweka karibu, na kuanza kukunywesha sumu mbaya mno,,, anakuja mikono nyuma ila akizoea tu anapandisha mabega,
 
Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
Hawana chochote cha kutufanya,Tanzania sio congo
 
Wao wako bize na maisha yao na kujijenga...
Rwanda kanchi kadogo lkn nyie hata hamuwafiki kwa nyanja zozote!
Watanzania kazi kujishtukia
Huku nyie wenyewe kwa wenyewe mna kandamizana na kuumizana
Raia ndani ya nchi yake anaishi kama digi digi tu

Ova
 
Nipo Heri, majukumu tu yanabana,
Japo huyu maza anawakazia ila bado haitoshi, tuliowahi kuishi nao ndo tunajua hulka zao kwa undani,, sumu inaanza tangu mtoto akiwa mchanga, wakiona una feature za kufanana nao basi wanakuweka karibu, na kuanza kukunywesha sumu mbaya mno,,, anakuja mikono nyuma ila akizoea tu anapandisha mabega

Nipo Heri, majukumu tu yanabana,
Japo huyu maza anawakazia ila bado haitoshi, tuliowahi kuishi nao ndo tunajua hulka zao kwa undani,, sumu inaanza tangu mtoto akiwa mchanga, wakiona una feature za kufanana nao basi wanakuweka karibu, na kuanza kukunywesha sumu mbaya mno,,, anakuja mikono nyuma ila akizoea tu anapandisha mabega,
watasema nawaonea wivu lakini wale watu mmh
 
Wao wako bize na maisha yao na kujijenga...
Rwanda kanchi kadogo lkn nyie hata hamuwafiki kwa nyanja zozote!
Watanzania kazi kujishtukia
Huku nyie wenyewe kwa wenyewe mna kandamizana na kuumizana
Raia ndani ya nchi yake anaishi kama digi digi tu

Ova
jamaa wako vizuri sisi kazi kutekana na mambo ya hovyo ila wale jamaa mmh
 
Back
Top Bottom