Kubota
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 532
- 1,091
Wakubwa huko mijini mliko je hii Easter soko la kuku wetu hawa wa kienyeji lilikuwaje? Je Kuku walidoda? Kwa mtu aliekuwa amesubiria kuuza wakati huu wa sikukuu anaweza kuwa amepiga bao?
Naomba ukarimu wenu tushee taarifa hiyo kwa kila aliebahatika kushuhudia harakati za manunuzi ya hawa ndege. Je inahitaji kupiga debe sana ili kuweza kuuza kuku wakati wa siku kuu? Maana nimewahi kushuhudia baadhi ya mazao kama nyanya kukiwa na demand kubwa wanunuzi hufikia hadi kutoa rushwa ili kuweka ORDER!
Naomba ukarimu wenu tushee taarifa hiyo kwa kila aliebahatika kushuhudia harakati za manunuzi ya hawa ndege. Je inahitaji kupiga debe sana ili kuweza kuuza kuku wakati wa siku kuu? Maana nimewahi kushuhudia baadhi ya mazao kama nyanya kukiwa na demand kubwa wanunuzi hufikia hadi kutoa rushwa ili kuweka ORDER!