Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Leo niwasaidie hili pengine we n mhanga wa hili eneo kwenye ukoo wenu
nawiwa kuongelea hili maana mmoja wa waathirika wa hili.
Kabla ya kuoa fanya mapping ya familia yako na unayoenda kuoa ndugu.
Ndoa nyingi zimeathirika na laana ya ukooo na sio kulogwa wala mengineyo
Kaa na wazazi wenu ulizeni src ya wazazi wao huko nyuma waliishije kwenye ndoa
Utakuta unasubiria ndoa unalia hupendwi hutakiwi na watu ooh umelogwa kumbe n laana ya ukoo inakutengeneza
Mfano n mm kwetu kwa mama
BABU N BIBI WA MAMA YANGU
WALITALIKIANA
MAMA NA BABA WAKATALIKIANA
MAMA ANA NDUGU 3 WA KIUME/ 2 WA KIKE
Hawa wakike walitalikiwa baada ya miaka 2 kwenye ndoa
Watoto Waoo n matajiri wako 7 hakuna alie kwenye ndoa mpaka sasa
Hawa wa kiume wawili wakamaa kwenye ndoa kufikisha mwaka wa tatu ndoan wakapanda gari moja kwenda dar wakaishia same.
Watoto wa hawa wajomba wako
4/4
6 mpaka sasa hawana ndoa... wawili wamegoma kuoa na wana miak 40 plus nw
Mmoja aliebakia akaamua kuingia upadree na ndie aliesalimika hili sakata
njoo kwa Baba
babu na bibi wa baba walitalikiana mpaka kifo
baba na mamake baba walitalikiana mpakka kifo
Baba wamezaliwa 4
Mwanamke mmoja wanaume watatuuu
1. Baba aliachana na mama 20 yrs mpaka wanakufa wote.
2. Babamdogo wawili waloobakia mmoja alikimbia nyumba haijulikan alipo mpaka sasa.
Huyu mwingine anaishi kota ya ua uni gorofa kamuachia mkewe na watoto.
3. Shangazi hawa hawana miaka 3 wamegawana magorofa na mwenzie kila mtu kivyake...
Njoo kwetu
KAKAZANGU WATATU WALIPONUSA NDOA ALIEKAA SANA MIEZI 5 Wakaachika
Nkanusa 2005 nioee miezi miwili nikamwachia mwanamke kila kitu 2008 nkamrudia Mungu kwa tobaaaa na rehemaa atusamehee ukoo na familia nzima wakati huo cha moto kimewaka kila kona ya ukoooo
Nkafundishwa jinsi ya kutubu kwa ajili ya familia na ukooo .nikiomba rehema kwa ukoo wako kwa kufunga na kuomba....
Nikafankiwa pata mwenza tukaenda bariki ndoa tumepata na watoto wenye furaha
Sio kirahisi hata hii kulikuwa na miukakasi kibaooo marohoo yakanikimbia nikasalimika.....
Ewe ndugu
Ndoa mnaita n taasisi
Ndoa n roho nduguzanguni
Maroho ya ukoo yakikugomeaa utabaki na jina uliingia kanisan ama mskkitin ukaoa ukaachika
Wakati nasema kwenye shida na raha ilinichukua dk 4 kusoma hiki kipande wakahisi nimepigwa ndoa inastop wewee....kama yule mh alieshindwa kusoma pale ikulu kiapoo sikia kwa watu...
Mnapojipanga kuoa ama kuolewa fanyen mapping family itawasaidia sana ..
Nimeongelea yetu 😆 😂 😆 😂 😆 kuachana 😄 🤣 😂 😆 😄
Kuna familia yaan toka babu wa mababu
■Mwizi■
😄
Babu kaja mwizi
😄 🤣
Kaja baba mwizi
😆 😂 😂 😂
Huyu maroho yakipungua anapewa jina la tapeli kupunguza ugali wamanenooo
😆 😂 😆 😂
Sisemi kukutisha
Kuna familia kwaoooo nenda rudi uwe na hela huna wao n
■wazinzi■
Yaan wataprrtend kanisan wee toaa yoteee lakn akitoka
Mzinzi
Asbh anadamka saa 4.30am anawahi folen unajua wanachofanya wanaenda small house anapewa shortlymmmm saa kumi nambili asbh anachomoka to job
Mxhana lunch tym kama karibu anakuja kushtua lunch na shortym maisha yanaenda
Akirudi ndan unamwona mke sihuyu mume si huyu.....
Kuna ukooo wao n
■wambeya■
by og
Sisemi ukooo wako
Yaani wahamie tanga .mbeya.moro.dodoma yaan n wambeya mtukuka...
So nakusihi fanya mapping ya familia uliopo na unayopitaaaa
Wengine mpaka sasa tuliingia ■gharama ya sadaka■
kuwa na ffuraha kwenye ndoa na hata ukiona moto unawaka unamkumbusha Mungu sadaka yako.
Mwisho we unaesubiria ndoa utilise piga maombi kuna walioingia wakakimbia kama wanajeshi wa hamas achatu
We unaeteseka na moto wa ndoa taguta makanisa wakusaidie kutubu na kuombea rehemaaaza ukoo wewe kama wewe ndoa itatuliaaaa tu
MUNGU AKUPE WA KUFANANA NAE
😆 😆 😂 😂 😆 😂 😆 😄 🤣 😂 😆
nawiwa kuongelea hili maana mmoja wa waathirika wa hili.
Kabla ya kuoa fanya mapping ya familia yako na unayoenda kuoa ndugu.
Ndoa nyingi zimeathirika na laana ya ukooo na sio kulogwa wala mengineyo
Kaa na wazazi wenu ulizeni src ya wazazi wao huko nyuma waliishije kwenye ndoa
Utakuta unasubiria ndoa unalia hupendwi hutakiwi na watu ooh umelogwa kumbe n laana ya ukoo inakutengeneza
Mfano n mm kwetu kwa mama
BABU N BIBI WA MAMA YANGU
WALITALIKIANA
MAMA NA BABA WAKATALIKIANA
MAMA ANA NDUGU 3 WA KIUME/ 2 WA KIKE
Hawa wakike walitalikiwa baada ya miaka 2 kwenye ndoa
Watoto Waoo n matajiri wako 7 hakuna alie kwenye ndoa mpaka sasa
Hawa wa kiume wawili wakamaa kwenye ndoa kufikisha mwaka wa tatu ndoan wakapanda gari moja kwenda dar wakaishia same.
Watoto wa hawa wajomba wako
4/4
6 mpaka sasa hawana ndoa... wawili wamegoma kuoa na wana miak 40 plus nw
Mmoja aliebakia akaamua kuingia upadree na ndie aliesalimika hili sakata
njoo kwa Baba
babu na bibi wa baba walitalikiana mpaka kifo
baba na mamake baba walitalikiana mpakka kifo
Baba wamezaliwa 4
Mwanamke mmoja wanaume watatuuu
1. Baba aliachana na mama 20 yrs mpaka wanakufa wote.
2. Babamdogo wawili waloobakia mmoja alikimbia nyumba haijulikan alipo mpaka sasa.
Huyu mwingine anaishi kota ya ua uni gorofa kamuachia mkewe na watoto.
3. Shangazi hawa hawana miaka 3 wamegawana magorofa na mwenzie kila mtu kivyake...
Njoo kwetu
KAKAZANGU WATATU WALIPONUSA NDOA ALIEKAA SANA MIEZI 5 Wakaachika
Nkanusa 2005 nioee miezi miwili nikamwachia mwanamke kila kitu 2008 nkamrudia Mungu kwa tobaaaa na rehemaa atusamehee ukoo na familia nzima wakati huo cha moto kimewaka kila kona ya ukoooo
Nkafundishwa jinsi ya kutubu kwa ajili ya familia na ukooo .nikiomba rehema kwa ukoo wako kwa kufunga na kuomba....
Nikafankiwa pata mwenza tukaenda bariki ndoa tumepata na watoto wenye furaha
Sio kirahisi hata hii kulikuwa na miukakasi kibaooo marohoo yakanikimbia nikasalimika.....
Ewe ndugu
Ndoa mnaita n taasisi
Ndoa n roho nduguzanguni
Maroho ya ukoo yakikugomeaa utabaki na jina uliingia kanisan ama mskkitin ukaoa ukaachika
Wakati nasema kwenye shida na raha ilinichukua dk 4 kusoma hiki kipande wakahisi nimepigwa ndoa inastop wewee....kama yule mh alieshindwa kusoma pale ikulu kiapoo sikia kwa watu...
Mnapojipanga kuoa ama kuolewa fanyen mapping family itawasaidia sana ..
Nimeongelea yetu 😆 😂 😆 😂 😆 kuachana 😄 🤣 😂 😆 😄
Kuna familia yaan toka babu wa mababu
■Mwizi■
😄
Babu kaja mwizi
😄 🤣
Kaja baba mwizi
😆 😂 😂 😂
Huyu maroho yakipungua anapewa jina la tapeli kupunguza ugali wamanenooo
😆 😂 😆 😂
Sisemi kukutisha
Kuna familia kwaoooo nenda rudi uwe na hela huna wao n
■wazinzi■
Yaan wataprrtend kanisan wee toaa yoteee lakn akitoka
Mzinzi
Asbh anadamka saa 4.30am anawahi folen unajua wanachofanya wanaenda small house anapewa shortlymmmm saa kumi nambili asbh anachomoka to job
Mxhana lunch tym kama karibu anakuja kushtua lunch na shortym maisha yanaenda
Akirudi ndan unamwona mke sihuyu mume si huyu.....
Kuna ukooo wao n
■wambeya■
by og
Sisemi ukooo wako
Yaani wahamie tanga .mbeya.moro.dodoma yaan n wambeya mtukuka...
So nakusihi fanya mapping ya familia uliopo na unayopitaaaa
Wengine mpaka sasa tuliingia ■gharama ya sadaka■
kuwa na ffuraha kwenye ndoa na hata ukiona moto unawaka unamkumbusha Mungu sadaka yako.
Mwisho we unaesubiria ndoa utilise piga maombi kuna walioingia wakakimbia kama wanajeshi wa hamas achatu
We unaeteseka na moto wa ndoa taguta makanisa wakusaidie kutubu na kuombea rehemaaaza ukoo wewe kama wewe ndoa itatuliaaaa tu
MUNGU AKUPE WA KUFANANA NAE
😆 😆 😂 😂 😆 😂 😆 😄 🤣 😂 😆