Ukiona unaota ndoto hizi chukua hatua mapema

neno ni upanga

Senior Member
Jun 28, 2022
189
725
Habari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,

Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14

Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;

Ayubu 33:15

Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie

Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!

1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto

2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa

3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto

4: Kuota unaogelea

5: Kuota unapaa kama ndege

6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao

7; Kuota upo makaburini

8: Kuota upo mtoni unaoga

9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq

10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi

11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali

12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,

Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.

1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia

Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,

Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!

Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
 
Donto ni chachandu ua usingizi. Hivi ushajiuliza usingizi bila ndoto ungekua una maana gani? Ndoto hazina maana yoyote hasa kwa kipindi hichi ambacho Neno/Kristo alishazaliwa na kufa kwetu.
 
Habari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,

Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14

Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;

Ayubu 33:15

Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie

Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!

1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto

2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa

3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto

4: Kuota unaogelea

5: Kuota unapaa kama ndege

6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao

7; Kuota upo makaburini

8: Kuota upo mtoni unaoga

9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq

10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi

11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali

12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,

Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.

1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia

Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,

Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!

Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
Mkuu tunapaswa kuota ndoto zipi hasa? Niliwahi kuota nimekufa na nawaona mama na ndugubzangu wanalia sana kwa uchungu mkubwa. Ilipofikia kipengele cha kufukiwa kaburini ndio nikashituka usingizini.

Hii maanake nini?
 
Back
Top Bottom