Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

Ni inferiority complex. Wabongo wengi kwa asilimia kubwa huwa wanaamini watashindwa au kuzidiwa na watu wengine kwenye nyanja yeyote ile. Mbongo huwa anawaza kupigwa tu hawazi yeye kuwapiga wengine.

Jiulize kwanini wabongo hawaoni faida ya kuwa na wageni badala yake wanaogopa? Kwanini wao hawaendi huko Rwanda au nchi zingine? Kwanini wanaogopa wageni kwenye kila sekta?

Mbongo akisikia RW, Kenya au mgeni yeyote yule analoa anajiona inferior asiyeweza kucompete. Mfumo wetu wa elimu haujawakomboa bado ndo maana JPM alikua anawaita 'wanyonge' na watu wanashangilia.
Naunga mkono hoja
 
Mkunda si ndio alisema wako raia feki kwenye nafasi nyeti, yaani Hadi mkuu wa majeshi anajua, probably itakuwa ni hao Jamaa maana ukiangalia Ile statement itakuwa Tu alikuwa anawagusa wale Jamaa wa Rwanda & Burundi...Maana wako mipakani kule na ukiangalia ni jamii moja licha ya kutenganishwa na mipaka ya nchi...Jamaa yangu mmoja alikuwa na National ID ya Rwanda wakati tulikuwa tunasoma nae Advance meanwhile ID ya TZ pia anayo, nilimuuliza uliipataje ya Rwanda akasema wao wanapata Tu, mama Yake ndo alimfanyia mchakato na wakaenda huko Rwanda wakapata hiyo ni kitambo kidogo ,Wana ndugu zako pia ni hivyo hivyo....Nikagundua Kule ndio maana ukisema unatoka Kagera polisi, Uhamiaji, NIDA lazima wakuangalie mara mbili mbili na maswali mengine kibao.
 
Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
Hawa na wasomali hawana tofauti
 
Hizo ni conspiracies na myths tu, Wanyarundwa ni Waafrika kama Waafrika wengine wowote wale. Inawezekana unawaona wamekaa ki trojan horse kwa sababu ya aina ya utawala uliopo sasa Rwanda, ukiingia utawala tofauti utawaona tofauti pia.
sidhani mkuu hawa tunaozungumzia ni wa huku bongoland
 
Natanguliza samahani kwa nitakaye mkwaza.

Labda tu niwambie Tanzania kuna kitu hamjui kuhusu mtu anayeitwa mnyarwanda wale watu hata wakae miaka mia kwenu hawatawahi kuwa watanzania hata siku moja wale siku zote nchi yao iko damuni wanakaa wa sababu hawana namna sasa hivi mmewakaribisha kila mahali nida na kila kitu wanapata kwa sababu ya tabia za rushwa za watanzania.

Sasa ukitaka kujua kwamba wale rwanda iko damuni mje mjichanganye siku moja ndo ntajua kama wale ni watanzania au ni watu gani.

Kagame is very smart kuliko unavyofikiria.

Kama hamjui huwa wanawaona watazania kama wasiojielewa alafu wana umoja hatari.

Juzi tu hapa wanyarwanda wanaojiita wakongo huko nje walikuwa wanaandamana eti raisi wa kongo atoke madarakani nilicheka sana
nasikia huko jijini rwanda uwe ba hela aun usiwe na hela ukiamua kuwa singo ni shida zako mwenyewe, watoto wa wa huko hawajui neno hapana.
 
Kama kunakaukweli hivi, mama angu ni mnyarwanda.
Hua ananisistiza sana nikitaka kuoa niende rwanda nikaoe kule.

Wanakaubinafsi na sifa kama wahaya tu.

Ila tupendane sisi ni wamoja, wa africa
yaani ndo ilivyo kwanza hawataki michanganyo akija kwako ujue kafata kitu fulani alafu hawaamini wabongo hata kidogo
 
Ni inferiority complex. Wabongo wengi kwa asilimia kubwa huwa wanaamini watashindwa au kuzidiwa na watu wengine kwenye nyanja yeyote ile. Mbongo huwa anawaza kupigwa tu hawazi yeye kuwapiga wengine.

Jiulize kwanini wabongo hawaoni faida ya kuwa na wageni badala yake wanaogopa? Kwanini wao hawaendi huko Rwanda au nchi zingine? Kwanini wanaogopa wageni kwenye kila sekta?

Mbongo akisikia RW, Kenya au mgeni yeyote yule analoa anajiona inferior asiyeweza kucompete. Mfumo wetu wa elimu haujawakomboa bado ndo maana JPM alikua anawaita 'wanyonge' na watu wanashangilia.
Hakuna mbongo anaeogopa wageni uku ruvuma kuna wakenya wengi sana wanalima mahindi wana export kwenda kwao na hakuna shida,kuna magari mengi ya warwanda wanachukua coal na karanga kupeleka kwao na hakuna shida.
Shida ni CCM wala sio wabongo
 
Back
Top Bottom