Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,752
- 13,401
Hakuna penye unafuu binti akiisha kuwa lesbian hupoteza matamanio na wanaume pia usagaji ni zaid ya kupigana deki.u lesbian kwan nalo ni tatizo?! si wanapigana deki tu! ila ushoga jaman hata kuutamka bas tu!
shida yangu kubwa ni kuhusu wateja wa mashoga wanakuwa na ugonjwa au ulemavu gani akilini?