Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

sasa kwani kuna umuhimu gani ukikutana na huyo mtu na nini aatakuongezea mkionana live mm sioni cha maana hapo sijui nini
 
Last edited by a moderator:
sasa kwani kuna umuhimu gani ukikutana na huyo mtu na nini aatakuongezea mkionana live mm sioni cha maana hapo sijui nini
unajua mkuu umuhimu wa kuonana/kutokuonana unategemea na maamuzi binafsi...kama huna nia ya kutaka kuonana na mtu yoyote hata ikitokea umeonana nae haitakuwa na impact kwako..na ndo maana hapa nikasema kama umepewa nafasi ya kukutanishwa na mwana JF ambaye pengine tangu kuingia kwako JF unadhani ni mtu flani hivi kwa jinsi anavyocoment au thread zake na unahisi kutamani japo kumuona tu kwa uhalisia jinsi alivyo..au hata kuongea nae mawili matatu kutokana na misimamo yake humu JF....vitu vya namna hiyo yaani!! si kwamba ni lazima BALI NI KAMA ungekuwa unatamani kumuona mwana JF kwa namna hii ungependa awe ni nani!!
 
Kama ningetaka kukutana na mwanajf yeyote ambaye sijawahi kukutana naye, mm ningependa awe kama jacob zuma au waziri mkuu wetu akifanana vilevile sijui wewe uko kama hao niliowataja hapo jacob zuma.jpegpinda.jpeg
unajua mkuu umuhimu wa kuonana/kutokuonana unategemea na maamuzi binafsi...kama huna nia ya kutaka kuonana na mtu yoyote hata ikitokea umeonana nae haitakuwa na impact kwako..na ndo maana hapa nikasema kama umepewa nafasi ya kukutanishwa na mwana jf ambaye pengine tangu kuingia kwako jf unadhani ni mtu flani hivi kwa jinsi anavyocoment au thread zake na unahisi kutamani japo kumuona tu kwa uhalisia jinsi alivyo..au hata kuongea nae mawili matatu kutokana na misimamo yake humu jf....vitu vya namna hiyo yaani!! Si kwamba ni lazima bali ni kama ungekuwa unatamani kumuona mwana jf kwa namna hii ungependa awe ni nani!!
 
Kama ningetaka kukutana na mwanajf yeyote ambaye sijawahi kukutana naye, mm ningependa awe kama jacob zuma au waziri mkuu wetu akifanana vilevile sijui wewe uko kama hao niliowataja hapo View attachment 84291View attachment 84292

Sasa hawa si tayari utakuwa unajuwa wanafananaje...!! uzuri inakuwa ni pale kwa mtu ambae hujui kabisa atakuwa vipi..yaan huwa unamjengea picha tu kichwani ...sasa ndo iwe unatamani umuone sasa ni kweli yuko hivyo kutokana na maneno yake humu JF au lah!!
 
Back
Top Bottom