Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Sa tunafanyaje?
Mimi huku niliko kuna MTN na Vodacom SA, labda na Telkom ambao wanatoa huduma ya simu za mezani?
Would you like it fizikale?

Hizo huduma kwetu hatujawahi hata kuzisikia, may be uzitume kwa S.L.P! Lol
 
Aaa wapi! Hayo mapenzi ya nyani ukwajuni.....ukwaju ukiisha mnasambaa kila mtu na 50 zake! Heheh

Hayo maneno tu ndugu yangu hata kwenye keki yapo na watu tunayatafuna tu,
Mie na rejao ni mpaka kifo kitutenganishe!!!!!
 
Hayo maneno tu ndugu yangu hata kwenye keki yapo na watu tunayatafuna tu,
Mie na rejao ni mpaka kifo kitutenganishe!!!!!

Kwani huyo sio wa kwanza na nina uhakika sio wa mwisho! Wapo waliokuanza na wataokuja kesho (hapa nimeropoka tu tafadhali msinione mie kauzibe) lol!!!
 
Kwani huyo sio wa kwanza na nina uhakika sio wa mwisho! Wapo waliokuanza na wataokuja kesho (hapa nimeropoka tu tafadhali msinione mie kauzibe) lol!!!
Hahha hahah hahah,pole kwa kuropoka lol!

BTW,huyu ndio wa kwanza na wa mwisho kipipi!
Hakunaga mwingine lol!
 
Ameeeen, na iwe hivyo! Nitoe kiepe kuku basi.....nahisi njaa kweli!
Kiepe!!!!,
Hebu acha usister du,angalia humo kwenye friji kuna viporo kibao mpaka cha ugali pasha ule achana na viepe sio vizuri kwa afya ebo!
 
mimi nimejitahidi kusoma yaani utazimia kacheki jinsi ya kutawaza jamaa amepinda huyo
hao wanaonitafuta wapotezee mimi sidate na vijana.....

nimefanya kosa kukutafuta sio? maneno yako hayo au? umenifadhaisha sana Smile
 
Last edited by a moderator:
mimi nataka nikutane na kaka jambazi japo sijui kabadilisha log in name..!? na natamani kweli nikutane na mia.., na mzizi mkavu..!
 
Back
Top Bottom