Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 2,969
- 5,259
Mungu tu ndomsaada
wala sina neno mie, wameambiwa wazazi, ko wenye watoto ndo wanatoa mawazo yao, mie msomaji tyuuh.Nilikuwa natafuta comment yako
hii ni kweli kabisa kuna mtu namfahamu kabisa alikuwa shoga karegea alipelekwa kijijini alikaa kama miez mitatu akishughulikiwa,hivi tunavyoongea juzi amefumwa na mtoto wa baba mwenye nyumba akimgegeda uchochoroni
Na waganga walivo wahuni, kafara yake hawaikubali
Namtilia sumu afe..seriouslyHili swala tunalijadili, tunaona vijana wa kiume wanavyoharibika lakini uneshawahi kifikiria likikitokoea kwa mtoto wako utafanya nini?
Kuna mtu ninamfahamu amepata mental break down baada ya kufahamu kijana wake ana boyfriend.
Hawana wanalolijua hawa, wasamehe bibi angu.Ni rahisi kusema.
Ahahahaha umenikumbusha story ya yule jamaa wa ndoa
hii ni kweli kabisa kuna mtu namfahamu kabisa alikuwa shoga karegea alipelekwa kijijini alikaa kama miez mitatu akishughulikiwa,hivi tunavyoongea juzi amefumwa na mtoto wa baba mwenye nyumba akimgegeda uchochoroni
God forbidHili swala tunalijadili, tunaona vijana wa kiume wanavyoharibika lakini uneshawahi kifikiria likikitokoea kwa mtoto wako utafanya nini?
Kuna mtu ninamfahamu amepata mental break down baada ya kufahamu kijana wake ana boyfriend.
Hilo naamini, Kuna jamaa wako watatu ni ndugu ila wote mapungaUshirikina pia upo fuatilia
Aisee ni mtihani mzito sana.Hili swala tunalijadili, tunaona vijana wa kiume wanavyoharibika lakini uneshawahi kifikiria likikitokoea kwa mtoto wako utafanya nini?
Kuna mtu ninamfahamu amepata mental break down baada ya kufahamu kijana wake ana boyfriend.
Hiyo si sababu mimi kuna jamaa na mjua ana matako makubwa, ila jamaa anatembeza rungu mtaani kama kawa, game hizi EPL tunacheki nae sana .Hasi kudanganye mtu mwl wa kwanza wa mtoto ni mzazi na inatakiwa umjenge akuamini ww mzazi kuliko mtu yoyote yule na umlee ajijue yy ni nani,ukikosea na kujifanya upo busy huna time na mtoto hapo umekwisha.kuna mmoja huyo ukikutana nae huwezi zani kama ni dume. Ni bonge kiasi, tembea ya kike hadi anavotembea na kushika kiuno kama she, sura ni mwanamke kabisa, hips na kiuno vipo
mwanzoni tulitaka kubisha kama ni dume, kumbe alikuwa mwana chuo. Wahivi akipelekwa boarding ya wavulana tupu sijui kama atasalimika na wazazi watakuwa hawampendi.
hivi kama huyu ni amezaliwa hivo au walimchezea sana mpaka akawa kama mwanamke?