SoC01 Ukitaka kupiga hatua katika maisha lazima uwe sugu na mwenye msimamo

Stories of Change - 2021 Competition

Mzee wa old school

JF-Expert Member
May 16, 2021
505
830
Naomba nitambulike hivi hivi kama Mzee wa Old School. Story nitakayo waeleza hapo chini ni ya kweli hivyo ni vizuri ndugu unaesoma usiishie kusisimkwa, kuhuzunika ama kucheka, bali fanyia kazi ili kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha kwa sababu siku zote 'maisha ni vita' kimwili na kiroho pia, vita itafika mwisho pale utakapo rudi mavumbini nakusubiri hukumu ya haki siku ya mwisho.

Nimejaribu kufupisha kwa kupunguza baadhi ya matukio maana ni mambo mengi sana

KUZALIWA
Nimezaliwa kanda ya kati, karibu na mpakani kabisa na mkoa wa Arusha, bahati mbaya au nzuri, nilivyo zaliwa mzee wangu aliulizwa na wazazi wa mama yangu mpendwa(bibi na babu yangu) kuwa mtoto (mimi mzee wa old school) ni wako? mzee akawa hana kauli. yaani kukataa anashindwa kukubali anashindwa akawa hana msimamo. wazazi wa mama yangu wakaona isiwe kesi kubwa, wakachukua jukumu la kunilea kama mtoto wao. kwakuwa wazazi wa mama yangu mpendwa kutokana asili ya kazi yao ni kuhamishwa hamishwa sehemu mbali mbali, mpaka nafikisha umri wa kujielewa wa kuanza chekechea nikajikuta nipo dar es salaam maana mzee alikuwa amehamishiwa huko.

NIKIWA DAR ES SALAAM
Nilianza chekechea mpaka nikamalizia dalasa la saba nikiwa dar es salaam, na ndipo nilipoanza kukumbana na changamoto na athari zake. Nilipoanza darasa la kwanza nilikuwa vizuri darasani, kila darasa nililo kuwa naingia, nilikuwa nashuka kwa kasi kitaaluma! mpaka nafika darasa la nne nilikuwa nashika kumi bora za mwisho, na hapo ndipo maisha yalipozidi kuwa mabaya shuleni na nyumbani, maana miaka hiyo walikuwa wanaamini shule tu ndio sehemu pekee ya mafaninikio,
shule marafiki wananiita mbumbu, nyumbani ndugu ndio kama wamepata sababu kutwa kunijadili wakikutana, na mbaya zaidi wakawa wanataka wathibitishe kuwa babu na bibi kuchukua jukumu la kunilea ni makosa makubwa wanalea jitu ambalo halitakuwa na umuhimu wowote kama pengine watoto zao wanaofaulu shuleni.

Ilifika kipindi hata jambo dogo tu limefika kwa mzee(babu) sasa mzee akawa ananichapa tu. wakaona daah! haka katoto hakafukuzwi zaidi ya kuchapwa tu, wakawa wananisemea tu ili niwe natembezewa mboko mpaka bibi akawa anakasirika! maana kila kitu mzee wa old school, badaye mzee nae aligundua akawa afuatilii lakini shule udhalilishaji wa kuitwa mbumbu pia hata kuonewa kupigwa tu bila sababu na watu kisa mbumbu ukawa umezidi mpaka nilipofika darasa la saba.

Kipindi nipo darasa la saba kulikuwa na majaribio ya kila asubuhi kabla ya kindi (speed test) afu jioni mnapewa mitihani kabla ya kuondoka. Sasa watu wakawa wamezoea mjamaa siku zote wa mwisho mwisho! nakumbuka ulikuwa mtihani wa kiswahili, siku hiyo mwalimu akaja darasani mnyonge sana! anasema watu wamefeli sana hata yule jamaa anaefanyanga vizuri akamuuliza imetokea shida gani! nakumbuka akasema kwa uchungu sana mtu mmoja tu ndio kajitahidi kweli!, angalau kanitia moyo. kaanza kuita majina, watu wakahisi mi ndio wa mwisho kwa sababu alikua anaanzaga kuita wa mwisho hadi wa kwanza, akaanza kuita majina wale wa mwisho mwisho jina langu hola! nakumbuka darasani wakanigeukia kuniangalia karibu wote! (hahahahah!!) cha kushangaza wale waliokuwa wanafanya vizuri mwalimu alitaja max zao zilikuwa za hovyo sana wengi walicheza 10/50.

Baada ya majina ya wale wa mwisho mwisho watu wakadhani sikukusanya mtihani, mwalimu akawa kashika mtihani wa mtu mmoja aliye jitahidi huku anatikisa kichwa afu akaita jina langu ! aiseh!! darasa zima liliguna! mwalimu akaniangaliaaa! akatabasamu kidogo tokea hapo akawa nanifutalia maendeleo yangu binafsi ya shule na ndiyo ikanifanya niongeze bidii baadhi ya masomo nikaanza kufaulu mfano maarifa ya jamii nikawa napata hadi 48/50 aiseh mpaka mwalimu wa maarifa ya jamii anae akawa kampani yangu! na nyumbani wakwa wanashangaa sana ila wale ambao wanajiona wanaakili chuki ilizidi, cha ajabu ndugu waliokuwa wananichukia kisa sina akili darasani nikajua wataanza nipenda chuki ilizidi.

NAMALIZA DARASA LA SABA NAINGIA KITAA, NAKAA MTAANI MWAKA MMOJA.
Baada ya kumaliza darasa la saba sikuchaguliwa kuendelea sekondari baadhi ya ndugu walifurahi sana, ingawa hata watoto zao walifeli. kipindi hicho private school zilikuwa zimeanza zilikuwa nyingi.

Sasa cha kushangaza badala washughulike na watoto zao, wao wakawa wana deal na babu yangu eti achana nae huyo shule haiwezi, dooh! ilikuwa ajabu, mzee akanipeleka english kozi mwaka mmoja huku napambana na mishe mishe za mtaa kuna baadhi ya rafiki zangu walichaguliwa kuendelea shule buana walivyo jua nimefeli urafiki ulipungua na dharau zilizidi sana mpaka wazazi wao pia, wakawa sijui wanamwonaje mama angu, kama vile wakushindwa! ila mimi sikujali maana nilishaanza kuwa sungu na mbishi sikuwa nafuatilia!

Mwaka ulikata english kozi nikamaliza Mungu alivyo kuwa mwamba wadogo zake mamakama wawili hivi walikuwa na kauwezo kidogo walipata taarifa kuwa nilifeli darasa la saba, ikabidi waongee na mama na babu niende mkoani niendelee na sekondari (private school) daah! nilifurahi sana!

Nikakwea basi mkoani nimeanza shule huku nakaa kwa mmoja wa wadogo wa mama yangu, kiukweli alikuwa ushuani (good life yaani) kama dar unaweza linganisha na masaki, na ukilinganisha alikua bado hajaolewa, nikawa naishi maisha mazuri sana. kuna baadhi ya ndugu wakaona nafaidi wakamleta mtoto wao mmoja akwa anakaa pale pia, daah! kama alielezwa yule bwana(mimi yaani) anafaid mambo ambayo hastaili, sasa akawa nafanya visa afu anasema mzee wa old school, sasa maza house akaelewa kuwa nachukiwa akawa hafutilii na tena akawa ananitetea huku akiwakaripia nakuwaambia mimi ndio nimetaka kuishi nae.

Miaka ikakata maza house akaolewa mme wake sasa alikuwa ananichukia balaa na hapi ndipo nilipo anza kuona tena dunia chungu, ilifika kipindi anaenda mpaka shule kutaka kuharibu tu, bahati nzuri walimu walikuwa wananisifia sana (kitabia), na uone maajabu, faza house zilitokea kuiva na ndugu wasio nikubali. Ila mimi sikuwa najali wala nini! nakumbuka siku moja nilikuwa form 3 narudi kutoka shule nikakuta anaongea anamwambia maza house ambae ndio ndugu kwangu, anase mimi simpendi mzee wa old school hata iweje hiyo sentensi inasemwa ndio nipo dirishani napita, niliumia kiaina ila nikapotezea.

Pia wakati wa kujisomea usiku, nafuatwa naambiwa zima taa umeme unaisha! kinyoonge nazima nalala, mchna sipumziki kama nikirudi shule unatumwa mpaka unakoma!, nikaona isiwe kesi ile naingia form 3 mzee wangu (babu yangu) akawa karudi mkoa niliopo maana ndio nyumbani, nikajiongeza nikaenda kuishi kwake, maan aliniambiaga kwake ndio nyumbani kwetu

NIMEMALIZA FORM IV
Nimemaliza form iv matokeo yametoka nikapata div 4 ila nilikuwa na credi 2 na D flat, ndugu tena wakaibuka oooh! hana akili kae tu nyumbani, afu sasa wako serious! mpaka nikawa nashangaa maisha yangu yanawahusu nini?

Siku jali nikawa napiga kazi ngumu nikaweka weka akiba kidogo maana nikawa nawaza nifanye biashara na matangazo ya chuo yakaanza, Umwamba wa Mungu ukaonekana tena! babu akiita akaniuliza, unataka ukasomee nini? nikataja kozi, babu akaongea na mwanae mmoja akashirikia na mama nikaanza chuo, ndugu wakaanza angeenda form six huko kupoteza pesa na kozi yenyewe hatopata kazi. sikujali, akiba niloweka nikaongezea nikalipa ada nikafika diploma nikajiongeza kutafuta kazi mahali ya ukuli katika kiwanda maana nilichagua masomo ya jioni chuoni, asubuhi mpaka saa 9 nanyanyua mizigo fulani saa 11 mpaka saa 2 usiku kipindi darani, maneno yakazidi kuwa pesa ninayolipiwa ada inaenda bure maana nikimaliza nitakuwa sina kazi,

BAADA YA KUMALIZA CHUO
Baada ya kumaliza chuo Mungu akaonyesha kuwa yeye ni mwamba tena, haikupita miezi 3 nikapata kazi ila sikuwaambia ndugu waliokuwa wanapambana nifeli katika maisha niliwaambia wale waliokuwa wanapambana nipate ahueni ya maisha yangu lakini badae walijua sijui kama waliumia au vipi lakini nilipata simu zao, nikapata hongera nyingi. nikajiongeza nikafanya maendeleo ya kielemu na pale nilipoweza niliwasaidia hata kama walinichukia na nilipokuwa nawasaidia sikuwa natangaza ila nilifanya kimya kimya, labda wao ndio walisema mzee wa old school huyo!

CHANGAMOTO KAZINI
hapa ndipo nilijua mengi zaidi ya dunia lakini nitaeleza machache sana, nimeanza kazi, siku naenda kureport kituo changu cha kazi, nikakutana watu wazima wengine kama ndo umri wa kustaafu wanakaribia, afu nimeenda mimi na ka elimu kangu ndio nakuwa bosi wao! (hahahaha!) nacheka lakini nilikuata na changamoto nzito na hapo ndipo nilishuhudia kwa macho yangu kuwa uchawi upo!

Kimwonekano pia kiumri nilikuwa mdogo sana mpaka hata maafisa utumishi wakiniona wanatikisa vichwa huku wanacheka kwa mshangao na kujiuliza kapitaje pitaje? kwa umri wake angetakiwa aendelee na shule tu(kumbe hawajui ya moyoni)

Sasa wale wazee kazini wakawa wanafuja pesa hovyo afu mimi ndiyo msimamizi wa kila kitu nikiongea tu! wanajibu dharau mara tukitaka tunakufukuzisha kazi, wakawa wanasema nitulie maana nimewakuta, ma auditor wakawa wakikuta kasoro bahati nzuri wakawa waelewa wakanielekeza namna ya kufunya niwadhibiti. pia bahati nzuri Mungu kanipa neema mtu wa idaba kiasi chake, nikawa nafanya maombi Mungu anipe ujasiri katika kutekeleza majukumu yangu ya kazi.

Mungu akanipa ujasiri nikaanza kuwa makini na kazi yangu nikawashikisha adabu ufujaji ukafa kabisa mpaka wakawa wanashangaa wenzangu nimewezaje kuwamudu wale wazee maana walikuwa wanatisha. cha ajabu zaidi nikawakamata na kutaka kuwafungulia mashtaka mahakani, kwahiyo rumande waliionja kidogo!, wafanya kazi wenzagu wengine walishangaa sana

KUKUMBANA NA MAMBO YA GIZA/ UCHAWI OFISINI
Baada ya mambo kwenda vizuri ofisini, vile vizee vikaona vitumie uchawi, sikumoja nimelala usiku maana nilikuwa nimelala sebuleni siku hiyo na sijui ilikuwaje, usingizi haujaja vizuri naona kama nimekabwa afu mtu kama anazidi kunikandamiza nikatumia nguvu nyingi sana kuamka huku jasho linanitoka, nikasema ndoto tu! maana havijawahi kunitokea labda nikiwa mdogo sijitambua, nikalala tena, ila nikabadili pozi nikalala ubavu, sijui ikawaje kama kitu kilinigeuza nikawa nimelala chali tena afu roba ikaja tena, hiyo ya pili ndio ikawa noma! nikawa nashindwa hadi kuhema, nikawa nakemea kimoyoni kwa imani yangu (kwa Jina La Yesu, Damu ya Yesu itawale) ghafla kama nikaachiwa, nikafumbua macho nikaona kama mtu mrefu anapotea kwenye pembe ya ukuta!

Daah! nikaamka sikulala mpaka asubuhi naenda kazi. Majaribu yakawa yanaendelea nikashangaa mwili mzima kama nataka kupararaizi, maana ghafla miguu ikawa mizito natembea kama nabuluza, mpaka siku moja nimeenda sehemu kunywa chai kwenye mgahawa nimemaliza ile natoka nikapamia ndoo ya maji moto ikanimwagikia mwili mzima! siku hiyo nilikaa nikawaza niache kazi au?!!! kuna mama mmoja hapo kazini akanishauri mwanangu ukiacha kazi afu serikalini, kupata tena shughuli, nikasema nitaenda kufanya biashara tu, akasema hapana hayo maamuzi ya hasira, siku ikapita, lakini msimamo kazini uleule sikulegeza kamba lakini huku naendelea na maombi!

Siku moja nilikua kwenye daladala natoka ofisini naelekea sehemu, nimefika kituoni nashuka, nikahisi kitu kama kimeshika miguuni nikajitahidi kunyanyua mguu, nilibamiza chini watu wakashituka sana! konda akaninyanyua wakanipa pole, nikakaa nikafikiria sana! nikasema dooh! mbona kila kukicha shida tu!

Nikarudi nyumbani, nikawa nimekaa tu nafikiria! nikakumbuka kuna video moja hivi nilikuwa napenda sana kuangalia youtube ya jamaa mmoja hivi alizaliwa hana mikono pia miguu baba yake alimkataa anaasili ya ulaya ila anaishi marekani, interviews zake nyingi anamshukuru sana Mungu halalimiki jinsi alivyo na maisha yanasonga ingawa alitengwa na watu wengi kipindi yupo mdogo, nikafikiria nikasema moyoni hii ndiyo hatua ya kutengeneza maisha yangu binafsi, familia yangu, wazazi wangu na pia rafiki watakao nizunguka sina sababu ya kukata tamaa, nikasema ngoja nimshirikishe mama yangu

M
aana ni mtu wa maombi pia, akamweleza babu yangu na na mdogo wake alie shirikiana nae kunishomesha. walinikumbuka katika maombi yao ya kila siku! na mimi pia niliomba mara kwa mara! na Mungu alifanya njia wale wazee waliondelewa kwa aibi sana mpaka kesho wanaamini mimi ni mshirikina kama wao! na walisha wahi nitamkia hilo kuwa mimi ni mchawi! na ilifika kipindi nikiwa nimebeba hat bahasha nikaiweka juu ya meza wanaogopa kuishika..
kwa ufupi vita nyingi zilitokea lakini kwa uwezo wake Mungu nilizishinda! ingawa mpaka sasa changamoto zipo, naziona za kawaida maana nilishakuwa sugu na nimekomaa najua kusudu la maisha yangu siyumbishwi na changamoto nakaza mwendo maana najua nitapumzika mbinguni

NINGEPENDA NIKUFAHAMISHE MAMBO HAYA
* kila sehemu yenye vita dhidi yako Mungu humnyanyua
wakukutetea
* Kuwa na msimamo wako katika haya maisha(lakini uwe msimamo uwe wa haki)
*pia jua binadamu wa kwanza kukutetea wewe ni wewe mwenyewe
* pia fahamu kuwa Mungu ndiye kila kitu

'nakutia moyo usikate tamaa'

mwisho******
 
Naomba nitambulike hivi hivi kama mzee wa old school.
story nitakayo waeleza hapo chini ni ya kweli hivyo ni vizuri ndugu unaesoma usiishie kusisimkwa, kuhuzunika ama kucheka, bali fanyia kazi ili kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha kwa sababu siku zote 'maisha ni vita' kimwili na kiroho pia, vita itafika mwisho pale utakapo rudi mavumbini nakusubiri hukumu ya haki siku ya mwisho.

nimejaribu kufupisha kwa kupunguza baadhi ya matukio maana ni mambo mengi sana

KUZALIWA
Nimezaliwa kanda ya kati, karibu na mpakani kabisa na mkoa wa Arusha, bahati mbaya au nzuri, nilivyo zaliwa mzee wangu aliulizwa na wazazi wa mama yangu mpendwa(bibi na babu yangu) kuwa mtoto (mimi mzee wa old school) ni wako? mzee akawa hana kauli. yaani kukataa anashindwa kukubali anashindwa akawa hana msimamo. wazazi wa mama yangu wakaona isiwe kesi kubwa, wakachukua jukumu la kunilea kama mtoto wao. kwakuwa wazazi wa mama yangu mpendwa kutokana asili ya kazi yao ni kuhamishwa hamishwa sehemu mbali mbali, mpaka nafikisha umri wa kujielewa wa kuanza chekechea nikajikuta nipo dar es salaam maana mzee alikuwa amehamishiwa huko.

NIKIWA DAR ES SALAAM
nilianza chekechea mpaka nikamalizia dalasa la saba nikiwa dar es salaam, na ndipo nilipoanza kukumbana na changamoto na athari zake.
nilipoanza darasa la kwanza nilikuwa vizuri darasani, kila darasa nililo kuwa naingia, nilikuwa nashuka kwa kasi kitaaluma! mpaka nafika darasa la nne nilikuwa nashika kumi bora za mwisho, na hapo ndipo maisha yalipozidi kuwa mabaya shuleni na nyumbani, maana miaka hiyo walikuwa wanaamini shule tu ndio sehemu pekee ya mafaninikio,
shule marafiki wananiita mbumbu, nyumbani ndugu ndio kama wamepata sababu kutwa kunijadili wakikutana, na mbaya zaidi wakawa wanataka wathibitishe kuwa babu na bibi kuchukua jukumu la kunilea ni makosa makubwa wanalea jitu ambalo halitakuwa na umuhimu wowote kama pengine watoto zao wanaofaulu shuleni, ilifika kipindi hata jambo dogo tu limefika kwa mzee(babu) sasa mzee akawa ananichapa tu. wakaona daah! haka katoto hakafukuzwi zaidi ya kuchapwa tu, wakawa wananisemea tu ili niwe natembezewa mboko mpaka bibi akawa anakasirika! maana kila kitu mzee wa old school, badae mzee nae aligundua akawa afuatilii.
lakini shule udhalilishaji wa kuitwa mbumbu pia hata kuonewa kupigwa tu bila sababu na watu kisa mbumbu ukawa umezidi mpaka nilipofika darasa la saba.
kipindi nipo darasa la saba kulikuwa na majaribio ya kila asubuhi kabla ya kindi (speed test) afu jioni mnapewa mitihani kabla ya kuondoka. sasa watu wakawa wamezoea mjamaa siku zote wa mwisho mwisho! nakumbuka ulikuwa mtihani wa kiswahili, siku hiyo mwalimu akaja darasani mnyonge sana! anasema watu wamefeli sana hata yule jamaa anaefanyanga vizuri akamuuliza imetokea shida gani! nakumbuka akasema kwa uchungu sana mtu mmoja tu ndio kajitahidi kweli!, angalau kanitia moyo. kaanza kuita majina, watu wakahisi mi ndio wa mwisho kwa sababu alikua anaanzaga kuita wa mwisho hadi wa kwanza, akaanza kuita majina wale wa mwisho mwisho jina langu hola! nakumbuka darasani wakanigeukia kuniangalia karibu wote! (hahahahah!!) cha kushangaza wale waliokuwa wanafanya vizuri mwalimu alitaja max zao zilikuwa za hovyo sana wengi walicheza 10/50. baada ya majina ya wale wa mwisho mwisho watu wakadhani sikukusanya mtihani, mwalimu akawa kashika mtihani wa mtu mmoja aliye jitahidi huku anatikisa kichwa afu akaita jina langu ! aiseh!! darasa zima liliguna! mwalimu akaniangaliaaa! akatabasamu kidogo tokea hapo akawa nanifutalia maendeleo yangu binafsi ya shule na ndiyo ikanifanya niongeze bidii baadhi ya masomo nikaanza kufaulu mfano maarifa ya jamii nikawa napata hadi 48/50 aiseh mpaka mwalimu wa maarifa ya jamii anae akawa kampani yangu! na nyumbani wakwa wanashangaa sana ila wale ambao wanajiona wanaakili chuki ilizidi, cha ajabu ndugu waliokuwa wananichukia kisa sina akili darasani nikajua wataanza nipenda chuki ilizidi.

NAMALIZA DARASA LA SABA NAINGIA KITAA, NAKAA MTAANI MWAKA MMOJA.
baada ya kumaliza darasa la saba sikuchaguliwa kuendelea sekondari baadhi ya ndugu walifurahi sana, ingawa hata watoto zao walifeli. kipindi hicho private school zilikuwa zimeanza zilikuwa nyingi.
sasa cha kushangaza badala washughulike na watoto zao, wao wakawa wana deal na babu yangu eti achana nae huyo shule haiwezi, dooh! ilikuwa ajabu, mzee akanipeleka english kozi mwaka mmoja huku napambana na mishe mishe za mtaa kuna baadhi ya rafiki zangu walichaguliwa kuendelea shule buana walivyo jua nimefeli urafiki ulipungua na dharau zilizidi sana mpaka wazazi wao pia, wakawa sijui wanamwonaje mama angu, kama vile wakushindwa! ila mimi sikujali maana nilishaanza kuwa sungu na mbishi sikuwa nafuatilia!
mwaka ulikata english kozi nikamaliza Mungu alivyo kuwa mwamba wadogo zake mamakama wawili hivi walikuwa na kauwezo kidogo walipata taarifa kuwa nilifeli darasa la saba, ikabidi waongee na mama na babu niende mkoani niendelee na sekondari (private school) daah! nilifurahi sana!
nikakwea basi mkoani nimeanza shule huku nakaa kwa mmoja wa wadogo wa mama yangu, kiukweli alikuwa ushuani (good life yaani) kama dar unaweza linganisha na masaki, na ukilinganisha alikua bado hajaolewa, nikawa naishi maisha mazuri sana. kuna baadhi ya ndugu wakaona nafaidi wakamleta mtoto wao mmoja akwa anakaa pale pia, daah! kama alielezwa yule bwana(mimi yaani) anafaid mambo ambayo hastaili, sasa akawa nafanya visa afu anasema mzee wa old school, sasa maza house akaelewa kuwa nachukiwa akawa hafutilii na tena akawa ananitetea huku akiwakaripia nakuwaambia mimi ndio nimetaka kuishi nae.
miaka ikakata maza house akaolewa mme wake sasa alikuwa ananichukia balaa na hapi ndipo nilipo anza kuona tena dunia chungu, ilifika kipindi anaenda mpaka shule kutaka kuharibu tu, bahati nzuri walimu walikuwa wananisifia sana (kitabia), na uone maajabu, faza house zilitokea kuiva na ndugu wasio nikubali.
ila mimi sikuwa najali wala nini! nakumbuka siku moja nilikuwa form 3 narudi kutoka shule nikakuta anaongea anamwambia maza house ambae ndio ndugu kwangu, anase mimi simpendi mzee wa old school hata iweje hiyo sentensi inasemwa ndio nipo dirishani napita, niliumia kiaina ila nikapotezea.
pia wakati wa kujisomea usiku, nafuatwa naambiwa zima taa umeme unaisha! kinyoonge nazima nalala, mchna sipumziki kama nikirudi shule unatumwa mpaka unakoma!, nikaona isiwe kesi ile naingia form 3 mzee wangu (babu yangu) akawa karudi mkoa niliopo maana ndio nyumbani, nikajiongeza nikaenda kuishi kwake, maan aliniambiaga kwake ndio nyumbani kwetu

NIMEMALIZA FORM IV
Nimemaliza form iv matokeo yametoka nikapata div 4 ila nilikuwa na credi 2 na D flat,
ndugu tena wakaibuka oooh! hana akili kae tu nyumbani, afu sasa wako serious! mpaka nikawa nashangaa maisha yangu yanawahusu nini?
siku jali nikawa napiga kazi ngumu nikaweka weka akiba kidogo maana nikawa nawaza nifanye biashara na matangazo ya chuo yakaanza, Umwamba wa Mungu ukaonekana tena! babu akiita akaniuliza, unataka ukasomee nini? nikataja kozi, babu akaongea na mwanae mmoja akashirikia na mama nikaanza chuo, ndugu wakaanza angeenda form six huko kupoteza pesa na kozi yenyewe hatopata kazi. sikujali, akiba niloweka nikaongezea nikalipa ada nikafika diploma nikajiongeza kutafuta kazi mahali ya ukuli katika kiwanda maana nilichagua masomo ya jioni chuoni, asubuhi mpaka saa 9 nanyanyua mizigo fulani saa 11 mpaka saa 2 usiku kipindi darani, maneno yakazidi kuwa pesa ninayolipiwa ada inaenda bure maana nikimaliza nitakuwa sina kazi,

BAADA YA KUMALIZA CHUO
Baada ya kumaliza chuo Mungu akaonyesha kuwa yeye ni mwamba tena, haikupita miezi 3 nikapata kazi ila sikuwaambia ndugu waliokuwa wanapambana nifeli katika maisha niliwaambia wale waliokuwa wanapambana nipate ahueni ya maisha yangu.
lakini badae walijua sijui kama waliumia au vipi lakini nilipata simu zao, nikapata hongera nyingi. nikajiongeza nikafanya maendeleo ya kielemu na pale nilipoweza niliwasaidia hata kama walinichukia na nilipokuwa nawasaidia sikuwa natangaza ila nilifanya kimya kimya, labda wao ndio walisema mzee wa old school huyo!

CHANGAMOTO KAZINI
hapa ndipo nilijua mengi zaidi ya dunia lakini nitaeleza machache sana, nimeanza kazi, siku naenda kureport kituo changu cha kazi, nikakutana watu wazima wengine kama ndo umri wa kustaafu wanakaribia, afu nimeenda mimi na ka elimu kangu ndio nakuwa bosi wao! (hahahaha!) nacheka lakini nilikuata na changamoto nzito na hapo ndipo nilishuhudia kwa macho yangu kuwa uchawi upo!!!!
kimwonekano pia kiumri nilikuwa mdogo sana mpaka hata maafisa utumishi wakiniona wanatikisa vichwa huku wanacheka kwa mshangao na kujiuliza kapitaje pitaje? kwa umri wake angetakiwa aendelee na shule tu(kumbe hawajui ya moyoni)
sasa wale wazee kazini wakawa wanafuja pesa hovyo afu mimi ndiyo msimamizi wa kila kitu nikiongea tu! wanajibu dharau mara tukitaka tunakufukuzisha kazi, wakawa wanasema nitulie maana nimewakuta, ma auditor wakawa wakikuta kasoro bahati nzuri wakawa waelewa wakanielekeza namna ya kufunya niwadhibiti. pia bahati nzuri Mungu kanipa neema mtu wa idaba kiasi chake, nikawa nafanya maombi Mungu anipe ujasiri katika kutekeleza majukumu yangu ya kazi,
Mungu akanipa ujasiri nikaanza kuwa makini na kazi yangu nikawashikisha adabu ufujaji ukafa kabisa mpaka wakawa wanashangaa wenzangu nimewezaje kuwamudu wale wazee maana walikuwa wanatisha. cha ajabu zaidi nikawakamata na kutaka kuwafungulia mashtaka mahakani, kwahiyo rumande waliionja kidogo!, wafanya kazi wenzagu wengine walishangaa sana

KUKUMBANA NA MAMBO YA GIZA/ UCHAWI OFISINI
Baada ya mambo kwenda vizuri ofisini, vile vizee vikaona vitumie uchawi, sikumoja nimelala usiku maana nilikuwa nimelala sebuleni siku hiyo na sijui ilikuwaje, usingizi haujaja vizuri naona kama nimekabwa afu mtu kama anazidi kunikandamiza nikatumia nguvu nyingi sana kuamka huku jasho linanitoka, nikasema ndoto tu! maana havijawahi kunitokea labda nikiwa mdogo sijitambua, nikalala tena, ila nikabadili pozi nikalala ubavu, sijui ikawaje kama kitu kilinigeuza nikawa nimelala chali tena afu roba ikaja tena, hiyo ya pili ndio ikawa noma! nikawa nashindwa hadi kuhema, nikawa nakemea kimoyoni kwa imani yangu (kwa Jina La Yesu, Damu ya Yesu itawale) ghafla kama nikaachiwa, nikafumbua macho nikaona kama mtu mrefu anapotea kwenye pembe ya ukuta!
daah! nikaamka sikulala mpaka asubuhi naenda kazi,
majaribu yakawa yanaendelea nikashangaa mwili mzima kama nataka kupararaizi, maana ghafla miguu ikawa mizito natembea kama nabuluza, mpaka siku moja nimeenda sehemu kunywa chai kwenye mgahawa nimemaliza ile natoka nikapamia ndoo ya maji moto ikanimwagikia mwili mzima! siku hiyo nilikaa nikawaza niache kazi au?!!! kuna mama mmoja hapo kazini akanishauri mwanangu ukiacha kazi afu serikalini, kupata tena shughuli, nikasema nitaenda kufanya biashara tu, akasema hapana hayo maamuzi ya hasira, siku ikapita, lakini msimamo kazini uleule sikulegeza kamba lakini huku naendelea na maombi!
siku moja nilikua kwenye daladala natoka ofisini naelekea sehemu, nimefika kituoni nashuka, nikahisi kitu kama kimeshika miguuni nikajitahidi kunyanyua mguu, nilibamiza chini watu wakashituka sana! konda akaninyanyua wakanipa pole, nikakaa nikafikiria sana! nikasema dooh! mbona kila kukicha shida tu!
nikarudi nyumbani, nikawa nimekaa tu nafikiria! nikakumbuka kuna video moja hivi nilikuwa napenda sana kuangalia youtube ya jamaa mmoja hivi alizaliwa hana mikono pia miguu baba yake alimkataa anaasili ya ulaya ila anaishi marekani, interviews zake nyingi anamshukuru sana Mungu halalimiki jinsi alivyo na maisha yanasonga ingawa alitengwa na watu wengi kipindi yupo mdogo,
nikafikiria nikasema moyoni hii ndiyo hatua ya kutengeneza maisha yangu binafsi, familia yangu, wazazi wangu na pia rafiki watakao nizunguka sina sababu ya kukata tamaa, nikasema ngoja nimshirikishe mama yangu, maana ni mtu wa maombi pia, akamweleza babu yangu na na mdogo wake alie shirikiana nae kunishomesha. walinikumbuka katika maombi yao ya kila siku! na mimi pia niliomba mara kwa mara! na Mungu alifanya njia wale wazee waliondelewa kwa aibi sana mpaka kesho wanaamini mimi ni mshirikina kama wao! na walisha wahi nitamkia hilo kuwa mimi ni mchawi! na ilifika kipindi nikiwa nimebeba hat bahasha nikaiweka juu ya meza wanaogopa kuishika.....
kwa ufupi vita nyingi zilitokea lakini kwa uwezo wake Mungu nilizishinda! ingawa mpaka sasa changamoto zipo, naziona za kawaida maana nilishakuwa sugu na nimekomaa najua kusudu la maisha yangu siyumbishwi na changamoto nakaza mwendo maana najua nitapumzika mbinguni

NINGEPENDA NIKUFAHAMISHE MAMBO HAYA
* kila sehemu yenye vita dhidi yako Mungu humnyanyua
wakukutetea
* Kuwa na msimamo wako katika haya maisha(lakini uwe msimamo uwe wa haki)
*pia jua binadamu wa kwanza kukutetea wewe ni wewe mwenyewe
* pia fahamu kuwa Mungu ndiye kila kitu

'nakutia moyo usikate tamaa'

mwisho******
Ameen barikiwa
 
Naomba nitambulike hivi hivi kama Mzee wa Old School. Story nitakayo waeleza hapo chini ni ya kweli hivyo ni vizuri ndugu unaesoma usiishie kusisimkwa, kuhuzunika ama kucheka, bali fanyia kazi ili kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha kwa sababu siku zote 'maisha ni vita' kimwili na kiroho pia, vita itafika mwisho pale utakapo rudi mavumbini nakusubiri hukumu ya haki siku ya mwisho.

Nimejaribu kufupisha kwa kupunguza baadhi ya matukio maana ni mambo mengi sana

KUZALIWA
Nimezaliwa kanda ya kati, karibu na mpakani kabisa na mkoa wa Arusha, bahati mbaya au nzuri, nilivyo zaliwa mzee wangu aliulizwa na wazazi wa mama yangu mpendwa(bibi na babu yangu) kuwa mtoto (mimi mzee wa old school) ni wako? mzee akawa hana kauli. yaani kukataa anashindwa kukubali anashindwa akawa hana msimamo. wazazi wa mama yangu wakaona isiwe kesi kubwa, wakachukua jukumu la kunilea kama mtoto wao. kwakuwa wazazi wa mama yangu mpendwa kutokana asili ya kazi yao ni kuhamishwa hamishwa sehemu mbali mbali, mpaka nafikisha umri wa kujielewa wa kuanza chekechea nikajikuta nipo dar es salaam maana mzee alikuwa amehamishiwa huko.

NIKIWA DAR ES SALAAM
Nilianza chekechea mpaka nikamalizia dalasa la saba nikiwa dar es salaam, na ndipo nilipoanza kukumbana na changamoto na athari zake. Nilipoanza darasa la kwanza nilikuwa vizuri darasani, kila darasa nililo kuwa naingia, nilikuwa nashuka kwa kasi kitaaluma! mpaka nafika darasa la nne nilikuwa nashika kumi bora za mwisho, na hapo ndipo maisha yalipozidi kuwa mabaya shuleni na nyumbani, maana miaka hiyo walikuwa wanaamini shule tu ndio sehemu pekee ya mafaninikio,
shule marafiki wananiita mbumbu, nyumbani ndugu ndio kama wamepata sababu kutwa kunijadili wakikutana, na mbaya zaidi wakawa wanataka wathibitishe kuwa babu na bibi kuchukua jukumu la kunilea ni makosa makubwa wanalea jitu ambalo halitakuwa na umuhimu wowote kama pengine watoto zao wanaofaulu shuleni.

Ilifika kipindi hata jambo dogo tu limefika kwa mzee(babu) sasa mzee akawa ananichapa tu. wakaona daah! haka katoto hakafukuzwi zaidi ya kuchapwa tu, wakawa wananisemea tu ili niwe natembezewa mboko mpaka bibi akawa anakasirika! maana kila kitu mzee wa old school, badaye mzee nae aligundua akawa afuatilii lakini shule udhalilishaji wa kuitwa mbumbu pia hata kuonewa kupigwa tu bila sababu na watu kisa mbumbu ukawa umezidi mpaka nilipofika darasa la saba.

Kipindi nipo darasa la saba kulikuwa na majaribio ya kila asubuhi kabla ya kindi (speed test) afu jioni mnapewa mitihani kabla ya kuondoka. Sasa watu wakawa wamezoea mjamaa siku zote wa mwisho mwisho! nakumbuka ulikuwa mtihani wa kiswahili, siku hiyo mwalimu akaja darasani mnyonge sana! anasema watu wamefeli sana hata yule jamaa anaefanyanga vizuri akamuuliza imetokea shida gani! nakumbuka akasema kwa uchungu sana mtu mmoja tu ndio kajitahidi kweli!, angalau kanitia moyo. kaanza kuita majina, watu wakahisi mi ndio wa mwisho kwa sababu alikua anaanzaga kuita wa mwisho hadi wa kwanza, akaanza kuita majina wale wa mwisho mwisho jina langu hola! nakumbuka darasani wakanigeukia kuniangalia karibu wote! (hahahahah!!) cha kushangaza wale waliokuwa wanafanya vizuri mwalimu alitaja max zao zilikuwa za hovyo sana wengi walicheza 10/50.

Baada ya majina ya wale wa mwisho mwisho watu wakadhani sikukusanya mtihani, mwalimu akawa kashika mtihani wa mtu mmoja aliye jitahidi huku anatikisa kichwa afu akaita jina langu ! aiseh!! darasa zima liliguna! mwalimu akaniangaliaaa! akatabasamu kidogo tokea hapo akawa nanifutalia maendeleo yangu binafsi ya shule na ndiyo ikanifanya niongeze bidii baadhi ya masomo nikaanza kufaulu mfano maarifa ya jamii nikawa napata hadi 48/50 aiseh mpaka mwalimu wa maarifa ya jamii anae akawa kampani yangu! na nyumbani wakwa wanashangaa sana ila wale ambao wanajiona wanaakili chuki ilizidi, cha ajabu ndugu waliokuwa wananichukia kisa sina akili darasani nikajua wataanza nipenda chuki ilizidi.

NAMALIZA DARASA LA SABA NAINGIA KITAA, NAKAA MTAANI MWAKA MMOJA.
Baada ya kumaliza darasa la saba sikuchaguliwa kuendelea sekondari baadhi ya ndugu walifurahi sana, ingawa hata watoto zao walifeli. kipindi hicho private school zilikuwa zimeanza zilikuwa nyingi.

Sasa cha kushangaza badala washughulike na watoto zao, wao wakawa wana deal na babu yangu eti achana nae huyo shule haiwezi, dooh! ilikuwa ajabu, mzee akanipeleka english kozi mwaka mmoja huku napambana na mishe mishe za mtaa kuna baadhi ya rafiki zangu walichaguliwa kuendelea shule buana walivyo jua nimefeli urafiki ulipungua na dharau zilizidi sana mpaka wazazi wao pia, wakawa sijui wanamwonaje mama angu, kama vile wakushindwa! ila mimi sikujali maana nilishaanza kuwa sungu na mbishi sikuwa nafuatilia!

Mwaka ulikata english kozi nikamaliza Mungu alivyo kuwa mwamba wadogo zake mamakama wawili hivi walikuwa na kauwezo kidogo walipata taarifa kuwa nilifeli darasa la saba, ikabidi waongee na mama na babu niende mkoani niendelee na sekondari (private school) daah! nilifurahi sana!

Nikakwea basi mkoani nimeanza shule huku nakaa kwa mmoja wa wadogo wa mama yangu, kiukweli alikuwa ushuani (good life yaani) kama dar unaweza linganisha na masaki, na ukilinganisha alikua bado hajaolewa, nikawa naishi maisha mazuri sana. kuna baadhi ya ndugu wakaona nafaidi wakamleta mtoto wao mmoja akwa anakaa pale pia, daah! kama alielezwa yule bwana(mimi yaani) anafaid mambo ambayo hastaili, sasa akawa nafanya visa afu anasema mzee wa old school, sasa maza house akaelewa kuwa nachukiwa akawa hafutilii na tena akawa ananitetea huku akiwakaripia nakuwaambia mimi ndio nimetaka kuishi nae.

Miaka ikakata maza house akaolewa mme wake sasa alikuwa ananichukia balaa na hapi ndipo nilipo anza kuona tena dunia chungu, ilifika kipindi anaenda mpaka shule kutaka kuharibu tu, bahati nzuri walimu walikuwa wananisifia sana (kitabia), na uone maajabu, faza house zilitokea kuiva na ndugu wasio nikubali. Ila mimi sikuwa najali wala nini! nakumbuka siku moja nilikuwa form 3 narudi kutoka shule nikakuta anaongea anamwambia maza house ambae ndio ndugu kwangu, anase mimi simpendi mzee wa old school hata iweje hiyo sentensi inasemwa ndio nipo dirishani napita, niliumia kiaina ila nikapotezea.

Pia wakati wa kujisomea usiku, nafuatwa naambiwa zima taa umeme unaisha! kinyoonge nazima nalala, mchna sipumziki kama nikirudi shule unatumwa mpaka unakoma!, nikaona isiwe kesi ile naingia form 3 mzee wangu (babu yangu) akawa karudi mkoa niliopo maana ndio nyumbani, nikajiongeza nikaenda kuishi kwake, maan aliniambiaga kwake ndio nyumbani kwetu

NIMEMALIZA FORM IV
Nimemaliza form iv matokeo yametoka nikapata div 4 ila nilikuwa na credi 2 na D flat, ndugu tena wakaibuka oooh! hana akili kae tu nyumbani, afu sasa wako serious! mpaka nikawa nashangaa maisha yangu yanawahusu nini?

Siku jali nikawa napiga kazi ngumu nikaweka weka akiba kidogo maana nikawa nawaza nifanye biashara na matangazo ya chuo yakaanza, Umwamba wa Mungu ukaonekana tena! babu akiita akaniuliza, unataka ukasomee nini? nikataja kozi, babu akaongea na mwanae mmoja akashirikia na mama nikaanza chuo, ndugu wakaanza angeenda form six huko kupoteza pesa na kozi yenyewe hatopata kazi. sikujali, akiba niloweka nikaongezea nikalipa ada nikafika diploma nikajiongeza kutafuta kazi mahali ya ukuli katika kiwanda maana nilichagua masomo ya jioni chuoni, asubuhi mpaka saa 9 nanyanyua mizigo fulani saa 11 mpaka saa 2 usiku kipindi darani, maneno yakazidi kuwa pesa ninayolipiwa ada inaenda bure maana nikimaliza nitakuwa sina kazi,

BAADA YA KUMALIZA CHUO
Baada ya kumaliza chuo Mungu akaonyesha kuwa yeye ni mwamba tena, haikupita miezi 3 nikapata kazi ila sikuwaambia ndugu waliokuwa wanapambana nifeli katika maisha niliwaambia wale waliokuwa wanapambana nipate ahueni ya maisha yangu lakini badae walijua sijui kama waliumia au vipi lakini nilipata simu zao, nikapata hongera nyingi. nikajiongeza nikafanya maendeleo ya kielemu na pale nilipoweza niliwasaidia hata kama walinichukia na nilipokuwa nawasaidia sikuwa natangaza ila nilifanya kimya kimya, labda wao ndio walisema mzee wa old school huyo!

CHANGAMOTO KAZINI
hapa ndipo nilijua mengi zaidi ya dunia lakini nitaeleza machache sana, nimeanza kazi, siku naenda kureport kituo changu cha kazi, nikakutana watu wazima wengine kama ndo umri wa kustaafu wanakaribia, afu nimeenda mimi na ka elimu kangu ndio nakuwa bosi wao! (hahahaha!) nacheka lakini nilikuata na changamoto nzito na hapo ndipo nilishuhudia kwa macho yangu kuwa uchawi upo!

Kimwonekano pia kiumri nilikuwa mdogo sana mpaka hata maafisa utumishi wakiniona wanatikisa vichwa huku wanacheka kwa mshangao na kujiuliza kapitaje pitaje? kwa umri wake angetakiwa aendelee na shule tu(kumbe hawajui ya moyoni)

Sasa wale wazee kazini wakawa wanafuja pesa hovyo afu mimi ndiyo msimamizi wa kila kitu nikiongea tu! wanajibu dharau mara tukitaka tunakufukuzisha kazi, wakawa wanasema nitulie maana nimewakuta, ma auditor wakawa wakikuta kasoro bahati nzuri wakawa waelewa wakanielekeza namna ya kufunya niwadhibiti. pia bahati nzuri Mungu kanipa neema mtu wa idaba kiasi chake, nikawa nafanya maombi Mungu anipe ujasiri katika kutekeleza majukumu yangu ya kazi.

Mungu akanipa ujasiri nikaanza kuwa makini na kazi yangu nikawashikisha adabu ufujaji ukafa kabisa mpaka wakawa wanashangaa wenzangu nimewezaje kuwamudu wale wazee maana walikuwa wanatisha. cha ajabu zaidi nikawakamata na kutaka kuwafungulia mashtaka mahakani, kwahiyo rumande waliionja kidogo!, wafanya kazi wenzagu wengine walishangaa sana

KUKUMBANA NA MAMBO YA GIZA/ UCHAWI OFISINI
Baada ya mambo kwenda vizuri ofisini, vile vizee vikaona vitumie uchawi, sikumoja nimelala usiku maana nilikuwa nimelala sebuleni siku hiyo na sijui ilikuwaje, usingizi haujaja vizuri naona kama nimekabwa afu mtu kama anazidi kunikandamiza nikatumia nguvu nyingi sana kuamka huku jasho linanitoka, nikasema ndoto tu! maana havijawahi kunitokea labda nikiwa mdogo sijitambua, nikalala tena, ila nikabadili pozi nikalala ubavu, sijui ikawaje kama kitu kilinigeuza nikawa nimelala chali tena afu roba ikaja tena, hiyo ya pili ndio ikawa noma! nikawa nashindwa hadi kuhema, nikawa nakemea kimoyoni kwa imani yangu (kwa Jina La Yesu, Damu ya Yesu itawale) ghafla kama nikaachiwa, nikafumbua macho nikaona kama mtu mrefu anapotea kwenye pembe ya ukuta!

Daah! nikaamka sikulala mpaka asubuhi naenda kazi. Majaribu yakawa yanaendelea nikashangaa mwili mzima kama nataka kupararaizi, maana ghafla miguu ikawa mizito natembea kama nabuluza, mpaka siku moja nimeenda sehemu kunywa chai kwenye mgahawa nimemaliza ile natoka nikapamia ndoo ya maji moto ikanimwagikia mwili mzima! siku hiyo nilikaa nikawaza niache kazi au?!!! kuna mama mmoja hapo kazini akanishauri mwanangu ukiacha kazi afu serikalini, kupata tena shughuli, nikasema nitaenda kufanya biashara tu, akasema hapana hayo maamuzi ya hasira, siku ikapita, lakini msimamo kazini uleule sikulegeza kamba lakini huku naendelea na maombi!

Siku moja nilikua kwenye daladala natoka ofisini naelekea sehemu, nimefika kituoni nashuka, nikahisi kitu kama kimeshika miguuni nikajitahidi kunyanyua mguu, nilibamiza chini watu wakashituka sana! konda akaninyanyua wakanipa pole, nikakaa nikafikiria sana! nikasema dooh! mbona kila kukicha shida tu!

Nikarudi nyumbani, nikawa nimekaa tu nafikiria! nikakumbuka kuna video moja hivi nilikuwa napenda sana kuangalia youtube ya jamaa mmoja hivi alizaliwa hana mikono pia miguu baba yake alimkataa anaasili ya ulaya ila anaishi marekani, interviews zake nyingi anamshukuru sana Mungu halalimiki jinsi alivyo na maisha yanasonga ingawa alitengwa na watu wengi kipindi yupo mdogo, nikafikiria nikasema moyoni hii ndiyo hatua ya kutengeneza maisha yangu binafsi, familia yangu, wazazi wangu na pia rafiki watakao nizunguka sina sababu ya kukata tamaa, nikasema ngoja nimshirikishe mama yangu

M
aana ni mtu wa maombi pia, akamweleza babu yangu na na mdogo wake alie shirikiana nae kunishomesha. walinikumbuka katika maombi yao ya kila siku! na mimi pia niliomba mara kwa mara! na Mungu alifanya njia wale wazee waliondelewa kwa aibi sana mpaka kesho wanaamini mimi ni mshirikina kama wao! na walisha wahi nitamkia hilo kuwa mimi ni mchawi! na ilifika kipindi nikiwa nimebeba hat bahasha nikaiweka juu ya meza wanaogopa kuishika..
kwa ufupi vita nyingi zilitokea lakini kwa uwezo wake Mungu nilizishinda! ingawa mpaka sasa changamoto zipo, naziona za kawaida maana nilishakuwa sugu na nimekomaa najua kusudu la maisha yangu siyumbishwi na changamoto nakaza mwendo maana najua nitapumzika mbinguni

NINGEPENDA NIKUFAHAMISHE MAMBO HAYA
* kila sehemu yenye vita dhidi yako Mungu humnyanyua
wakukutetea
* Kuwa na msimamo wako katika haya maisha(lakini uwe msimamo uwe wa haki)
*pia jua binadamu wa kwanza kukutetea wewe ni wewe mwenyewe
* pia fahamu kuwa Mungu ndiye kila kitu

'nakutia moyo usikate tamaa'

mwisho******
Safi sana mpambanaji, tutashinda
 
Naomba nitambulike hivi hivi kama Mzee wa Old School. Story nitakayo waeleza hapo chini ni ya kweli hivyo ni vizuri ndugu unaesoma usiishie kusisimkwa, kuhuzunika ama kucheka, bali fanyia kazi ili kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha kwa sababu siku zote 'maisha ni vita' kimwili na kiroho pia, vita itafika mwisho pale utakapo rudi mavumbini nakusubiri hukumu ya haki siku ya mwisho.

Nimejaribu kufupisha kwa kupunguza baadhi ya matukio maana ni mambo mengi sana

KUZALIWA
Nimezaliwa kanda ya kati, karibu na mpakani kabisa na mkoa wa Arusha, bahati mbaya au nzuri, nilivyo zaliwa mzee wangu aliulizwa na wazazi wa mama yangu mpendwa(bibi na babu yangu) kuwa mtoto (mimi mzee wa old school) ni wako? mzee akawa hana kauli. yaani kukataa anashindwa kukubali anashindwa akawa hana msimamo. wazazi wa mama yangu wakaona isiwe kesi kubwa, wakachukua jukumu la kunilea kama mtoto wao. kwakuwa wazazi wa mama yangu mpendwa kutokana asili ya kazi yao ni kuhamishwa hamishwa sehemu mbali mbali, mpaka nafikisha umri wa kujielewa wa kuanza chekechea nikajikuta nipo dar es salaam maana mzee alikuwa amehamishiwa huko.

NIKIWA DAR ES SALAAM
Nilianza chekechea mpaka nikamalizia dalasa la saba nikiwa dar es salaam, na ndipo nilipoanza kukumbana na changamoto na athari zake. Nilipoanza darasa la kwanza nilikuwa vizuri darasani, kila darasa nililo kuwa naingia, nilikuwa nashuka kwa kasi kitaaluma! mpaka nafika darasa la nne nilikuwa nashika kumi bora za mwisho, na hapo ndipo maisha yalipozidi kuwa mabaya shuleni na nyumbani, maana miaka hiyo walikuwa wanaamini shule tu ndio sehemu pekee ya mafaninikio,
shule marafiki wananiita mbumbu, nyumbani ndugu ndio kama wamepata sababu kutwa kunijadili wakikutana, na mbaya zaidi wakawa wanataka wathibitishe kuwa babu na bibi kuchukua jukumu la kunilea ni makosa makubwa wanalea jitu ambalo halitakuwa na umuhimu wowote kama pengine watoto zao wanaofaulu shuleni.

Ilifika kipindi hata jambo dogo tu limefika kwa mzee(babu) sasa mzee akawa ananichapa tu. wakaona daah! haka katoto hakafukuzwi zaidi ya kuchapwa tu, wakawa wananisemea tu ili niwe natembezewa mboko mpaka bibi akawa anakasirika! maana kila kitu mzee wa old school, badaye mzee nae aligundua akawa afuatilii lakini shule udhalilishaji wa kuitwa mbumbu pia hata kuonewa kupigwa tu bila sababu na watu kisa mbumbu ukawa umezidi mpaka nilipofika darasa la saba.

Kipindi nipo darasa la saba kulikuwa na majaribio ya kila asubuhi kabla ya kindi (speed test) afu jioni mnapewa mitihani kabla ya kuondoka. Sasa watu wakawa wamezoea mjamaa siku zote wa mwisho mwisho! nakumbuka ulikuwa mtihani wa kiswahili, siku hiyo mwalimu akaja darasani mnyonge sana! anasema watu wamefeli sana hata yule jamaa anaefanyanga vizuri akamuuliza imetokea shida gani! nakumbuka akasema kwa uchungu sana mtu mmoja tu ndio kajitahidi kweli!, angalau kanitia moyo. kaanza kuita majina, watu wakahisi mi ndio wa mwisho kwa sababu alikua anaanzaga kuita wa mwisho hadi wa kwanza, akaanza kuita majina wale wa mwisho mwisho jina langu hola! nakumbuka darasani wakanigeukia kuniangalia karibu wote! (hahahahah!!) cha kushangaza wale waliokuwa wanafanya vizuri mwalimu alitaja max zao zilikuwa za hovyo sana wengi walicheza 10/50.

Baada ya majina ya wale wa mwisho mwisho watu wakadhani sikukusanya mtihani, mwalimu akawa kashika mtihani wa mtu mmoja aliye jitahidi huku anatikisa kichwa afu akaita jina langu ! aiseh!! darasa zima liliguna! mwalimu akaniangaliaaa! akatabasamu kidogo tokea hapo akawa nanifutalia maendeleo yangu binafsi ya shule na ndiyo ikanifanya niongeze bidii baadhi ya masomo nikaanza kufaulu mfano maarifa ya jamii nikawa napata hadi 48/50 aiseh mpaka mwalimu wa maarifa ya jamii anae akawa kampani yangu! na nyumbani wakwa wanashangaa sana ila wale ambao wanajiona wanaakili chuki ilizidi, cha ajabu ndugu waliokuwa wananichukia kisa sina akili darasani nikajua wataanza nipenda chuki ilizidi.

NAMALIZA DARASA LA SABA NAINGIA KITAA, NAKAA MTAANI MWAKA MMOJA.
Baada ya kumaliza darasa la saba sikuchaguliwa kuendelea sekondari baadhi ya ndugu walifurahi sana, ingawa hata watoto zao walifeli. kipindi hicho private school zilikuwa zimeanza zilikuwa nyingi.

Sasa cha kushangaza badala washughulike na watoto zao, wao wakawa wana deal na babu yangu eti achana nae huyo shule haiwezi, dooh! ilikuwa ajabu, mzee akanipeleka english kozi mwaka mmoja huku napambana na mishe mishe za mtaa kuna baadhi ya rafiki zangu walichaguliwa kuendelea shule buana walivyo jua nimefeli urafiki ulipungua na dharau zilizidi sana mpaka wazazi wao pia, wakawa sijui wanamwonaje mama angu, kama vile wakushindwa! ila mimi sikujali maana nilishaanza kuwa sungu na mbishi sikuwa nafuatilia!

Mwaka ulikata english kozi nikamaliza Mungu alivyo kuwa mwamba wadogo zake mamakama wawili hivi walikuwa na kauwezo kidogo walipata taarifa kuwa nilifeli darasa la saba, ikabidi waongee na mama na babu niende mkoani niendelee na sekondari (private school) daah! nilifurahi sana!

Nikakwea basi mkoani nimeanza shule huku nakaa kwa mmoja wa wadogo wa mama yangu, kiukweli alikuwa ushuani (good life yaani) kama dar unaweza linganisha na masaki, na ukilinganisha alikua bado hajaolewa, nikawa naishi maisha mazuri sana. kuna baadhi ya ndugu wakaona nafaidi wakamleta mtoto wao mmoja akwa anakaa pale pia, daah! kama alielezwa yule bwana(mimi yaani) anafaid mambo ambayo hastaili, sasa akawa nafanya visa afu anasema mzee wa old school, sasa maza house akaelewa kuwa nachukiwa akawa hafutilii na tena akawa ananitetea huku akiwakaripia nakuwaambia mimi ndio nimetaka kuishi nae.

Miaka ikakata maza house akaolewa mme wake sasa alikuwa ananichukia balaa na hapi ndipo nilipo anza kuona tena dunia chungu, ilifika kipindi anaenda mpaka shule kutaka kuharibu tu, bahati nzuri walimu walikuwa wananisifia sana (kitabia), na uone maajabu, faza house zilitokea kuiva na ndugu wasio nikubali. Ila mimi sikuwa najali wala nini! nakumbuka siku moja nilikuwa form 3 narudi kutoka shule nikakuta anaongea anamwambia maza house ambae ndio ndugu kwangu, anase mimi simpendi mzee wa old school hata iweje hiyo sentensi inasemwa ndio nipo dirishani napita, niliumia kiaina ila nikapotezea.

Pia wakati wa kujisomea usiku, nafuatwa naambiwa zima taa umeme unaisha! kinyoonge nazima nalala, mchna sipumziki kama nikirudi shule unatumwa mpaka unakoma!, nikaona isiwe kesi ile naingia form 3 mzee wangu (babu yangu) akawa karudi mkoa niliopo maana ndio nyumbani, nikajiongeza nikaenda kuishi kwake, maan aliniambiaga kwake ndio nyumbani kwetu

NIMEMALIZA FORM IV
Nimemaliza form iv matokeo yametoka nikapata div 4 ila nilikuwa na credi 2 na D flat, ndugu tena wakaibuka oooh! hana akili kae tu nyumbani, afu sasa wako serious! mpaka nikawa nashangaa maisha yangu yanawahusu nini?

Siku jali nikawa napiga kazi ngumu nikaweka weka akiba kidogo maana nikawa nawaza nifanye biashara na matangazo ya chuo yakaanza, Umwamba wa Mungu ukaonekana tena! babu akiita akaniuliza, unataka ukasomee nini? nikataja kozi, babu akaongea na mwanae mmoja akashirikia na mama nikaanza chuo, ndugu wakaanza angeenda form six huko kupoteza pesa na kozi yenyewe hatopata kazi. sikujali, akiba niloweka nikaongezea nikalipa ada nikafika diploma nikajiongeza kutafuta kazi mahali ya ukuli katika kiwanda maana nilichagua masomo ya jioni chuoni, asubuhi mpaka saa 9 nanyanyua mizigo fulani saa 11 mpaka saa 2 usiku kipindi darani, maneno yakazidi kuwa pesa ninayolipiwa ada inaenda bure maana nikimaliza nitakuwa sina kazi,

BAADA YA KUMALIZA CHUO
Baada ya kumaliza chuo Mungu akaonyesha kuwa yeye ni mwamba tena, haikupita miezi 3 nikapata kazi ila sikuwaambia ndugu waliokuwa wanapambana nifeli katika maisha niliwaambia wale waliokuwa wanapambana nipate ahueni ya maisha yangu lakini badae walijua sijui kama waliumia au vipi lakini nilipata simu zao, nikapata hongera nyingi. nikajiongeza nikafanya maendeleo ya kielemu na pale nilipoweza niliwasaidia hata kama walinichukia na nilipokuwa nawasaidia sikuwa natangaza ila nilifanya kimya kimya, labda wao ndio walisema mzee wa old school huyo!

CHANGAMOTO KAZINI
hapa ndipo nilijua mengi zaidi ya dunia lakini nitaeleza machache sana, nimeanza kazi, siku naenda kureport kituo changu cha kazi, nikakutana watu wazima wengine kama ndo umri wa kustaafu wanakaribia, afu nimeenda mimi na ka elimu kangu ndio nakuwa bosi wao! (hahahaha!) nacheka lakini nilikuata na changamoto nzito na hapo ndipo nilishuhudia kwa macho yangu kuwa uchawi upo!

Kimwonekano pia kiumri nilikuwa mdogo sana mpaka hata maafisa utumishi wakiniona wanatikisa vichwa huku wanacheka kwa mshangao na kujiuliza kapitaje pitaje? kwa umri wake angetakiwa aendelee na shule tu(kumbe hawajui ya moyoni)

Sasa wale wazee kazini wakawa wanafuja pesa hovyo afu mimi ndiyo msimamizi wa kila kitu nikiongea tu! wanajibu dharau mara tukitaka tunakufukuzisha kazi, wakawa wanasema nitulie maana nimewakuta, ma auditor wakawa wakikuta kasoro bahati nzuri wakawa waelewa wakanielekeza namna ya kufunya niwadhibiti. pia bahati nzuri Mungu kanipa neema mtu wa idaba kiasi chake, nikawa nafanya maombi Mungu anipe ujasiri katika kutekeleza majukumu yangu ya kazi.

Mungu akanipa ujasiri nikaanza kuwa makini na kazi yangu nikawashikisha adabu ufujaji ukafa kabisa mpaka wakawa wanashangaa wenzangu nimewezaje kuwamudu wale wazee maana walikuwa wanatisha. cha ajabu zaidi nikawakamata na kutaka kuwafungulia mashtaka mahakani, kwahiyo rumande waliionja kidogo!, wafanya kazi wenzagu wengine walishangaa sana

KUKUMBANA NA MAMBO YA GIZA/ UCHAWI OFISINI
Baada ya mambo kwenda vizuri ofisini, vile vizee vikaona vitumie uchawi, sikumoja nimelala usiku maana nilikuwa nimelala sebuleni siku hiyo na sijui ilikuwaje, usingizi haujaja vizuri naona kama nimekabwa afu mtu kama anazidi kunikandamiza nikatumia nguvu nyingi sana kuamka huku jasho linanitoka, nikasema ndoto tu! maana havijawahi kunitokea labda nikiwa mdogo sijitambua, nikalala tena, ila nikabadili pozi nikalala ubavu, sijui ikawaje kama kitu kilinigeuza nikawa nimelala chali tena afu roba ikaja tena, hiyo ya pili ndio ikawa noma! nikawa nashindwa hadi kuhema, nikawa nakemea kimoyoni kwa imani yangu (kwa Jina La Yesu, Damu ya Yesu itawale) ghafla kama nikaachiwa, nikafumbua macho nikaona kama mtu mrefu anapotea kwenye pembe ya ukuta!

Daah! nikaamka sikulala mpaka asubuhi naenda kazi. Majaribu yakawa yanaendelea nikashangaa mwili mzima kama nataka kupararaizi, maana ghafla miguu ikawa mizito natembea kama nabuluza, mpaka siku moja nimeenda sehemu kunywa chai kwenye mgahawa nimemaliza ile natoka nikapamia ndoo ya maji moto ikanimwagikia mwili mzima! siku hiyo nilikaa nikawaza niache kazi au?!!! kuna mama mmoja hapo kazini akanishauri mwanangu ukiacha kazi afu serikalini, kupata tena shughuli, nikasema nitaenda kufanya biashara tu, akasema hapana hayo maamuzi ya hasira, siku ikapita, lakini msimamo kazini uleule sikulegeza kamba lakini huku naendelea na maombi!

Siku moja nilikua kwenye daladala natoka ofisini naelekea sehemu, nimefika kituoni nashuka, nikahisi kitu kama kimeshika miguuni nikajitahidi kunyanyua mguu, nilibamiza chini watu wakashituka sana! konda akaninyanyua wakanipa pole, nikakaa nikafikiria sana! nikasema dooh! mbona kila kukicha shida tu!

Nikarudi nyumbani, nikawa nimekaa tu nafikiria! nikakumbuka kuna video moja hivi nilikuwa napenda sana kuangalia youtube ya jamaa mmoja hivi alizaliwa hana mikono pia miguu baba yake alimkataa anaasili ya ulaya ila anaishi marekani, interviews zake nyingi anamshukuru sana Mungu halalimiki jinsi alivyo na maisha yanasonga ingawa alitengwa na watu wengi kipindi yupo mdogo, nikafikiria nikasema moyoni hii ndiyo hatua ya kutengeneza maisha yangu binafsi, familia yangu, wazazi wangu na pia rafiki watakao nizunguka sina sababu ya kukata tamaa, nikasema ngoja nimshirikishe mama yangu

M
aana ni mtu wa maombi pia, akamweleza babu yangu na na mdogo wake alie shirikiana nae kunishomesha. walinikumbuka katika maombi yao ya kila siku! na mimi pia niliomba mara kwa mara! na Mungu alifanya njia wale wazee waliondelewa kwa aibi sana mpaka kesho wanaamini mimi ni mshirikina kama wao! na walisha wahi nitamkia hilo kuwa mimi ni mchawi! na ilifika kipindi nikiwa nimebeba hat bahasha nikaiweka juu ya meza wanaogopa kuishika..
kwa ufupi vita nyingi zilitokea lakini kwa uwezo wake Mungu nilizishinda! ingawa mpaka sasa changamoto zipo, naziona za kawaida maana nilishakuwa sugu na nimekomaa najua kusudu la maisha yangu siyumbishwi na changamoto nakaza mwendo maana najua nitapumzika mbinguni

NINGEPENDA NIKUFAHAMISHE MAMBO HAYA
* kila sehemu yenye vita dhidi yako Mungu humnyanyua
wakukutetea
* Kuwa na msimamo wako katika haya maisha(lakini uwe msimamo uwe wa haki)
*pia jua binadamu wa kwanza kukutetea wewe ni wewe mwenyewe
* pia fahamu kuwa Mungu ndiye kila kitu

'nakutia moyo usikate tamaa'

mwisho******
Asante sana.umenipa nguvu ya kuendelea kupambana
 
Naomba nitambulike hivi hivi kama Mzee wa Old School. Story nitakayo waeleza hapo chini ni ya kweli hivyo ni vizuri ndugu unaesoma usiishie kusisimkwa, kuhuzunika ama kucheka, bali fanyia kazi ili kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha kwa sababu siku zote 'maisha ni vita' kimwili na kiroho pia, vita itafika mwisho pale utakapo rudi mavumbini nakusubiri hukumu ya haki siku ya mwisho.

Nimejaribu kufupisha kwa kupunguza baadhi ya matukio maana ni mambo mengi sana

KUZALIWA
Nimezaliwa kanda ya kati, karibu na mpakani kabisa na mkoa wa Arusha, bahati mbaya au nzuri, nilivyo zaliwa mzee wangu aliulizwa na wazazi wa mama yangu mpendwa(bibi na babu yangu) kuwa mtoto (mimi mzee wa old school) ni wako? mzee akawa hana kauli. yaani kukataa anashindwa kukubali anashindwa akawa hana msimamo. wazazi wa mama yangu wakaona isiwe kesi kubwa, wakachukua jukumu la kunilea kama mtoto wao. kwakuwa wazazi wa mama yangu mpendwa kutokana asili ya kazi yao ni kuhamishwa hamishwa sehemu mbali mbali, mpaka nafikisha umri wa kujielewa wa kuanza chekechea nikajikuta nipo dar es salaam maana mzee alikuwa amehamishiwa huko.

NIKIWA DAR ES SALAAM
Nilianza chekechea mpaka nikamalizia dalasa la saba nikiwa dar es salaam, na ndipo nilipoanza kukumbana na changamoto na athari zake. Nilipoanza darasa la kwanza nilikuwa vizuri darasani, kila darasa nililo kuwa naingia, nilikuwa nashuka kwa kasi kitaaluma! mpaka nafika darasa la nne nilikuwa nashika kumi bora za mwisho, na hapo ndipo maisha yalipozidi kuwa mabaya shuleni na nyumbani, maana miaka hiyo walikuwa wanaamini shule tu ndio sehemu pekee ya mafaninikio,
shule marafiki wananiita mbumbu, nyumbani ndugu ndio kama wamepata sababu kutwa kunijadili wakikutana, na mbaya zaidi wakawa wanataka wathibitishe kuwa babu na bibi kuchukua jukumu la kunilea ni makosa makubwa wanalea jitu ambalo halitakuwa na umuhimu wowote kama pengine watoto zao wanaofaulu shuleni.

Ilifika kipindi hata jambo dogo tu limefika kwa mzee(babu) sasa mzee akawa ananichapa tu. wakaona daah! haka katoto hakafukuzwi zaidi ya kuchapwa tu, wakawa wananisemea tu ili niwe natembezewa mboko mpaka bibi akawa anakasirika! maana kila kitu mzee wa old school, badaye mzee nae aligundua akawa afuatilii lakini shule udhalilishaji wa kuitwa mbumbu pia hata kuonewa kupigwa tu bila sababu na watu kisa mbumbu ukawa umezidi mpaka nilipofika darasa la saba.

Kipindi nipo darasa la saba kulikuwa na majaribio ya kila asubuhi kabla ya kindi (speed test) afu jioni mnapewa mitihani kabla ya kuondoka. Sasa watu wakawa wamezoea mjamaa siku zote wa mwisho mwisho! nakumbuka ulikuwa mtihani wa kiswahili, siku hiyo mwalimu akaja darasani mnyonge sana! anasema watu wamefeli sana hata yule jamaa anaefanyanga vizuri akamuuliza imetokea shida gani! nakumbuka akasema kwa uchungu sana mtu mmoja tu ndio kajitahidi kweli!, angalau kanitia moyo. kaanza kuita majina, watu wakahisi mi ndio wa mwisho kwa sababu alikua anaanzaga kuita wa mwisho hadi wa kwanza, akaanza kuita majina wale wa mwisho mwisho jina langu hola! nakumbuka darasani wakanigeukia kuniangalia karibu wote! (hahahahah!!) cha kushangaza wale waliokuwa wanafanya vizuri mwalimu alitaja max zao zilikuwa za hovyo sana wengi walicheza 10/50.

Baada ya majina ya wale wa mwisho mwisho watu wakadhani sikukusanya mtihani, mwalimu akawa kashika mtihani wa mtu mmoja aliye jitahidi huku anatikisa kichwa afu akaita jina langu ! aiseh!! darasa zima liliguna! mwalimu akaniangaliaaa! akatabasamu kidogo tokea hapo akawa nanifutalia maendeleo yangu binafsi ya shule na ndiyo ikanifanya niongeze bidii baadhi ya masomo nikaanza kufaulu mfano maarifa ya jamii nikawa napata hadi 48/50 aiseh mpaka mwalimu wa maarifa ya jamii anae akawa kampani yangu! na nyumbani wakwa wanashangaa sana ila wale ambao wanajiona wanaakili chuki ilizidi, cha ajabu ndugu waliokuwa wananichukia kisa sina akili darasani nikajua wataanza nipenda chuki ilizidi.

NAMALIZA DARASA LA SABA NAINGIA KITAA, NAKAA MTAANI MWAKA MMOJA.
Baada ya kumaliza darasa la saba sikuchaguliwa kuendelea sekondari baadhi ya ndugu walifurahi sana, ingawa hata watoto zao walifeli. kipindi hicho private school zilikuwa zimeanza zilikuwa nyingi.

Sasa cha kushangaza badala washughulike na watoto zao, wao wakawa wana deal na babu yangu eti achana nae huyo shule haiwezi, dooh! ilikuwa ajabu, mzee akanipeleka english kozi mwaka mmoja huku napambana na mishe mishe za mtaa kuna baadhi ya rafiki zangu walichaguliwa kuendelea shule buana walivyo jua nimefeli urafiki ulipungua na dharau zilizidi sana mpaka wazazi wao pia, wakawa sijui wanamwonaje mama angu, kama vile wakushindwa! ila mimi sikujali maana nilishaanza kuwa sungu na mbishi sikuwa nafuatilia!

Mwaka ulikata english kozi nikamaliza Mungu alivyo kuwa mwamba wadogo zake mamakama wawili hivi walikuwa na kauwezo kidogo walipata taarifa kuwa nilifeli darasa la saba, ikabidi waongee na mama na babu niende mkoani niendelee na sekondari (private school) daah! nilifurahi sana!

Nikakwea basi mkoani nimeanza shule huku nakaa kwa mmoja wa wadogo wa mama yangu, kiukweli alikuwa ushuani (good life yaani) kama dar unaweza linganisha na masaki, na ukilinganisha alikua bado hajaolewa, nikawa naishi maisha mazuri sana. kuna baadhi ya ndugu wakaona nafaidi wakamleta mtoto wao mmoja akwa anakaa pale pia, daah! kama alielezwa yule bwana(mimi yaani) anafaid mambo ambayo hastaili, sasa akawa nafanya visa afu anasema mzee wa old school, sasa maza house akaelewa kuwa nachukiwa akawa hafutilii na tena akawa ananitetea huku akiwakaripia nakuwaambia mimi ndio nimetaka kuishi nae.

Miaka ikakata maza house akaolewa mme wake sasa alikuwa ananichukia balaa na hapi ndipo nilipo anza kuona tena dunia chungu, ilifika kipindi anaenda mpaka shule kutaka kuharibu tu, bahati nzuri walimu walikuwa wananisifia sana (kitabia), na uone maajabu, faza house zilitokea kuiva na ndugu wasio nikubali. Ila mimi sikuwa najali wala nini! nakumbuka siku moja nilikuwa form 3 narudi kutoka shule nikakuta anaongea anamwambia maza house ambae ndio ndugu kwangu, anase mimi simpendi mzee wa old school hata iweje hiyo sentensi inasemwa ndio nipo dirishani napita, niliumia kiaina ila nikapotezea.

Pia wakati wa kujisomea usiku, nafuatwa naambiwa zima taa umeme unaisha! kinyoonge nazima nalala, mchna sipumziki kama nikirudi shule unatumwa mpaka unakoma!, nikaona isiwe kesi ile naingia form 3 mzee wangu (babu yangu) akawa karudi mkoa niliopo maana ndio nyumbani, nikajiongeza nikaenda kuishi kwake, maan aliniambiaga kwake ndio nyumbani kwetu

NIMEMALIZA FORM IV
Nimemaliza form iv matokeo yametoka nikapata div 4 ila nilikuwa na credi 2 na D flat, ndugu tena wakaibuka oooh! hana akili kae tu nyumbani, afu sasa wako serious! mpaka nikawa nashangaa maisha yangu yanawahusu nini?

Siku jali nikawa napiga kazi ngumu nikaweka weka akiba kidogo maana nikawa nawaza nifanye biashara na matangazo ya chuo yakaanza, Umwamba wa Mungu ukaonekana tena! babu akiita akaniuliza, unataka ukasomee nini? nikataja kozi, babu akaongea na mwanae mmoja akashirikia na mama nikaanza chuo, ndugu wakaanza angeenda form six huko kupoteza pesa na kozi yenyewe hatopata kazi. sikujali, akiba niloweka nikaongezea nikalipa ada nikafika diploma nikajiongeza kutafuta kazi mahali ya ukuli katika kiwanda maana nilichagua masomo ya jioni chuoni, asubuhi mpaka saa 9 nanyanyua mizigo fulani saa 11 mpaka saa 2 usiku kipindi darani, maneno yakazidi kuwa pesa ninayolipiwa ada inaenda bure maana nikimaliza nitakuwa sina kazi,

BAADA YA KUMALIZA CHUO
Baada ya kumaliza chuo Mungu akaonyesha kuwa yeye ni mwamba tena, haikupita miezi 3 nikapata kazi ila sikuwaambia ndugu waliokuwa wanapambana nifeli katika maisha niliwaambia wale waliokuwa wanapambana nipate ahueni ya maisha yangu lakini badae walijua sijui kama waliumia au vipi lakini nilipata simu zao, nikapata hongera nyingi. nikajiongeza nikafanya maendeleo ya kielemu na pale nilipoweza niliwasaidia hata kama walinichukia na nilipokuwa nawasaidia sikuwa natangaza ila nilifanya kimya kimya, labda wao ndio walisema mzee wa old school huyo!

CHANGAMOTO KAZINI
hapa ndipo nilijua mengi zaidi ya dunia lakini nitaeleza machache sana, nimeanza kazi, siku naenda kureport kituo changu cha kazi, nikakutana watu wazima wengine kama ndo umri wa kustaafu wanakaribia, afu nimeenda mimi na ka elimu kangu ndio nakuwa bosi wao! (hahahaha!) nacheka lakini nilikuata na changamoto nzito na hapo ndipo nilishuhudia kwa macho yangu kuwa uchawi upo!

Kimwonekano pia kiumri nilikuwa mdogo sana mpaka hata maafisa utumishi wakiniona wanatikisa vichwa huku wanacheka kwa mshangao na kujiuliza kapitaje pitaje? kwa umri wake angetakiwa aendelee na shule tu(kumbe hawajui ya moyoni)

Sasa wale wazee kazini wakawa wanafuja pesa hovyo afu mimi ndiyo msimamizi wa kila kitu nikiongea tu! wanajibu dharau mara tukitaka tunakufukuzisha kazi, wakawa wanasema nitulie maana nimewakuta, ma auditor wakawa wakikuta kasoro bahati nzuri wakawa waelewa wakanielekeza namna ya kufunya niwadhibiti. pia bahati nzuri Mungu kanipa neema mtu wa idaba kiasi chake, nikawa nafanya maombi Mungu anipe ujasiri katika kutekeleza majukumu yangu ya kazi.

Mungu akanipa ujasiri nikaanza kuwa makini na kazi yangu nikawashikisha adabu ufujaji ukafa kabisa mpaka wakawa wanashangaa wenzangu nimewezaje kuwamudu wale wazee maana walikuwa wanatisha. cha ajabu zaidi nikawakamata na kutaka kuwafungulia mashtaka mahakani, kwahiyo rumande waliionja kidogo!, wafanya kazi wenzagu wengine walishangaa sana

KUKUMBANA NA MAMBO YA GIZA/ UCHAWI OFISINI
Baada ya mambo kwenda vizuri ofisini, vile vizee vikaona vitumie uchawi, sikumoja nimelala usiku maana nilikuwa nimelala sebuleni siku hiyo na sijui ilikuwaje, usingizi haujaja vizuri naona kama nimekabwa afu mtu kama anazidi kunikandamiza nikatumia nguvu nyingi sana kuamka huku jasho linanitoka, nikasema ndoto tu! maana havijawahi kunitokea labda nikiwa mdogo sijitambua, nikalala tena, ila nikabadili pozi nikalala ubavu, sijui ikawaje kama kitu kilinigeuza nikawa nimelala chali tena afu roba ikaja tena, hiyo ya pili ndio ikawa noma! nikawa nashindwa hadi kuhema, nikawa nakemea kimoyoni kwa imani yangu (kwa Jina La Yesu, Damu ya Yesu itawale) ghafla kama nikaachiwa, nikafumbua macho nikaona kama mtu mrefu anapotea kwenye pembe ya ukuta!

Daah! nikaamka sikulala mpaka asubuhi naenda kazi. Majaribu yakawa yanaendelea nikashangaa mwili mzima kama nataka kupararaizi, maana ghafla miguu ikawa mizito natembea kama nabuluza, mpaka siku moja nimeenda sehemu kunywa chai kwenye mgahawa nimemaliza ile natoka nikapamia ndoo ya maji moto ikanimwagikia mwili mzima! siku hiyo nilikaa nikawaza niache kazi au?!!! kuna mama mmoja hapo kazini akanishauri mwanangu ukiacha kazi afu serikalini, kupata tena shughuli, nikasema nitaenda kufanya biashara tu, akasema hapana hayo maamuzi ya hasira, siku ikapita, lakini msimamo kazini uleule sikulegeza kamba lakini huku naendelea na maombi!

Siku moja nilikua kwenye daladala natoka ofisini naelekea sehemu, nimefika kituoni nashuka, nikahisi kitu kama kimeshika miguuni nikajitahidi kunyanyua mguu, nilibamiza chini watu wakashituka sana! konda akaninyanyua wakanipa pole, nikakaa nikafikiria sana! nikasema dooh! mbona kila kukicha shida tu!

Nikarudi nyumbani, nikawa nimekaa tu nafikiria! nikakumbuka kuna video moja hivi nilikuwa napenda sana kuangalia youtube ya jamaa mmoja hivi alizaliwa hana mikono pia miguu baba yake alimkataa anaasili ya ulaya ila anaishi marekani, interviews zake nyingi anamshukuru sana Mungu halalimiki jinsi alivyo na maisha yanasonga ingawa alitengwa na watu wengi kipindi yupo mdogo, nikafikiria nikasema moyoni hii ndiyo hatua ya kutengeneza maisha yangu binafsi, familia yangu, wazazi wangu na pia rafiki watakao nizunguka sina sababu ya kukata tamaa, nikasema ngoja nimshirikishe mama yangu

M
aana ni mtu wa maombi pia, akamweleza babu yangu na na mdogo wake alie shirikiana nae kunishomesha. walinikumbuka katika maombi yao ya kila siku! na mimi pia niliomba mara kwa mara! na Mungu alifanya njia wale wazee waliondelewa kwa aibi sana mpaka kesho wanaamini mimi ni mshirikina kama wao! na walisha wahi nitamkia hilo kuwa mimi ni mchawi! na ilifika kipindi nikiwa nimebeba hat bahasha nikaiweka juu ya meza wanaogopa kuishika..
kwa ufupi vita nyingi zilitokea lakini kwa uwezo wake Mungu nilizishinda! ingawa mpaka sasa changamoto zipo, naziona za kawaida maana nilishakuwa sugu na nimekomaa najua kusudu la maisha yangu siyumbishwi na changamoto nakaza mwendo maana najua nitapumzika mbinguni

NINGEPENDA NIKUFAHAMISHE MAMBO HAYA
* kila sehemu yenye vita dhidi yako Mungu humnyanyua
wakukutetea
* Kuwa na msimamo wako katika haya maisha(lakini uwe msimamo uwe wa haki)
*pia jua binadamu wa kwanza kukutetea wewe ni wewe mwenyewe
* pia fahamu kuwa Mungu ndiye kila kitu

'nakutia moyo usikate tamaa'

mwisho******
Binadamu wakwanza kukutetea niwewe mwenyewe noted and remembered mkuu!
 
Naomba nitambulike hivi hivi kama Mzee wa Old School. Story nitakayo waeleza hapo chini ni ya kweli hivyo ni vizuri ndugu unaesoma usiishie kusisimkwa, kuhuzunika ama kucheka, bali fanyia kazi ili kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha kwa sababu siku zote 'maisha ni vita' kimwili na kiroho pia, vita itafika mwisho pale utakapo rudi mavumbini nakusubiri hukumu ya haki siku ya mwisho.

Nimejaribu kufupisha kwa kupunguza baadhi ya matukio maana ni mambo mengi sana

KUZALIWA
Nimezaliwa kanda ya kati, karibu na mpakani kabisa na mkoa wa Arusha, bahati mbaya au nzuri, nilivyo zaliwa mzee wangu aliulizwa na wazazi wa mama yangu mpendwa(bibi na babu yangu) kuwa mtoto (mimi mzee wa old school) ni wako? mzee akawa hana kauli. yaani kukataa anashindwa kukubali anashindwa akawa hana msimamo. wazazi wa mama yangu wakaona isiwe kesi kubwa, wakachukua jukumu la kunilea kama mtoto wao. kwakuwa wazazi wa mama yangu mpendwa kutokana asili ya kazi yao ni kuhamishwa hamishwa sehemu mbali mbali, mpaka nafikisha umri wa kujielewa wa kuanza chekechea nikajikuta nipo dar es salaam maana mzee alikuwa amehamishiwa huko.

NIKIWA DAR ES SALAAM
Nilianza chekechea mpaka nikamalizia dalasa la saba nikiwa dar es salaam, na ndipo nilipoanza kukumbana na changamoto na athari zake. Nilipoanza darasa la kwanza nilikuwa vizuri darasani, kila darasa nililo kuwa naingia, nilikuwa nashuka kwa kasi kitaaluma! mpaka nafika darasa la nne nilikuwa nashika kumi bora za mwisho, na hapo ndipo maisha yalipozidi kuwa mabaya shuleni na nyumbani, maana miaka hiyo walikuwa wanaamini shule tu ndio sehemu pekee ya mafaninikio,
shule marafiki wananiita mbumbu, nyumbani ndugu ndio kama wamepata sababu kutwa kunijadili wakikutana, na mbaya zaidi wakawa wanataka wathibitishe kuwa babu na bibi kuchukua jukumu la kunilea ni makosa makubwa wanalea jitu ambalo halitakuwa na umuhimu wowote kama pengine watoto zao wanaofaulu shuleni.

Ilifika kipindi hata jambo dogo tu limefika kwa mzee(babu) sasa mzee akawa ananichapa tu. wakaona daah! haka katoto hakafukuzwi zaidi ya kuchapwa tu, wakawa wananisemea tu ili niwe natembezewa mboko mpaka bibi akawa anakasirika! maana kila kitu mzee wa old school, badaye mzee nae aligundua akawa afuatilii lakini shule udhalilishaji wa kuitwa mbumbu pia hata kuonewa kupigwa tu bila sababu na watu kisa mbumbu ukawa umezidi mpaka nilipofika darasa la saba.

Kipindi nipo darasa la saba kulikuwa na majaribio ya kila asubuhi kabla ya kindi (speed test) afu jioni mnapewa mitihani kabla ya kuondoka. Sasa watu wakawa wamezoea mjamaa siku zote wa mwisho mwisho! nakumbuka ulikuwa mtihani wa kiswahili, siku hiyo mwalimu akaja darasani mnyonge sana! anasema watu wamefeli sana hata yule jamaa anaefanyanga vizuri akamuuliza imetokea shida gani! nakumbuka akasema kwa uchungu sana mtu mmoja tu ndio kajitahidi kweli!, angalau kanitia moyo. kaanza kuita majina, watu wakahisi mi ndio wa mwisho kwa sababu alikua anaanzaga kuita wa mwisho hadi wa kwanza, akaanza kuita majina wale wa mwisho mwisho jina langu hola! nakumbuka darasani wakanigeukia kuniangalia karibu wote! (hahahahah!!) cha kushangaza wale waliokuwa wanafanya vizuri mwalimu alitaja max zao zilikuwa za hovyo sana wengi walicheza 10/50.

Baada ya majina ya wale wa mwisho mwisho watu wakadhani sikukusanya mtihani, mwalimu akawa kashika mtihani wa mtu mmoja aliye jitahidi huku anatikisa kichwa afu akaita jina langu ! aiseh!! darasa zima liliguna! mwalimu akaniangaliaaa! akatabasamu kidogo tokea hapo akawa nanifutalia maendeleo yangu binafsi ya shule na ndiyo ikanifanya niongeze bidii baadhi ya masomo nikaanza kufaulu mfano maarifa ya jamii nikawa napata hadi 48/50 aiseh mpaka mwalimu wa maarifa ya jamii anae akawa kampani yangu! na nyumbani wakwa wanashangaa sana ila wale ambao wanajiona wanaakili chuki ilizidi, cha ajabu ndugu waliokuwa wananichukia kisa sina akili darasani nikajua wataanza nipenda chuki ilizidi.

NAMALIZA DARASA LA SABA NAINGIA KITAA, NAKAA MTAANI MWAKA MMOJA.
Baada ya kumaliza darasa la saba sikuchaguliwa kuendelea sekondari baadhi ya ndugu walifurahi sana, ingawa hata watoto zao walifeli. kipindi hicho private school zilikuwa zimeanza zilikuwa nyingi.

Sasa cha kushangaza badala washughulike na watoto zao, wao wakawa wana deal na babu yangu eti achana nae huyo shule haiwezi, dooh! ilikuwa ajabu, mzee akanipeleka english kozi mwaka mmoja huku napambana na mishe mishe za mtaa kuna baadhi ya rafiki zangu walichaguliwa kuendelea shule buana walivyo jua nimefeli urafiki ulipungua na dharau zilizidi sana mpaka wazazi wao pia, wakawa sijui wanamwonaje mama angu, kama vile wakushindwa! ila mimi sikujali maana nilishaanza kuwa sungu na mbishi sikuwa nafuatilia!

Mwaka ulikata english kozi nikamaliza Mungu alivyo kuwa mwamba wadogo zake mamakama wawili hivi walikuwa na kauwezo kidogo walipata taarifa kuwa nilifeli darasa la saba, ikabidi waongee na mama na babu niende mkoani niendelee na sekondari (private school) daah! nilifurahi sana!

Nikakwea basi mkoani nimeanza shule huku nakaa kwa mmoja wa wadogo wa mama yangu, kiukweli alikuwa ushuani (good life yaani) kama dar unaweza linganisha na masaki, na ukilinganisha alikua bado hajaolewa, nikawa naishi maisha mazuri sana. kuna baadhi ya ndugu wakaona nafaidi wakamleta mtoto wao mmoja akwa anakaa pale pia, daah! kama alielezwa yule bwana(mimi yaani) anafaid mambo ambayo hastaili, sasa akawa nafanya visa afu anasema mzee wa old school, sasa maza house akaelewa kuwa nachukiwa akawa hafutilii na tena akawa ananitetea huku akiwakaripia nakuwaambia mimi ndio nimetaka kuishi nae.

Miaka ikakata maza house akaolewa mme wake sasa alikuwa ananichukia balaa na hapi ndipo nilipo anza kuona tena dunia chungu, ilifika kipindi anaenda mpaka shule kutaka kuharibu tu, bahati nzuri walimu walikuwa wananisifia sana (kitabia), na uone maajabu, faza house zilitokea kuiva na ndugu wasio nikubali. Ila mimi sikuwa najali wala nini! nakumbuka siku moja nilikuwa form 3 narudi kutoka shule nikakuta anaongea anamwambia maza house ambae ndio ndugu kwangu, anase mimi simpendi mzee wa old school hata iweje hiyo sentensi inasemwa ndio nipo dirishani napita, niliumia kiaina ila nikapotezea.

Pia wakati wa kujisomea usiku, nafuatwa naambiwa zima taa umeme unaisha! kinyoonge nazima nalala, mchna sipumziki kama nikirudi shule unatumwa mpaka unakoma!, nikaona isiwe kesi ile naingia form 3 mzee wangu (babu yangu) akawa karudi mkoa niliopo maana ndio nyumbani, nikajiongeza nikaenda kuishi kwake, maan aliniambiaga kwake ndio nyumbani kwetu

NIMEMALIZA FORM IV
Nimemaliza form iv matokeo yametoka nikapata div 4 ila nilikuwa na credi 2 na D flat, ndugu tena wakaibuka oooh! hana akili kae tu nyumbani, afu sasa wako serious! mpaka nikawa nashangaa maisha yangu yanawahusu nini?

Siku jali nikawa napiga kazi ngumu nikaweka weka akiba kidogo maana nikawa nawaza nifanye biashara na matangazo ya chuo yakaanza, Umwamba wa Mungu ukaonekana tena! babu akiita akaniuliza, unataka ukasomee nini? nikataja kozi, babu akaongea na mwanae mmoja akashirikia na mama nikaanza chuo, ndugu wakaanza angeenda form six huko kupoteza pesa na kozi yenyewe hatopata kazi. sikujali, akiba niloweka nikaongezea nikalipa ada nikafika diploma nikajiongeza kutafuta kazi mahali ya ukuli katika kiwanda maana nilichagua masomo ya jioni chuoni, asubuhi mpaka saa 9 nanyanyua mizigo fulani saa 11 mpaka saa 2 usiku kipindi darani, maneno yakazidi kuwa pesa ninayolipiwa ada inaenda bure maana nikimaliza nitakuwa sina kazi,

BAADA YA KUMALIZA CHUO
Baada ya kumaliza chuo Mungu akaonyesha kuwa yeye ni mwamba tena, haikupita miezi 3 nikapata kazi ila sikuwaambia ndugu waliokuwa wanapambana nifeli katika maisha niliwaambia wale waliokuwa wanapambana nipate ahueni ya maisha yangu lakini badae walijua sijui kama waliumia au vipi lakini nilipata simu zao, nikapata hongera nyingi. nikajiongeza nikafanya maendeleo ya kielemu na pale nilipoweza niliwasaidia hata kama walinichukia na nilipokuwa nawasaidia sikuwa natangaza ila nilifanya kimya kimya, labda wao ndio walisema mzee wa old school huyo!

CHANGAMOTO KAZINI
hapa ndipo nilijua mengi zaidi ya dunia lakini nitaeleza machache sana, nimeanza kazi, siku naenda kureport kituo changu cha kazi, nikakutana watu wazima wengine kama ndo umri wa kustaafu wanakaribia, afu nimeenda mimi na ka elimu kangu ndio nakuwa bosi wao! (hahahaha!) nacheka lakini nilikuata na changamoto nzito na hapo ndipo nilishuhudia kwa macho yangu kuwa uchawi upo!

Kimwonekano pia kiumri nilikuwa mdogo sana mpaka hata maafisa utumishi wakiniona wanatikisa vichwa huku wanacheka kwa mshangao na kujiuliza kapitaje pitaje? kwa umri wake angetakiwa aendelee na shule tu(kumbe hawajui ya moyoni)

Sasa wale wazee kazini wakawa wanafuja pesa hovyo afu mimi ndiyo msimamizi wa kila kitu nikiongea tu! wanajibu dharau mara tukitaka tunakufukuzisha kazi, wakawa wanasema nitulie maana nimewakuta, ma auditor wakawa wakikuta kasoro bahati nzuri wakawa waelewa wakanielekeza namna ya kufunya niwadhibiti. pia bahati nzuri Mungu kanipa neema mtu wa idaba kiasi chake, nikawa nafanya maombi Mungu anipe ujasiri katika kutekeleza majukumu yangu ya kazi.

Mungu akanipa ujasiri nikaanza kuwa makini na kazi yangu nikawashikisha adabu ufujaji ukafa kabisa mpaka wakawa wanashangaa wenzangu nimewezaje kuwamudu wale wazee maana walikuwa wanatisha. cha ajabu zaidi nikawakamata na kutaka kuwafungulia mashtaka mahakani, kwahiyo rumande waliionja kidogo!, wafanya kazi wenzagu wengine walishangaa sana

KUKUMBANA NA MAMBO YA GIZA/ UCHAWI OFISINI
Baada ya mambo kwenda vizuri ofisini, vile vizee vikaona vitumie uchawi, sikumoja nimelala usiku maana nilikuwa nimelala sebuleni siku hiyo na sijui ilikuwaje, usingizi haujaja vizuri naona kama nimekabwa afu mtu kama anazidi kunikandamiza nikatumia nguvu nyingi sana kuamka huku jasho linanitoka, nikasema ndoto tu! maana havijawahi kunitokea labda nikiwa mdogo sijitambua, nikalala tena, ila nikabadili pozi nikalala ubavu, sijui ikawaje kama kitu kilinigeuza nikawa nimelala chali tena afu roba ikaja tena, hiyo ya pili ndio ikawa noma! nikawa nashindwa hadi kuhema, nikawa nakemea kimoyoni kwa imani yangu (kwa Jina La Yesu, Damu ya Yesu itawale) ghafla kama nikaachiwa, nikafumbua macho nikaona kama mtu mrefu anapotea kwenye pembe ya ukuta!

Daah! nikaamka sikulala mpaka asubuhi naenda kazi. Majaribu yakawa yanaendelea nikashangaa mwili mzima kama nataka kupararaizi, maana ghafla miguu ikawa mizito natembea kama nabuluza, mpaka siku moja nimeenda sehemu kunywa chai kwenye mgahawa nimemaliza ile natoka nikapamia ndoo ya maji moto ikanimwagikia mwili mzima! siku hiyo nilikaa nikawaza niache kazi au?!!! kuna mama mmoja hapo kazini akanishauri mwanangu ukiacha kazi afu serikalini, kupata tena shughuli, nikasema nitaenda kufanya biashara tu, akasema hapana hayo maamuzi ya hasira, siku ikapita, lakini msimamo kazini uleule sikulegeza kamba lakini huku naendelea na maombi!

Siku moja nilikua kwenye daladala natoka ofisini naelekea sehemu, nimefika kituoni nashuka, nikahisi kitu kama kimeshika miguuni nikajitahidi kunyanyua mguu, nilibamiza chini watu wakashituka sana! konda akaninyanyua wakanipa pole, nikakaa nikafikiria sana! nikasema dooh! mbona kila kukicha shida tu!

Nikarudi nyumbani, nikawa nimekaa tu nafikiria! nikakumbuka kuna video moja hivi nilikuwa napenda sana kuangalia youtube ya jamaa mmoja hivi alizaliwa hana mikono pia miguu baba yake alimkataa anaasili ya ulaya ila anaishi marekani, interviews zake nyingi anamshukuru sana Mungu halalimiki jinsi alivyo na maisha yanasonga ingawa alitengwa na watu wengi kipindi yupo mdogo, nikafikiria nikasema moyoni hii ndiyo hatua ya kutengeneza maisha yangu binafsi, familia yangu, wazazi wangu na pia rafiki watakao nizunguka sina sababu ya kukata tamaa, nikasema ngoja nimshirikishe mama yangu

M
aana ni mtu wa maombi pia, akamweleza babu yangu na na mdogo wake alie shirikiana nae kunishomesha. walinikumbuka katika maombi yao ya kila siku! na mimi pia niliomba mara kwa mara! na Mungu alifanya njia wale wazee waliondelewa kwa aibi sana mpaka kesho wanaamini mimi ni mshirikina kama wao! na walisha wahi nitamkia hilo kuwa mimi ni mchawi! na ilifika kipindi nikiwa nimebeba hat bahasha nikaiweka juu ya meza wanaogopa kuishika..
kwa ufupi vita nyingi zilitokea lakini kwa uwezo wake Mungu nilizishinda! ingawa mpaka sasa changamoto zipo, naziona za kawaida maana nilishakuwa sugu na nimekomaa najua kusudu la maisha yangu siyumbishwi na changamoto nakaza mwendo maana najua nitapumzika mbinguni

NINGEPENDA NIKUFAHAMISHE MAMBO HAYA
* kila sehemu yenye vita dhidi yako Mungu humnyanyua
wakukutetea
* Kuwa na msimamo wako katika haya maisha(lakini uwe msimamo uwe wa haki)
*pia jua binadamu wa kwanza kukutetea wewe ni wewe mwenyewe
* pia fahamu kuwa Mungu ndiye kila kitu

'nakutia moyo usikate tamaa'

mwisho******
Huu uzi unauhalisia Sana Kwa maisha yetu ,ubarikiwe Sana Mzee waold school,yaan Hadi MTU ufanikiwe loh,umepitia mengi aisee ,niliwahi kukutana naboss mmoja akaniambia ,dogo jaribu kuheshimu hata kidogo nilichomacho nimekihangaikia Sana,niliwaza Sana Ile kauli
 
Huu uzi unauhalisia Sana Kwa maisha yetu ,ubarikiwe Sana Mzee waold school,yaan Hadi MTU ufanikiwe loh,umepitia mengi aisee ,niliwahi kukutana naboss mmoja akaniambia ,dogo jaribu kuheshimu hata kidogo nilichomacho nimekihangaikia Sana,niliwaza Sana Ile kauli
Ni kweli kabisa
 
Naomba nitambulike hivi hivi kama Mzee wa Old School. Story nitakayo waeleza hapo chini ni ya kweli hivyo ni vizuri ndugu unaesoma usiishie kusisimkwa, kuhuzunika ama kucheka, bali fanyia kazi ili kukabiliana na changamoto mbali mbali katika maisha kwa sababu siku zote 'maisha ni vita' kimwili na kiroho pia, vita itafika mwisho pale utakapo rudi mavumbini nakusubiri hukumu ya haki siku ya mwisho.

Nimejaribu kufupisha kwa kupunguza baadhi ya matukio maana ni mambo mengi sana

KUZALIWA
Nimezaliwa kanda ya kati, karibu na mpakani kabisa na mkoa wa Arusha, bahati mbaya au nzuri, nilivyo zaliwa mzee wangu aliulizwa na wazazi wa mama yangu mpendwa(bibi na babu yangu) kuwa mtoto (mimi mzee wa old school) ni wako? mzee akawa hana kauli. yaani kukataa anashindwa kukubali anashindwa akawa hana msimamo. wazazi wa mama yangu wakaona isiwe kesi kubwa, wakachukua jukumu la kunilea kama mtoto wao. kwakuwa wazazi wa mama yangu mpendwa kutokana asili ya kazi yao ni kuhamishwa hamishwa sehemu mbali mbali, mpaka nafikisha umri wa kujielewa wa kuanza chekechea nikajikuta nipo dar es salaam maana mzee alikuwa amehamishiwa huko.

NIKIWA DAR ES SALAAM
Nilianza chekechea mpaka nikamalizia dalasa la saba nikiwa dar es salaam, na ndipo nilipoanza kukumbana na changamoto na athari zake. Nilipoanza darasa la kwanza nilikuwa vizuri darasani, kila darasa nililo kuwa naingia, nilikuwa nashuka kwa kasi kitaaluma! mpaka nafika darasa la nne nilikuwa nashika kumi bora za mwisho, na hapo ndipo maisha yalipozidi kuwa mabaya shuleni na nyumbani, maana miaka hiyo walikuwa wanaamini shule tu ndio sehemu pekee ya mafaninikio,
shule marafiki wananiita mbumbu, nyumbani ndugu ndio kama wamepata sababu kutwa kunijadili wakikutana, na mbaya zaidi wakawa wanataka wathibitishe kuwa babu na bibi kuchukua jukumu la kunilea ni makosa makubwa wanalea jitu ambalo halitakuwa na umuhimu wowote kama pengine watoto zao wanaofaulu shuleni.

Ilifika kipindi hata jambo dogo tu limefika kwa mzee(babu) sasa mzee akawa ananichapa tu. wakaona daah! haka katoto hakafukuzwi zaidi ya kuchapwa tu, wakawa wananisemea tu ili niwe natembezewa mboko mpaka bibi akawa anakasirika! maana kila kitu mzee wa old school, badaye mzee nae aligundua akawa afuatilii lakini shule udhalilishaji wa kuitwa mbumbu pia hata kuonewa kupigwa tu bila sababu na watu kisa mbumbu ukawa umezidi mpaka nilipofika darasa la saba.

Kipindi nipo darasa la saba kulikuwa na majaribio ya kila asubuhi kabla ya kindi (speed test) afu jioni mnapewa mitihani kabla ya kuondoka. Sasa watu wakawa wamezoea mjamaa siku zote wa mwisho mwisho! nakumbuka ulikuwa mtihani wa kiswahili, siku hiyo mwalimu akaja darasani mnyonge sana! anasema watu wamefeli sana hata yule jamaa anaefanyanga vizuri akamuuliza imetokea shida gani! nakumbuka akasema kwa uchungu sana mtu mmoja tu ndio kajitahidi kweli!, angalau kanitia moyo. kaanza kuita majina, watu wakahisi mi ndio wa mwisho kwa sababu alikua anaanzaga kuita wa mwisho hadi wa kwanza, akaanza kuita majina wale wa mwisho mwisho jina langu hola! nakumbuka darasani wakanigeukia kuniangalia karibu wote! (hahahahah!!) cha kushangaza wale waliokuwa wanafanya vizuri mwalimu alitaja max zao zilikuwa za hovyo sana wengi walicheza 10/50.

Baada ya majina ya wale wa mwisho mwisho watu wakadhani sikukusanya mtihani, mwalimu akawa kashika mtihani wa mtu mmoja aliye jitahidi huku anatikisa kichwa afu akaita jina langu ! aiseh!! darasa zima liliguna! mwalimu akaniangaliaaa! akatabasamu kidogo tokea hapo akawa nanifutalia maendeleo yangu binafsi ya shule na ndiyo ikanifanya niongeze bidii baadhi ya masomo nikaanza kufaulu mfano maarifa ya jamii nikawa napata hadi 48/50 aiseh mpaka mwalimu wa maarifa ya jamii anae akawa kampani yangu! na nyumbani wakwa wanashangaa sana ila wale ambao wanajiona wanaakili chuki ilizidi, cha ajabu ndugu waliokuwa wananichukia kisa sina akili darasani nikajua wataanza nipenda chuki ilizidi.

NAMALIZA DARASA LA SABA NAINGIA KITAA, NAKAA MTAANI MWAKA MMOJA.
Baada ya kumaliza darasa la saba sikuchaguliwa kuendelea sekondari baadhi ya ndugu walifurahi sana, ingawa hata watoto zao walifeli. kipindi hicho private school zilikuwa zimeanza zilikuwa nyingi.

Sasa cha kushangaza badala washughulike na watoto zao, wao wakawa wana deal na babu yangu eti achana nae huyo shule haiwezi, dooh! ilikuwa ajabu, mzee akanipeleka english kozi mwaka mmoja huku napambana na mishe mishe za mtaa kuna baadhi ya rafiki zangu walichaguliwa kuendelea shule buana walivyo jua nimefeli urafiki ulipungua na dharau zilizidi sana mpaka wazazi wao pia, wakawa sijui wanamwonaje mama angu, kama vile wakushindwa! ila mimi sikujali maana nilishaanza kuwa sungu na mbishi sikuwa nafuatilia!

Mwaka ulikata english kozi nikamaliza Mungu alivyo kuwa mwamba wadogo zake mamakama wawili hivi walikuwa na kauwezo kidogo walipata taarifa kuwa nilifeli darasa la saba, ikabidi waongee na mama na babu niende mkoani niendelee na sekondari (private school) daah! nilifurahi sana!

Nikakwea basi mkoani nimeanza shule huku nakaa kwa mmoja wa wadogo wa mama yangu, kiukweli alikuwa ushuani (good life yaani) kama dar unaweza linganisha na masaki, na ukilinganisha alikua bado hajaolewa, nikawa naishi maisha mazuri sana. kuna baadhi ya ndugu wakaona nafaidi wakamleta mtoto wao mmoja akwa anakaa pale pia, daah! kama alielezwa yule bwana(mimi yaani) anafaid mambo ambayo hastaili, sasa akawa nafanya visa afu anasema mzee wa old school, sasa maza house akaelewa kuwa nachukiwa akawa hafutilii na tena akawa ananitetea huku akiwakaripia nakuwaambia mimi ndio nimetaka kuishi nae.

Miaka ikakata maza house akaolewa mme wake sasa alikuwa ananichukia balaa na hapi ndipo nilipo anza kuona tena dunia chungu, ilifika kipindi anaenda mpaka shule kutaka kuharibu tu, bahati nzuri walimu walikuwa wananisifia sana (kitabia), na uone maajabu, faza house zilitokea kuiva na ndugu wasio nikubali. Ila mimi sikuwa najali wala nini! nakumbuka siku moja nilikuwa form 3 narudi kutoka shule nikakuta anaongea anamwambia maza house ambae ndio ndugu kwangu, anase mimi simpendi mzee wa old school hata iweje hiyo sentensi inasemwa ndio nipo dirishani napita, niliumia kiaina ila nikapotezea.

Pia wakati wa kujisomea usiku, nafuatwa naambiwa zima taa umeme unaisha! kinyoonge nazima nalala, mchna sipumziki kama nikirudi shule unatumwa mpaka unakoma!, nikaona isiwe kesi ile naingia form 3 mzee wangu (babu yangu) akawa karudi mkoa niliopo maana ndio nyumbani, nikajiongeza nikaenda kuishi kwake, maan aliniambiaga kwake ndio nyumbani kwetu

NIMEMALIZA FORM IV
Nimemaliza form iv matokeo yametoka nikapata div 4 ila nilikuwa na credi 2 na D flat, ndugu tena wakaibuka oooh! hana akili kae tu nyumbani, afu sasa wako serious! mpaka nikawa nashangaa maisha yangu yanawahusu nini?

Siku jali nikawa napiga kazi ngumu nikaweka weka akiba kidogo maana nikawa nawaza nifanye biashara na matangazo ya chuo yakaanza, Umwamba wa Mungu ukaonekana tena! babu akiita akaniuliza, unataka ukasomee nini? nikataja kozi, babu akaongea na mwanae mmoja akashirikia na mama nikaanza chuo, ndugu wakaanza angeenda form six huko kupoteza pesa na kozi yenyewe hatopata kazi. sikujali, akiba niloweka nikaongezea nikalipa ada nikafika diploma nikajiongeza kutafuta kazi mahali ya ukuli katika kiwanda maana nilichagua masomo ya jioni chuoni, asubuhi mpaka saa 9 nanyanyua mizigo fulani saa 11 mpaka saa 2 usiku kipindi darani, maneno yakazidi kuwa pesa ninayolipiwa ada inaenda bure maana nikimaliza nitakuwa sina kazi,

BAADA YA KUMALIZA CHUO
Baada ya kumaliza chuo Mungu akaonyesha kuwa yeye ni mwamba tena, haikupita miezi 3 nikapata kazi ila sikuwaambia ndugu waliokuwa wanapambana nifeli katika maisha niliwaambia wale waliokuwa wanapambana nipate ahueni ya maisha yangu lakini badae walijua sijui kama waliumia au vipi lakini nilipata simu zao, nikapata hongera nyingi. nikajiongeza nikafanya maendeleo ya kielemu na pale nilipoweza niliwasaidia hata kama walinichukia na nilipokuwa nawasaidia sikuwa natangaza ila nilifanya kimya kimya, labda wao ndio walisema mzee wa old school huyo!

CHANGAMOTO KAZINI
hapa ndipo nilijua mengi zaidi ya dunia lakini nitaeleza machache sana, nimeanza kazi, siku naenda kureport kituo changu cha kazi, nikakutana watu wazima wengine kama ndo umri wa kustaafu wanakaribia, afu nimeenda mimi na ka elimu kangu ndio nakuwa bosi wao! (hahahaha!) nacheka lakini nilikuata na changamoto nzito na hapo ndipo nilishuhudia kwa macho yangu kuwa uchawi upo!

Kimwonekano pia kiumri nilikuwa mdogo sana mpaka hata maafisa utumishi wakiniona wanatikisa vichwa huku wanacheka kwa mshangao na kujiuliza kapitaje pitaje? kwa umri wake angetakiwa aendelee na shule tu(kumbe hawajui ya moyoni)

Sasa wale wazee kazini wakawa wanafuja pesa hovyo afu mimi ndiyo msimamizi wa kila kitu nikiongea tu! wanajibu dharau mara tukitaka tunakufukuzisha kazi, wakawa wanasema nitulie maana nimewakuta, ma auditor wakawa wakikuta kasoro bahati nzuri wakawa waelewa wakanielekeza namna ya kufunya niwadhibiti. pia bahati nzuri Mungu kanipa neema mtu wa idaba kiasi chake, nikawa nafanya maombi Mungu anipe ujasiri katika kutekeleza majukumu yangu ya kazi.

Mungu akanipa ujasiri nikaanza kuwa makini na kazi yangu nikawashikisha adabu ufujaji ukafa kabisa mpaka wakawa wanashangaa wenzangu nimewezaje kuwamudu wale wazee maana walikuwa wanatisha. cha ajabu zaidi nikawakamata na kutaka kuwafungulia mashtaka mahakani, kwahiyo rumande waliionja kidogo!, wafanya kazi wenzagu wengine walishangaa sana

KUKUMBANA NA MAMBO YA GIZA/ UCHAWI OFISINI
Baada ya mambo kwenda vizuri ofisini, vile vizee vikaona vitumie uchawi, sikumoja nimelala usiku maana nilikuwa nimelala sebuleni siku hiyo na sijui ilikuwaje, usingizi haujaja vizuri naona kama nimekabwa afu mtu kama anazidi kunikandamiza nikatumia nguvu nyingi sana kuamka huku jasho linanitoka, nikasema ndoto tu! maana havijawahi kunitokea labda nikiwa mdogo sijitambua, nikalala tena, ila nikabadili pozi nikalala ubavu, sijui ikawaje kama kitu kilinigeuza nikawa nimelala chali tena afu roba ikaja tena, hiyo ya pili ndio ikawa noma! nikawa nashindwa hadi kuhema, nikawa nakemea kimoyoni kwa imani yangu (kwa Jina La Yesu, Damu ya Yesu itawale) ghafla kama nikaachiwa, nikafumbua macho nikaona kama mtu mrefu anapotea kwenye pembe ya ukuta!

Daah! nikaamka sikulala mpaka asubuhi naenda kazi. Majaribu yakawa yanaendelea nikashangaa mwili mzima kama nataka kupararaizi, maana ghafla miguu ikawa mizito natembea kama nabuluza, mpaka siku moja nimeenda sehemu kunywa chai kwenye mgahawa nimemaliza ile natoka nikapamia ndoo ya maji moto ikanimwagikia mwili mzima! siku hiyo nilikaa nikawaza niache kazi au?!!! kuna mama mmoja hapo kazini akanishauri mwanangu ukiacha kazi afu serikalini, kupata tena shughuli, nikasema nitaenda kufanya biashara tu, akasema hapana hayo maamuzi ya hasira, siku ikapita, lakini msimamo kazini uleule sikulegeza kamba lakini huku naendelea na maombi!

Siku moja nilikua kwenye daladala natoka ofisini naelekea sehemu, nimefika kituoni nashuka, nikahisi kitu kama kimeshika miguuni nikajitahidi kunyanyua mguu, nilibamiza chini watu wakashituka sana! konda akaninyanyua wakanipa pole, nikakaa nikafikiria sana! nikasema dooh! mbona kila kukicha shida tu!

Nikarudi nyumbani, nikawa nimekaa tu nafikiria! nikakumbuka kuna video moja hivi nilikuwa napenda sana kuangalia youtube ya jamaa mmoja hivi alizaliwa hana mikono pia miguu baba yake alimkataa anaasili ya ulaya ila anaishi marekani, interviews zake nyingi anamshukuru sana Mungu halalimiki jinsi alivyo na maisha yanasonga ingawa alitengwa na watu wengi kipindi yupo mdogo, nikafikiria nikasema moyoni hii ndiyo hatua ya kutengeneza maisha yangu binafsi, familia yangu, wazazi wangu na pia rafiki watakao nizunguka sina sababu ya kukata tamaa, nikasema ngoja nimshirikishe mama yangu

M
aana ni mtu wa maombi pia, akamweleza babu yangu na na mdogo wake alie shirikiana nae kunishomesha. walinikumbuka katika maombi yao ya kila siku! na mimi pia niliomba mara kwa mara! na Mungu alifanya njia wale wazee waliondelewa kwa aibi sana mpaka kesho wanaamini mimi ni mshirikina kama wao! na walisha wahi nitamkia hilo kuwa mimi ni mchawi! na ilifika kipindi nikiwa nimebeba hat bahasha nikaiweka juu ya meza wanaogopa kuishika..
kwa ufupi vita nyingi zilitokea lakini kwa uwezo wake Mungu nilizishinda! ingawa mpaka sasa changamoto zipo, naziona za kawaida maana nilishakuwa sugu na nimekomaa najua kusudu la maisha yangu siyumbishwi na changamoto nakaza mwendo maana najua nitapumzika mbinguni

NINGEPENDA NIKUFAHAMISHE MAMBO HAYA
* kila sehemu yenye vita dhidi yako Mungu humnyanyua
wakukutetea
* Kuwa na msimamo wako katika haya maisha(lakini uwe msimamo uwe wa haki)
*pia jua binadamu wa kwanza kukutetea wewe ni wewe mwenyewe
* pia fahamu kuwa Mungu ndiye kila kitu

'nakutia moyo usikate tamaa'

mwisho******
Yeap kukaza roho, kua ngumu kweli yani
 
Amen... Mungu ni mwema kila wakati.

KAZINI CHANGAMOTO NI NYINGI SANA INABIDI UKAZE KWELIKWELI. UKILEGEA KIDOGO UMEKWISHA
 
Back
Top Bottom