Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

jaman, niliwai omba ushaur juu ya shost yang, alkuwa anajisaidia choo kigum ushaur kauzingatia kwa kula ma2nda xna papai, parachch, maj na juice ya ukwaju lakn tatzo bado choo chake ni chasda af kigum kinachotoka kwa maumiv anahc kama kapata kidonda njia ya haja kubwa na pia anadai anakauvimbe kadogo akigasuka kanauma kanapelekea kupata maumiv hta anashndwa kukaa, anaomba ushaur je tatzo hlo linatokana na kutoa cho kigmu? Tiba yake ikoje? Pia mziZi alishaur a2mie mafta ya habisoda yanapatkana wap!

Ajaribu ANUSOL nilitumia na uvumbe umeisha kabisa
 
Ni pm nitakusaidia,hata mimi nilikuwa na tatizo hilo,nimesaidiwa nimepona
 
Wadau habari zenu? Nimepata hili tatizo. Takribani siku 5 sasa zimepita, nimetokewa na uvimbe pembezoni mwa njia ya haja kubwa, sijui tatzo ni nini. Hili tatzo linanisababishia maumivu makubwa sana, hasa ninapokaa, uvimbe umejitokeza sehemu 3 pembezoni mwa njia hyo.
Naombeni msaada wa nini chanzo chake na ni vipi nawezapona? Natanguliza shukrani.
 
Nashukuru sana wadau, nimesoma michango yenu na imenipa mwanga na matumaini ya kupona. Acha nimwone daktari macho kwa macho.
 
Habari JF Doctors
Msaada tafadhali, Mdogo wangu wa kiume umri 27 ameota nyama anadai siyo kubwa sana ni ndogo karibia na sehemu ya njia ya haja kubwa, ana lalamika maumivu makali na tumbo lina muuma sana.Je ni ugonjwa gani? na matibabu yake yako ya kienyeji au hospitali. msaada madokta. asante

Yaweza kuwa kansa mpereke hospt.
 
Nauliza hivi tatizo la kutokwa na damu wakati wa kumalizia haja kubwa ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini? Hali hii hunitokea walau mara moja ndani ya 24hrs. Pia tiba yake ni nini?
 
Kwani unaenda haja kubwa mara ngapi ndani ya hizo 24 hrs, lol!

nenda hospitali, huenda una hermorroids na unahitaji uchunguzi mapema ili utibiwe.
 
Nashukuru king'asti..nimechukua ushauri tatizo japo hospital nshaenda na tatizo hili ni miez miwil sasa linaacha then back. May be nimpate dr competent na anayejali! Thnks again make naona wengine wanafanya ushabiki kwenye afya za watu!
 
Achana nao hao wachokozi.

kwani unapata maumivu wakati wa kwenda haja kubwa?
Nashukuru king'asti..nimechukua ushauri tatizo japo hospital nshaenda na tatizo hili ni miez miwil sasa linaacha then back. May be nimpate dr competent na anayejali! Thnks again make naona wengine wanafanya ushabiki kwenye afya za watu!
 
Back
Top Bottom