Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,283
- 2,529
Mkulima naomba hivyo vipimo uvitoe hapa barazaniVyombo vya kulishia kuku home made na kimoja Hadi kuku 30 wanakula kwa wakati mmoja ,Kama utahitaji vipimo ni pm ,hata vya maji Kuna staili ya kukata madumu ya majiView attachment 1141260View attachment 1141262