Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 17,984
- 43,475
PoaNgoja nikutafutie
PoaNgoja nikutafutie
Oya niko stendi hapa🤒, nipokee🤒Kifungu gani kinasema mbona kutishana hivyo wakuu 🤔
Duuuh! Umetisha umeingia na Ally's au Katarama?Oya niko stendi hapa🤒, nipokee🤒
WanajihujumuKuna watu hawana hata 100 na bado hawazini🚶🚶😱
Niwekee hapa mstari huo nami nisome mkuuNimetoka kusoma Biblia sasahivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbayaaa
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 Tu
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Amen brotherHahaha ni kweli
Uzinzi ni dhambi inayotendeka ndani ya mwili
Inakuchafuaaa
🤣🤣🤣
Hiyo zaburi ndio inasema hivi ? ⏬Kama nilivyoandika uzi
Unavuta bangi ?Nimetoka kusoma Biblia sasahivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbayaaa
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 Tu
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Sawa tuliaNiwekee hapa mstari huo nami nisome mkuu
Hio haipoUkizini na mwanaume nje ya ndoa unapunguziwa miaka 10
🤣🤣🤣Tukaguane SasaKwa hili
Kuna watu wana maisha mafupi sana😅
Tulia nakuletea andikoHiyo zaburi ndio inasema hivi ? ⏬
Unavuta bangi ?
,Mungu wangu kumbe hii laki nlotunza nijenge nkamwagilie tu Moyoo
Nakusubiri hapa ghettoTulia nakuletea andiko
Kwanini iwepo upande wa wanaume..???Hio haipo
Stendi ushazini?!Oya niko stendi hapa🤒, nipokee🤒