Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Duuh kaazi kwelikweli, usidhani ukimuona atakuwa na swaga kama za humu ndani..,
 
Mimi sina haja ya kumtaja mwenyewe anajielewa! Otherwise nampa fursa ajitaje mwenyewe!
 
2ongee 2ngeavyo ila cku ya kukutana bado 2takuwa na ugeni machon mwd2 ili hali 2meshakuwa tukiwacilana nd hiyo ni kawaida ya wanadm6
 
jman me nataman kukutana na AshaDii. thread zake za ukwel na hata ushauri!
 
nataka kumuona Kongosho halafu nije niwaambie kama ni she au he maana huwa ananichanganya sana
 
Last edited by a moderator:
Hivi ukipewa nafasi moja tu ya kukutanishwa na mwana jf mmoja tu(ambaye humfahamu kwa sura zaidi ya ID yake tu) ungechagua/ungependa ukutanishwe na nani?

mi ntamtaja badae kidogo..labda anaweza akanitaja yeye...

Ningependa nikutane na Cantalisia, tupate wasaa wa kumaliza ugomvi wetu.
 
Last edited by a moderator:
Nikimuona KingKong III nitaridhika maana sijui kama bado anapambana na dinasori kumuokoa dada nanii!
 
hivi kwa nini kuna watu likifika swala la kukutana wanakuaga wakali sana..??!!
 
Klorokwini.

Huyu alikimbia na mauzo ya famasi yetu. Nataka mgao wangu.

Hivi Amyner bado yupo? Badili Tabia kashabadilika? Mwali kashavunja ungo? Kongosho bado ana asali yangu?

Hivi leo jumangapi?
 
Klorokwini.

Huyu alikimbia na mauzo ya famasi yetu. Nataka mgao wangu.

Hivi Amyner bado yupo? Badili Tabia kashabadilika? Mwali kashavunja ungo? Kongosho bado ana asali yangu?

Hivi leo jumangapi?

halafu wewe....
 
Back
Top Bottom