Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,351
Ndoa changa utazijua tu......., expiry date ikifika unadhani utakumbuka hata cha jioni?? Heheheheeee(hapa nimecheka kiumbea zaidi) lol
Hawa wana matatizo makubwa sana kwenye ndoa yao, ila ndo ivo wanajifanya kuyafunika. Mi nilishajitolea kuokoa moyo wa Baby Cantalisia, ila ubishi wake tu.
Last edited by a moderator: