Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

endelea kujipa moyo tu.... utakufa kijerumani na tai shingoni.... si unakumbuka jinsi ule upepo ulivyofumua baraza?
Subiri uone mwenyewe, kila kitu kinafanyika kwa mipango. Kumbuka sisi tuna dola
 
punguza hasira darling

Asavali my Love umen'shusha presha !
Bahati yake !
Presha ilikua imefika 860 !
Ulivyonishusha gazzab , nimewasamehe hata dreva na kondakta wangu, jana walilaza hesabu sio !
Nao ilikua kiote , umewasadaia na hawa.
 
Back
Top Bottom