Ukiwa kama mzazi, ukifahamu mtoto wako anashiriki mapenzi ya jinsia moja utafanya nini?

Inasikitisha ,Kuna jamaa aliharibiwa Boarding Maua Seminary wakati akiwa Olevel na alifaulu vizuri tu alipata A tisa ,tukakutana Advance akiwa tayari GASHO,Shule za boarding nazo ni machaka ya Lesbians/Gays/LGBT.

Aint Svck a D!ck ,No Homo.
Mbona boarding niliyosoma mimi hakuna hizo mishe? Au za wavulana peke yao ndio shida?
 
Kuna ushoga wa aina tatu.
1-Anakuwa shoga kwa sababu ana homoni nyingi za kike.
2-Anakuwa shoga kwa sababu ya kuzoea kuingiliwa tangu utoto.Mfano mwaka huu 2021 wizara ya mambo ya ndani ilisema bungeni kuna watoto wa kiume zaidi ya 500 walilawitiwa, watoto kama hawa wakiendelea kufanyiwa hiyo michezo hawawezi kuacha.
3-Anakuwa shoga kwa sababu ya kutaka fedha nk,akishazoea anashindwa kuacha.
Ushoga wa aina zote mtu akipewa ushauri mzuri na akitaka kuacha anaacha.
IMG_20211127_133348_997.jpg

Kitabu hiki kina mada inayoelezea kwa undani mambo hayo, anayehitaji tuwasiliane 0756625286.
 
Umakini wa wazazi unahitajika sana kwenye malezi ya watoto,haitakiwi kumuacha mtoto bila supervision,Matron/Patron wawasaidie wazazi kipindi mtoto akiwa shule ,supervision ni muhimu kwa 100%,mtoto hatakiwi kulala na wageni ,inapendeza kama una ukwasi kila mtoto awe analala kitanda chake(kama chumba kimoja) au chumba chake peke yake.
Haya mambo hayakuwepo zamani ... nadhani nanhuko vijijini hata sasa sijaonaila hapa mini huwiii
 
Umakini wa wazazi unahitajika sana kwenye malezi ya watoto,haitakiwi kumuacha mtoto bila supervision,Matron/Patron wawasaidie wazazi kipindi mtoto akiwa shule ,supervision ni muhimu kwa 100%,mtoto hatakiwi kulala na wageni ,inapendeza kama una ukwasi kila mtoto awe analala kitanda chake(kama chumba kimoja) au chumba chake peke yake.
Namfahamu shoga mmoja ambae amelelewa na baba na mama. Nyumban wameshika dini na hakuna malezi ya kimayaimayai, yule mama wakikurya ni wamoto. Amesoma shule za day mpaka O'Level which means alikua kwenye uangalizi wa wazazi. Advance amesoma tusiime.

Ila sasa...
Mungu atusaidie..
Jamaa anafanya kazi taasisi ya serikali yenye hadhi sana. Amesomesha wadogo zake, anatunza wazazi na ndugu. Ameoa 2019 hivyo anatunza familia yake.

Ila pia anatunza na mabwana kwa gharama yoyote ile. Mmoja yupo kimara, alifunguliwa pub ya uwekezaji wa milioni 10.

Mwingine alichukuliwa akiwa chuo kijana mdogo wa 98/97. Amepangiwa chumba, amewekewa kila kitu ndani. Amefunguliwa duka soko la Rehema Nchimbi. Anapewa hela ya kula, ya gym, kuvaa n.k. chamuhimu awe na afya, na nguvu na muonekano. Wana miaka mitatu sasa.

Sasa unajiuliza, hapa wazazi walikosea wapi...
Mungu atuepushe kwakweli. Siwezi hata kuimagin kwa mwanangu. Mungu niepushie mbali
 
Kuna ushoga wa aina tatu.
1-Anakuwa shoga kwa sababu ana homoni nyingi za kike.
2-Anakuwa shoga kwa sababu ya kuzoea kuingiliwa tangu utoto.Mfano mwaka huu 2021 wizara ya mambo ya ndani ilisema bungeni kuna watoto wa kiume zaidi ya 500 walilawitiwa, watoto kama hawa wakiendelea kufanyiwa hiyo michezo hawawezi kuacha.
3-Anakuwa shoga kwa sababu ya kutaka fedha nk,akishazoea anashindwa kuacha.
Ushoga wa aina zote mtu akipewa ushauri mzuri na akitaka kuacha anaacha.
View attachment 2041047
Kitabu hiki kina mada inayoelezea kwa undani mambo hayo, anayehitaji tuwasiliane 0756625286.
Kinauzwaje?
 
Namfahamu shoga mmoja ambae amelelewa na baba na mama. Nyumban wameshika dini na hakuna malezi ya kimayaimayai, yule mama wakikurya ni wamoto. Amesoma shule za day mpaka O'Level which means alikua kwenye uangalizi wa wazazi. Advance amesoma tusiime.

Ila sasa...
Mungu atusaidie..
Jamaa anafanya kazi taasisi ya serikali yenye hadhi sana. Amesomesha wadogo zake, anatunza wazazi na ndugu. Ameoa 2019 hivyo anatunza familia yake.

Ila pia anatunza na mabwana kwa gharama yoyote ile. Mmoja yupo kimara, alifunguliwa pub ya uwekezaji wa milioni 10.

Mwingine alichukuliwa akiwa chuo kijana mdogo wa 98/97. Amepangiwa chumba, amewekewa kila kitu ndani. Amefunguliwa duka soko la Rehema Nchimbi. Anapewa hela ya kula, ya gym, kuvaa n.k. chamuhimu awe na afya, na nguvu na muonekano. Wana miaka mitatu sasa.

Sasa unajiuliza, hapa wazazi walikosea wapi...
Mungu atuepushe kwakweli. Siwezi hata kuimagin kwa mwanangu. Mungu niepushie mbali
Hawa wa hivi mara nyingi inakuwa ni ushirikina unakuta kapewa masharti na mganga wa kienyeji huko ndo vinatokea vitu kama ivo.
 
Kuna ushoga wa aina tatu.
1-Anakuwa shoga kwa sababu ana homoni nyingi za kike.
2-Anakuwa shoga kwa sababu ya kuzoea kuingiliwa tangu utoto.Mfano mwaka huu 2021 wizara ya mambo ya ndani ilisema bungeni kuna watoto wa kiume zaidi ya 500 walilawitiwa, watoto kama hawa wakiendelea kufanyiwa hiyo michezo hawawezi kuacha.
3-Anakuwa shoga kwa sababu ya kutaka fedha nk,akishazoea anashindwa kuacha.
Ushoga wa aina zote mtu akipewa ushauri mzuri na akitaka kuacha anaacha.
View attachment 2041047
Kitabu hiki kina mada inayoelezea kwa undani mambo hayo, anayehitaji tuwasiliane 0756625286.
Hii number 3 ndio sababu kubwa ya vijana kuharibika na kuharibiwa mitandao ndio imepekea watoto kuharibika special mobile kuna cartoon mpaka za mashoga leo super man ktk cartoon kawa shoga anafanya mapenzi na mwanamme mwenzake yaani hili ni balaa ktk dunia limeingia ukiangalia movie nyingi hayo mambo yapo hii dunia inapelekwa huko Somora na gomora.Allah tusaidie.
 
Hakuna namna ila kumtoa hapo na kumpeleka kijijini akakutanishwe na wazee wa jadi wamfanyie maswala ya kimila ikiwamo kumjenga kiume akae huko hata miaka mitano. Akitoka huko anaweza kuwa sawa.
Ushatuona huku mikoani kijijini ni dampo unatuletea wa nini unataka aharibu watoto zetu
 
Namfahamu shoga mmoja ambae amelelewa na baba na mama. Nyumban wameshika dini na hakuna malezi ya kimayaimayai, yule mama wakikurya ni wamoto. Amesoma shule za day mpaka O'Level which means alikua kwenye uangalizi wa wazazi. Advance amesoma tusiime.

Ila sasa...
Mungu atusaidie..
Jamaa anafanya kazi taasisi ya serikali yenye hadhi sana. Amesomesha wadogo zake, anatunza wazazi na ndugu. Ameoa 2019 hivyo anatunza familia yake.

Ila pia anatunza na mabwana kwa gharama yoyote ile. Mmoja yupo kimara, alifunguliwa pub ya uwekezaji wa milioni 10.

Mwingine alichukuliwa akiwa chuo kijana mdogo wa 98/97. Amepangiwa chumba, amewekewa kila kitu ndani. Amefunguliwa duka soko la Rehema Nchimbi. Anapewa hela ya kula, ya gym, kuvaa n.k. chamuhimu awe na afya, na nguvu na muonekano. Wana miaka mitatu sasa.

Sasa unajiuliza, hapa wazazi walikosea wapi...
Mungu atuepushe kwakweli. Siwezi hata kuimagin kwa mwanangu. Mungu niepushie mbali
Hapa wale wajomba walio kuwa wanakuja kulala kwao Kama alikua analala nao
 
Inasikitisha ,Kuna jamaa aliharibiwa Boarding Maua Seminary wakati akiwa Olevel na alifaulu vizuri tu alipata A tisa ,tukakutana Advance akiwa tayari GASHO,Shule za boarding nazo ni machaka ya Lesbians/Gays/LGBT.

Aint Svck a D!ck ,No Homo.
Hizi shule zinakosa usimamiz dhabiti. Shule za boarding zaman walikuwa wanafuatiliwa to the max. Sahiz hawafuatiliwi tena
 
Mtoto wa miaka minne mfundishe kuosha sahani yake baada ya kula

Miaka sita ajue kufua nguo yake ya ndani pamoja na socks.

Miaka nane ajue kufua sare zake za shule na kutandika kitanda asubuhi.

Hapa hata ukiaga dunia anaweza kukabili changamoto za maisha duniani. Kulea mtoto kama yai ni hasara.

Pia kuwa karibu nae jioni akuekeze yakiyomsibu kutwa nzima. Sasa mtoto wako anasifiwa na kuuza duka kuwa ni mzuri kama binti na wewe huna habari.
Sure, mimi lazima nimjenge kiume, akianza kubalehe nitamwambia K ni tamu, nimfanye achuki pigo za kike!

Be man, strong, asiogope, mtu akikuletea pigo za kigasho mara ww mzuri, piga mawe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom