iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 4,240
- 7,816
Pia kuna hizi series za movies muwe nazo makini sana ndiko watu wanajifunzia huko hasa watoto, kuna ile series ya Money Heist ina mambo ya mchele mule ila unakuta dogo anakodolea macho tu, kuna pia games za ngono kwenye hivi vifaa vya internet, simu, tablets, lapy, game consoles n.k watoto wanajifunza vingi huko kwenye platform ya shetani.
Yaani kama una DSTV nyumbani na mtoto ana access nayo, niwashauri tu mjitahidi kuweka child lock ile, wale jamaa wana channels zinarusha makatuni na movies za ubwabwa live sometimes. So dogo akiona ivo atataka ku practice na mtu.. Wafunzeni watoto wa kiume kujitegemea wasikae kutamani mambo yanayokuja tu machoni mwao kirahisi, vijizawadi pia vinawaponza watoto hawa kutobolewa. Wajengeeni hofu ya Mungu wajifunze kumuogopa Mungu wakati wote na references muwape ile Sodom na Gomorrah wajue hilo jambo ni chukizo kabisa mbele za MUNGU na hana huruma nalo.
Usikae na mtoto wa kiume ambae hajui kufua hata soksi zake, hajui kufagia ndani/chumba anacholala, hawezi mazoezi, enzi hizo nakumbuka sie unatumwa dukani mlezi anakwabia natema mate chini yakikauka hujafika utaisoma namba ila wa saiv ni madogo mayai tupu na viburi vimewajaa, wafunzeni kupasua kuni, kokoto, yaani mkeep busy na shughuli za kiume zile za size yake si za kumkomoa, usimpe nafasi ya kwenda kucheza PS au kukaa kwenye TV kuangalia movies za majuu na katuni siku hizi maigizo mengi wanaweka ushoga live kabisa..
Yaani kama una DSTV nyumbani na mtoto ana access nayo, niwashauri tu mjitahidi kuweka child lock ile, wale jamaa wana channels zinarusha makatuni na movies za ubwabwa live sometimes. So dogo akiona ivo atataka ku practice na mtu.. Wafunzeni watoto wa kiume kujitegemea wasikae kutamani mambo yanayokuja tu machoni mwao kirahisi, vijizawadi pia vinawaponza watoto hawa kutobolewa. Wajengeeni hofu ya Mungu wajifunze kumuogopa Mungu wakati wote na references muwape ile Sodom na Gomorrah wajue hilo jambo ni chukizo kabisa mbele za MUNGU na hana huruma nalo.
Usikae na mtoto wa kiume ambae hajui kufua hata soksi zake, hajui kufagia ndani/chumba anacholala, hawezi mazoezi, enzi hizo nakumbuka sie unatumwa dukani mlezi anakwabia natema mate chini yakikauka hujafika utaisoma namba ila wa saiv ni madogo mayai tupu na viburi vimewajaa, wafunzeni kupasua kuni, kokoto, yaani mkeep busy na shughuli za kiume zile za size yake si za kumkomoa, usimpe nafasi ya kwenda kucheza PS au kukaa kwenye TV kuangalia movies za majuu na katuni siku hizi maigizo mengi wanaweka ushoga live kabisa..