HESHIMA KWENU WOTE
NAOMBA KUJUA DAWA SAHIHI YA BAWASIRI NA KAMA IPO YA KIENYEJI NI MUHIMU PIA TAFADHALi
Kata kipande kidogo cha gamba la dafu ambacho(kichonge) kiweze kuingia sehemu ya haja kubwa bila kukuchubua,kisha kipashe moto wa kiasi..afu kiingize sehemu hiyo mara 3 hivi...kaka siku tatu utaanza kuona matokeo kama sio kuisha kabisa tatizo...ukifanikiwa ushuhuda p/se..