kuna zile umeopoa dada mtu maeneo ya viwanja halafu kaja na mdogo wake, sasa utata unakuja pale dada mtu ameshalewa na anautaka unyama ndani wakati huo huo mdogo mtu anafosi waondoke. inakuwaga mtiti
kuna zile umeopoa dada mtu maeneo ya viwanja halafu kaja na mdogo wake, sasa utata unakuja pale dada mtu ameshalewa na anautaka unyama ndani wakati huo huo mdogo mtu anafosi waondoke. inakuwaga mtiti
Ukweli gani kipenz?dada ebu ongea ukweli wako
huyo jasinta makwabe ni nani huko dsmUko sahihi hasa serikali lege lege hii, maana wao huwafundisha watoto tangu wadogo kuwa wao ni special ones, wana akili, muonekano matajiri yani kila zuri wanastahili wao na wameumbwa kutawala, mfano ni yule wa kuitwa jasinta makwabe, anajita mtz kwasababu Tz ndo inampa ugali ila akiwa rwanda anafeel happy na kuwa yupo kwao,,, sasa hiyo ni hatari sana
kichwa yako ina mambo mengi! U need to relax this weekend!kuna zile umeopoa dada mtu maeneo ya viwanja halafu kaja na mdogo wake, sasa utata unakuja pale dada mtu ameshalewa na anautaka unyama ndani wakati huo huo mdogo mtu anafosi waondoke. inakuwaga mtiti
njoo basi unipe utulivu wa akili kabla sijarandukakichwa yako ina mambo mengi! U need to relax this weekend!
unashingapi kwanza?njoo basi unipe utulivu wa akili kabla sijaranduka
unahitaji kiasi ganiunashingapi kwanza?
Nimeshiba sasa 😂😂😂🙌mmeanza kuja
Acha nifanye kazi mashangazi yaniperekesha mimi...Familia 🔥
Ndakureba 🤣🤣🤣
mimi alafu siongelei uraia wa mtu naongelea mambo yanayoweza kutokea mbeleni
Atakuua hebu torokaa 😢Acha nifanye kazi mashangazi yaniperekesha mimi...
😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna mbongo anaeogopa wageni uku ruvuma kuna wakenya wengi sana wanalima mahindi wana export kwenda kwao na hakuna shida,kuna magari mengi ya warwanda wanachukua coal na karanga kupeleka kwao na hakuna shida.
Shida ni CCM wala sio wabongo
Hapa yeye katoka najiachia kabisa ila akirudi tuuu utaskia leo kazini kuna mtu kanikera ebu naomba ichapeAtakuua hebu torokaa 😢
Kwasasa ukabila au asili ya utaifa wa mtu Haina maana coz hata nchi kubwa kama america iliwahi PATA mjaluo wa kenya na bado america ilitimiza malengo yake kama taifa!!
Kwa nchi za kiafrika tunapaswa tuboreshe katiba na Sheria zetu ili akiingia hata mwenye asili ya Asia asiharibu coz maendeleo ya taifa yanaletwa na RACE zote na sio kabila Moja au jamii fulani pekee!!
Tuboreshe katiba ili ajaye asiharibu hata kidogo awe mtutsi,au mnyambo awe mzungu and the like ASIHARIBU!!
kazi na utu hebu tusonge mbele!!
we unashingapi babu, mbona kama hueleweki hivi?unahitaji kiasi gani
tsh elfu 2 za kitanzaniawe unashingapi babu, mbona kama hueleweki hivi?