Aggrey Olang Tindi
New Member
- Sep 27, 2013
- 1
- 0
Bia ya nokia 101
Ndio tatizo la baadhi ya waafrika, nadhani alitaka kujua tu soko la kuku likoje, pamoja na hayo soko la kuku ukiwa na usimamizi mzuri hutajuta kufuga kuku"
ni kweli watu tunakimbia kuku wanaouzwa masokoni sababu mtu akiona wagonjwa anaamua kuuza. Pia wengi hawapatiwi chanjo ikitokea wamesafirishwa toka mbali wanafika wanaanza kuumwa aidha kudhoofu na hali ya hewa au kuambukizwa njiani. Tunategemea hapa JF itakuwa gulio la wasomi kutokana na darasa zinazotolewa hapa na kupigiwa mfano.
Elezea vzr mkuu wanapatikana wapi na kwa bei gani? Na kama wamepata chanjo
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Wadau mchanganuo wa ufugaji kuku wa kienyeji tafadhali
Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni mzuri na wenye manufaa sana. Unauwezo wa kumnyanyua mtu mwenye kipato cha kuanzia Tsh. 6,000 hadi10,000/= (nunua kuku mmoja) na kuwa milionea. Ni kuwa serious, determined, mvumilivu na mwenye kutumia ufugaji wa kisasa. Tatizo la wengi vijijini they don't take it seriously, wanafuga tu kimtindo kama supplement ya kazi zao za mashambani au ufugaji wa ng'ombe. Tatizo lingine kubwa kwao ni Kideri/mdondo (New castle disease), hawachanji kuku dhidi ya gonjwa hili plus magonjwa mengine. Serikali ingewasadia kuchanja kuku dhidi ya kideri ingewasaidia sana. Dawa yenyewe ni cheap sana, by 2012 tube ya kuchanja kuku 400 ilikuwa Tsh. 5,000. Ukiwa kasehemu kakuwafanya wawe huru kidogo hata mijini au pembezoni mwa miji unaweza wafuga. Lakini siku hizi kuna watu wanawafungia ndani kama wa kisasa either kwa kukosa enough space au ili kufuga wengi zaidi kibiashara.
https://www.jamiiforums.com/ujasiri...ugaji-wa-kuku-wa-kienyeji-na-masoko-yake.htmlSamahani wa jamii, baada ya kupiga misele na bahasha ya khiki kwa bila mafanikio, kwasasa nataka nijiajili, nataka kufuga kuku wa kienyeji kibiashara zaidi. Naomba ushauri kwa mwenye idea juu ya ufugaji ya hawa kuku wa kienyeji.
Samahani wa jamii, baada ya kupiga misele na bahasha ya khiki kwa bila mafanikio, kwasasa nataka nijiajili, nataka kufuga kuku wa kienyeji kibiashara zaidi. Naomba ushauri kwa mwenye idea juu ya ufugaji ya hawa kuku wa kienyeji.
Umeni-PM mkuu? nitakaa kwenye pc muda si mrefu nitacheki PMs, niwie radhi mkuu wangu.
Kumbe kuna simu huwezi kufungua PM? Duh