Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

umebaki mdomo wazi au umenuna unashangaza wewe hivi hiyo tabia yako ya kuingilia mambo ya watu itaisha lini maana unaingilia visivyokuihusu utashindwa wewe ona ulivyo😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep::flock::flock::flock::flock::flock::flock::flock::third::third:
...hata mimi nimebaki mdomo wazi...:A S confused::A S confused:
 
huyo TB. JOSHUA kwani namjua shostito laiti ningekutana naye hata kwa luninga ningemfahamu zaidi kwani hiyo luninga yenyewe sina king'amuzi kwani tunaangalia mikanda ya muvi tu shosti sasa nitamjuaje mie best, niko kianalogia mie mwenzenu, leo yamenikuta ila nimemwomba msamaha sijui kama karidhika
Afu una mambo weye shostito..sasa yule si ni TB Joshua!!!!???
 
huyo TB. JOSHUA kwani namjua shostito laiti ningekutana naye hata kwa luninga ningemfahamu zaidi kwani hiyo luninga yenyewe sina king'amuzi kwani tunaangalia mikanda ya muvi tu shosti sasa nitamjuaje mie best, niko kianalogia mie mwenzenu, leo yamenikuta ila nimemwomba msamaha sijui kama karidhika
Haya shosti nimekupata.mgoogle basi umjue..Krb kwangu nina kisinduzi uje ucheki taarifa basi
 
Jamani ladyfurahia
nimekusamehe na nimesahau,
Pole hivi kweli hauna hata king'amuzi jamani na maujanja yote hayo?
Dah, one day i will offer you,
ntafute in a week time.

hee nilikuwa sijui jamani kwani niliangalia avatar yako ndo mana nimeguess kuwa ni mkaka ohops! sorry best
 
Last edited by a moderator:
umebaki mdomo wazi au umenuna unashangaza wewe hivi hiyo tabia yako ya kuingilia mambo ya watu itaisha lini maana unaingilia visivyokuihusu utashindwa wewe ona ulivyo😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep::flock::flock::flock::flock::flock::flock::flock::third::third:
ntashindwa nini...malizia sasa!!..kwanza sijamwingilia mtu....labda kama nimekuingilia wewe tu..!!
 
umebaki mdomo wazi au umenuna unashangaza wewe hivi hiyo tabia yako ya kuingilia mambo ya watu itaisha lini maana unaingilia visivyokuihusu utashindwa wewe ona ulivyo😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep::flock::flock::flock::flock::flock::flock::flock::third::third:

dah! We mdada uko na tatizo gani? Mbona unakuwa na maneno makali hvyo? Kumbuka kuwa Hapa ni Chitchat.. watu8 ana kazi ya ziada.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom