Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

usemacho sikatai, hata mimi wapo nnaokutana nao mara kwa mara ila kuna memba wachache humu ndani JF hawataki kabisa kusikia hii kiyu,,,kwa nini!!??

Inategemea "unaishije" hapa JF. Unaweza kukuta unaomba kukutana na mwajiri wako ilhali kila siku mnazodoana hapa jamvini. Hii ndio sababu kuu. Lakini pili, wengi JF wanatoa taarifa za uongo sana, hasa jukwaa hili, sasa mkikutana halafu ukakuta picha tofauti na mtu anavyo-behave nadhani utakuwa disappointed sana. Usipende sana kukutana na wana-JF 'live'
 
Inategemea "unaishije" hapa JF. Unaweza kukuta unaomba kukutana na mwajiri wako ilhali kila siku mnazodoana hapa jamvini. Hii ndio sababu kuu. Lakini pili, wengi JF wanatoa taarifa za uongo sana, hasa jukwaa hili, sasa mkikutana halafu ukakuta picha tofauti na mtu anavyo-behave nadhani utakuwa disappointed sana. Usipende sana kukutana na wana-JF 'live'
.....tehe tehe...tunarudi kule kule...!! haya bana...
 
We endelea tu kujitia umajinuni, ugomvi tunao, tena mkubwa sana? huyo Rejao ni nani, sounds like a police constable...
Khaaaaaaaa!
Yani mme wangu, papa Rejao unamfananisha na afande!!!

Kiukweli wala sina ugomvi nawe km upo basi unaujua mwenyewe labda unifahamishe!!
 
Nani huyo ? Hebu mtaje fasta!
Siwezi vumilia manung'uniko ya Wife , nayafumbia mboni.
Kisha toa option nimshughulikie ki'afandeKova nimlaze ndumwa kama mwezi mmoja hivi, au nikamkalie kikamatijadi nimteremshe mshipa kabla hapajapambazuka

punguza hasira darling
 
Khaaaaaaaa!
Yani mme wangu, papa Rejao unamfananisha na afande!!!

Kiukweli wala sina ugomvi nawe km upo basi unaujua mwenyewe labda unifahamishe!!

Sijamfananisha wala nini, thats how the name sounds, mfamo ukisikia Mphamvu, ni rahisi kuhisi ni ofisa wa ubalozi wa RSA, hakuna maajabu hapo.
Kuhusu ugonvi wetu, unataka mpaka niuanzishie thread ndo ujue kama upo?
 
Last edited by a moderator:
Sijamfananisha wala nini, thats how the name sounds, mfamo ukisikia Mphamvu, ni rahisi kuhisi ni ofisa wa ubalozi wa RSA, hakuna maajabu hapo.
Kuhusu ugonvi wetu, unataka mpaka niuanzishie thread ndo ujue kama upo?
Hahaha ahhaha ahhah,
Swaiba mbona hilo jina lako mie naona linasound km sangoma flan.....!

Yaani ugomvi uuanzishie sred!!!!!
Anzisha bana mie wala huntish atiii!
Mie najua hakuna ugomvi wala nn!
 
Hahaha ahhaha ahhah,
Swaiba mbona hilo jina lako mie naona linasound km sangoma flan.....!

Yaani ugomvi uuanzishie sred!!!!!
Anzisha bana mie wala huntish atiii!
Mie najua hakuna ugomvi wala nn!
Unanirusha roho...
Mi siwezi kuanzisha thread, kwa kuwa ugomvi wenyewe muda si mrefu utabadilika na kuwa mahaba mazito. No need...
 
Hahaha ahhaha ahhah,
Swaiba mbona hilo jina lako mie naona linasound km sangoma flan.....!

Yaani ugomvi uuanzishie sred!!!!!
Anzisha bana mie wala huntish atiii!
Mie najua hakuna ugomvi wala nn!
Senkyu my wife!! Kwa hili jibu nina uhakika hawezi tena kuendeleza ligi.

BTW, nakumiss sana! Hapa kamvua kanahamasisha sana! Natamani nikufuate twende zetu nyumbani!!
 
Senkyu my wife!! Kwa hili jibu nina uhakika hawezi tena kuendeleza ligi.

BTW, nakumiss sana! Hapa kamvua kanahamasisha sana! Natamani nikufuate twende zetu nyumbani!!

Pole ndugu Rejao. Tayar gamba 1 lmepunguzwa mjengoni.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom