Mkuu mbona kisa siku mnaambiwa namna ya kuweka tangazo ili likae kibiashara lakini mnarudia yaleyale!?
Hakuna price, location, contacts, delivery mechanism, yanauzwa kwa kiasi gani ...
Hata hivyo matangazo yana jukwaa lake
Kila la heri
KWA MTU ANAYETAKA INCUBATOR ZA AINA YOYOTE ANAWEZA KUNITAFUTA KWA EMAIL honestaugustine@yahoo.com NITAWEZA KUFANYA MPANGO WA YEYE KUPATA INCUBATOR KUANZIA 8EGGS NA KUENDELEA KWA BEI NZURI KULIKO ZOTE AMBAZO MMESHAWAHI KUSIKIA. HIGH QUALITY UHAKIKA WA KUTOTOA KWA MASHINE 95%. TUWASILIANE KWA QUOTATION ZA BEI. UTATAKIWA KUSUBIRI 1MONTH TU. ASANTENI
ubarikiwe sana ndugu yangu,naweza kupata mawasiliano yako?(simu au email),nitumie kwenye 0715334456 au kboimanda@yahoo.comElimu nzuri sana hii,pesa nje nje kwa mtu makin
i
Elimu nzuri sana hii,pesa nje nje kwa mtu makin
i
Elimu nzuri..Ila kama mtu anakosa jiko la mkaa n.k,unaweza kutumia dumu: chemsha maji halafu chukua dumu la lita 20 na yaweke humo halafu funga kabisa liweke juu ya tofari ili vifaranga wasiungue,kwa kawaida dumu litatoa joto ambalo linawafaa sana vifaranga
Wakisogea karibu sana na dumu ujue joto halitoshi kwa hiyo maji hayakuchemshwa vizuri na wakikaa mbali sana na dumu ujue joto ni kali,ongeza tofali likae juu kidogo.
La msingi kuhusu banda ni vizuri kama una eneo la kutosha fuga nusu huria: jenga banda ambalo kuku watalala usiku halafu mchana wanakaa ndani ya uzio na hiyo itapunguza gharama za usafi na pia kuku watapata mazoezi.Zingatia pia kwamba hawa ni kuku wa kienyeji kwa hiyo unaweza kuwaachia wakatoka nje kabisa ya uzio ili wapate chakula kama wadudu wanaoruka na wanaotambaa.
Nitarudi baadae.........